Mliowahi chukua mkopo kwenye hizi taasisi za tulia na mo foundation Mtupatie ushuhuda?

Mliowahi chukua mkopo kwenye hizi taasisi za tulia na mo foundation Mtupatie ushuhuda?

Vipi bado mtu hajaliwa kichwa? Msipende sana mikopo hebu pambana ndani ya bajeti yakobukiona mambo magumu bana zaidi bajeti usikimbilie option ya kukopa kisa kuna msemo hata matajiri wanakopa jiulize akikopa tajiri anafanya nini na ww ukikopa unafanya nini imagine mtu anakopa akatibu matatizo ya mwezi wa 12 lakini januari ikianza analia njaa kali.
 
View attachment 2834858
Soma hapo

242 Million dollar
Mtu aliwauzia wazungu airport we unajikuta unaakili!
Kama tapeli wamejipanga hata hiyo nyumba unayoishi unaweza kuta wameforge kila kitu kuanzia majiran ,mwanasheria,na kila kitu siku unaambiwa tu walokuuzia hawatambuliki


[emoji736]Wake up usijione smart kiivo sema tuchukue taadhali kila inapobidi
Unaonekana umekuja kusoma upepo wa raia humu mtandaoni na kwa uchunguzi wangu kwa zaidi ya 50% utakua unahusika na utapeli wa mitandaoni au unashirikiana nao. Mjinga ambae hajui kutapeliwa hawezi kuwa na knowledge kama ya kwako ya kuwajua matapeli. Please JF members Be warned
 
Kuna ile ya masanja mkandamizaji he ni ya ukweli au uongo? Maana natafuta hela 10m.nisaidieni ukweli
 
Utatapeliwa kijana. Mwisho wa siku kuna kuombwa
1. Hela ya fomu ya kuomba mkopo
2. Bima ya mkopo
3. Dhamana ya mkopo
4. Tozo ya mkopo

Wakikupa karatasi ya masharti utachoka. Ngoja niishie hapa. Utaleta mrejesho

Sasa kiongozi ndio umeleta hoja wengi wanajibu kwa mihemuko
 
MREJESHO WA MKOPO

Nataka nilete mrejesho wa nilichokikuta??
 
Aisee huyu mwamba ni mbishi sana tena ashukuru wana JF la sivyo angekuwa na uzi wa nimetapeliwa
 
Wakuu nimepewa taarifa kuhusu mikopo kutoka kwene hzii taasisi Tulia foundation na Mo foundation. Nataka nijue kuna changamoto gani kwa mkopaji?

Je, siyo kausha damu?

Mkopo unalipika?

Kuna changamoto zozote ambazo zipo na hazisemwi?

NB: Nimeona matangazo yao online inaonesha wana vigezo nafuu
Mwenye nguvu mpishe apite,kama kausha au sio hakuna mbavu nene za kuweza toa neno🤔
 
Nataka nijue natapeliwaje na sijaombwa hela
Umeuliza swali ili ujuwe kuhusu hizo taasisi umepewa majibu sahihi ambayo ndiyo sahihi wewe unaendelea kubisha.

SASA USITUCHOSHE NENDA UKOPE HUKO HALAFU WEWE NDIYO UTATULETEA MREJESHO KAMA NI MATAPEL AU LAA MAANA UPANDE TUONAOJUWA SISI KUWA HAO NI MATAPEL WEW UNASEMA WATAKUTAPELIJE SASA NENDA UKOPE ILI BAADAYE UTATUPA WEWE NJIA WANAYOTUMIA KUTAPELI
 
Back
Top Bottom