Mliowahi ku-date na wadada wa Kiganda njooni hapa

Mliowahi ku-date na wadada wa Kiganda njooni hapa

luangalila

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2014
Posts
6,346
Reaction score
6,928
Kupitia dating site moja popualr sana hapa Afrika mashariki imenikutanisha na mdada mmoja toka kaskazin mwa Uganda toka, mji unaitwa LIRA ila anaishi Kampala coz anafanya kazi hapo Kampala.

Dada huyu yupo serious sanaa, ktk mipango yetu ya kuonana face to face ndipo nikaropoka mm ntakuwa wa kwanza kumtembelea basi dada huyu emenikaribisha kwake mwezi Dec, na huu mwaka nauona unakimbia kama umetumwa vile.

Wadau mlio wahi ku date na wadada toka uganda embu nipeni hints. Je wana maudambwi dambwi au watata kama wakora wa kikenya?
 
Demu wakiganda wengi ni wasomi pia wako kisasa zaidi, lakini jambo muhimu jiendae na pesa ya kutosha wanapenda sitarehe sana
Wewe kweli unawajua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenikumbusha mmoja alikuja tz na mwanae nikawa naishi nae alikua alikua anafundisha shule zetu hizi za english medium alikua smart sana alitengezewa zengwe ya work permit na mkuu wa shule kisa alitaka apandishiwe mshahara wazazi walimpenda sana kusikia hayupo wengi walihamisha watoto, ikambidi arudi kwao na mafao yake mpaka leo hakuchukua, huwa anakuja kunisalimia amenikuta tayari na familia
 
Kupitia dating site moja popualr sana hapa Afrika mashariki imenikutanisha na mdada mmoja toka kaskazin mwa Uganda toka.mji unaitwa LIRA ila anaishi Kampala coz anafanya kazi hapo kampala

Dada huyu yupo serious sanaa, ktk mipango yetu ya kuonana face to face ndipo nikaropoka mm ntakuwa wa kwanza kumtembelea basi dada huyu emenikaribisha kwake mwezi Dec, na huu mwaka nauona unakimbia kama umetumwa vile

Wadau mlio wahi ku date na wadada toka uganda embu nipeni hints Je wana maudambwi dambwi au watata kama wakora wa kikenya,

hawa wadada usipo kuwa makini ndio utajua uzai au unazaa.

wanashika mimba hatari sana.gusa unase
kuna dogo mmoja alikuwa ITV kipindi cha watoto enzi hizo kaliingia msala wa mganda
 
Kupitia dating site moja popualr sana hapa Afrika mashariki imenikutanisha na mdada mmoja toka kaskazin mwa Uganda toka.mji unaitwa LIRA ila anaishi Kampala coz anafanya kazi hapo kampala

Dada huyu yupo serious sanaa, ktk mipango yetu ya kuonana face to face ndipo nikaropoka mm ntakuwa wa kwanza kumtembelea basi dada huyu emenikaribisha kwake mwezi Dec, na huu mwaka nauona unakimbia kama umetumwa vile

Wadau mlio wahi ku date na wadada toka uganda embu nipeni hints Je wana maudambwi dambwi au watata kama wakora wa kikenya,
wana mambo ya ajabu sana, usiniulize yapi. utajionea mwenyewe
 
Back
Top Bottom