Mliowahi chukua mkopo kwenye hizi taasisi za tulia na mo foundation Mtupatie ushuhuda?

Mliowahi chukua mkopo kwenye hizi taasisi za tulia na mo foundation Mtupatie ushuhuda?

Watu wengine hawajitambui kabisa ndio maana matapeli hawaishi nchini kwani manyumbu ni mengi sana.

Mkuu tema mate chini??
hujafa hujaumbika siku watayokutapeli ww hutakuja kukili humu….. kila mtu anaweza tapeliwa inategemea tu matapeli wamejipangaje na wana mbinu kiasi gani


Kwaiyo usijione una akili ndio maana hutapeliwi!
Hatukatai utapeli wakijinga upo lakini chonde chonde chunga mdomo wako
 
Watu wengine hawajitambui kabisa ndio maana matapeli hawaishi nchini kwani manyumbu ni mengi sana.

IMG_2117.jpg

Soma hapo

242 Million dollar
Mtu aliwauzia wazungu airport we unajikuta unaakili!
Kama tapeli wamejipanga hata hiyo nyumba unayoishi unaweza kuta wameforge kila kitu kuanzia majiran ,mwanasheria,na kila kitu siku unaambiwa tu walokuuzia hawatambuliki


[emoji736]Wake up usijione smart kiivo sema tuchukue taadhali kila inapobidi
 
Mbona unashupaa shingo,au Wewe Ndo tapeli mwenyewe umekosa wafuasi FB sasa unakuja jf kwa great thinkers,pole

mimi siyo zuzu mkuu kama ww !! zuzu ni ww??


Nauliza ni utapeli wa aina gani?? inakuaje na kama kuna mtu ashawai tapeliwa ??

Mpumbavu huamini kila jambo!! Usiwe mpumbavu kwasababu fulani kasema ndo uichukue kama kweli!!

Nahitaji nifanye uchunguzi na kukusanya taarifa za kutosha

mpaka sasa hamna ambae amesema hao walimtapeli au hamna aliyethibitisha kuchukua mkopo
 
mimi siyo zuzu mkuu kama ww n zuzu ni ww??


Nauliza ni utapeli wa aina gani?? inakuaje na kama kuna mtu ashawai tapeliwa ??

Mpumbavu huamini kila jambo!! Usiwe mpumbavu kwasababu fulani kasema ndo uichukue kama kweli!!

Nahitaji nifanye uchunguzi na kukusanya taarifa za kutosha

mpaka sasa hamna ambae amesema hao walimtapeli au hamna aliyethibitisha kuchukua mkopo
Kaombe utuletee mrejesho,zuzu ni weweusijua kutofautisha feki akaunti na verified akaunti
 
View attachment 2834858
Soma hapo

242 Million dollar
Mtu aliwauzia wazungu airport we unajikuta unaakili!
Kama tapeli wamejipanga hata hiyo nyumba unayoishi unaweza kuta wameforge kila kitu kuanzia majiran ,mwanasheria,na kila kitu siku unaambiwa tu walokuuzia hawatambuliki


[emoji736]Wake up usijione smart kiivo sema tuchukue taadhali kila inapobidi
Ndio unavyojipa moyo hivi. We ndezi tu.
 
Mkuu tema mate chini??
hujafa hujaumbika siku watayokutapeli ww hutakuja kukili humu….. kila mtu anaweza tapeliwa inategemea tu matapeli wamejipangaje na wana mbinu kiasi gani


Kwaiyo usijione una akili ndio maana hutapeliwi!
Hatukatai utapeli wakijinga upo lakini chonde chonde chunga mdomo wako
Tumekushtukia tapeli huyooooooooo. Hutupati ng'ooooooo.
 
Wakuu nimepewa taarifa kuhusu mikopo kutoka kwene hzii taasisi Tulia foundation na Mo foundation. Nataka nijue kuna changamoto gani kwa mkopaji?

Je, siyo kausha damu?

Mkopo unalipika?

Kuna changamoto zozote ambazo zipo na hazisemwi?

NB: Nimeona matangazo yao online inaonesha wana vigezo nafuu
Umetoka kijiji gani huko kanda ya ziwa? Karibu mjini
 
Back
Top Bottom