Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Viwango vipo ISO inazingatiwa standard za pisi, hatuwezi tegemea RWANDA [emoji1206] pekee ni lazima soko liwe huriasasa si bora kuimport Rwanda jamani... kuondoka tiziii kwenda ug ni kushuka kwenye range ukadandie ki passo buana
Ukimaliza nataka summaryNasoma comments
🤣🤣🤣🤣Ukimaliza nataka summary
Summary yako nitaielewa vizuri kuliko yangu nasubiri hivyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Soma acha uvivu
😂😂😂😂Haya nisubiri piem chapSummary yako nitaielewa vizuri kuliko yangu nasubiri hivyo
Uganda kuna demu wazuri na wa viwango kuliko Rwanda labda kama hujui uganda kila dizaini wapo usikalili watusi wa Rwanda tu wenyewe wana jitangaza kwa kujiuza tusasa si bora kuimport Rwanda jamani... kuondoka tiziii kwenda ug ni kushuka kwenye range ukadandie ki passo buana
[emoji3][emoji3][emoji3] Sawa madam nasubiria[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haya nisubiri piem chap
sasa si bora kuimport Rwanda jamani... kuondoka tiziii kwenda ug ni kushuka kwenye range ukadandie ki passo buana
Uganda kuna demu wazuri na wa viwango kuliko Rwanda labda kama hujui uganda kila dizaini wapo usikalili watusi wa Rwanda tu wenyewe wana jitangaza kwa kujiuza tu
Huko anaenda kukutana na undertaker akimletea habari zisizoeleweka anamng'oa meno yoteWwe.com
Mademu wa Uganda Ni wa kiwango Cha changalawe 😄😄Uganda kuna demu wazuri na wa viwango kuliko Rwanda labda kama hujui uganda kila dizaini wapo usikalili watusi wa Rwanda tu wenyewe wana jitangaza kwa kujiuza tu
🔨🔨🔨🔨Site gani iyo na sisi tuzamie!
😂😂😂Shemu nipo kutaka kujua hawa vijana wanaleta ulongo ama
Ingikuwa pow ungeweka wazi.naku kumbusha hiyo ID ni fake hatukujui.wana mambo ya ajabu sana, usiniulize yapi. utajionea mwenyewe
Mnyamwezi kang'oa mwingine dogodogo sahv simchezoSio Eddy sultan kweli???
Kupitia dating site moja popualr sana hapa Afrika mashariki imenikutanisha na mdada mmoja toka kaskazin mwa Uganda toka. mji unaitwa LIRA ila anaishi Kampala coz anafanya kazi hapo Kampala .
Dada huyu yupo serious sanaa, ktk mipango yetu ya kuonana face to face ndipo nikaropoka mm ntakuwa wa kwanza kumtembelea basi dada huyu emenikaribisha kwake mwezi Dec, na huu mwaka nauona unakimbia kama umetumwa vile.
Wadau mlio wahi ku date na wadada toka uganda embu nipeni hints Je wana maudambwi dambwi au watata kama wakora wa kikenya,