Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,876
- 7,118
Mi nilitumia TinderDating site ipi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nilitumia TinderDating site ipi
Unahangaika Na Malaya....madem wote wa tinder Ni MalayaMi nilitumia Tinder
Malaya wapo ila sio wote wanaotumia dating sites ni malayaUnahangaika Na Malaya....madem wote wa tinder Ni Malaya
Hadi wewe shemejiDating site ipi
Unaingia online unatafuta wanawake? Utaibuka na majini huko…Kupitia dating site moja popualr sana hapa Afrika mashariki imenikutanisha na mdada mmoja toka kaskazin mwa Uganda toka. mji unaitwa LIRA ila anaishi Kampala coz anafanya kazi hapo Kampala .
Dada huyu yupo serious sanaa, ktk mipango yetu ya kuonana face to face ndipo nikaropoka mm ntakuwa wa kwanza kumtembelea basi dada huyu emenikaribisha kwake mwezi Dec, na huu mwaka nauona unakimbia kama umetumwa vile.
Wadau mlio wahi ku date na wadada toka uganda embu nipeni hints Je wana maudambwi dambwi au watata kama wakora wa kikenya,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuuNatia mkazo....
Kweli hii...wanashika mimba sanahawa wadada usipo kuwa makini ndio utajua uzai au unazaa.
wanashika mimba hatari sana.gusa unase
kuna dogo mmoja alikuwa ITV kipindi cha watoto enzi hizo kaliingia msala wa mganda
Kyotera..kalisizo..lukaya..kitambo sana...wewe utakua Ssebo bila shaka.Ooh yeah unanikumbusha route zangu...Mutukula, kalisizo, kyotera, Masaka to Kampala(mji wa starehe) hapo utakutana na races kama zote!!!! Kampala madem wengi wanapenda starehe so jiandiae kuchunwa pesa mpaka ukose nauli ya kurudia TZ, Alafu sio wachoyo wa papuchi na so kuwa makini!! Unanikumbusha maeneo kama Nakitete, Bweyogerere, Entebbe,Nsambya e.t.c
hapana mimi ni mtizedi....Kyotera..kalisizo..lukaya..kitambo sana...wewe utakua Ssebo bila shaka.
Sio Eddy sultan kweli???hawa wadada usipo kuwa makini ndio utajua uzai au unazaa.
wanashika mimba hatari sana.gusa unase
kuna dogo mmoja alikuwa ITV kipindi cha watoto enzi hizo kaliingia msala wa mganda
Shemu nipo kutaka kujua hawa vijana wanaleta ulongo ama, hapana mimi sinilishapata shemeji kutafuta wa nini shemu wanguHadi wewe shemeji
We encourage Importation kuboresha vya ndaniHivi warembo woote kweli hapa nyumbani haujaona we jamaa??
sasa si bora kuimport Rwanda jamani... kuondoka tiziii kwenda ug ni kushuka kwenye range ukadandie ki passo buanaWe encourage Importation kuboresha vya ndani