Mliowahi ku-date na wadada wa Kiganda njooni hapa

Mliowahi ku-date na wadada wa Kiganda njooni hapa

Na yy ni lang'ii ...ananiambia wana chemistry na wa luo toka Kenya, ww jamaa kweli unawajua .. eh vipi hawa wa lang'ii na wao wana mwaga mimaji on bed mkuu ?

Huyu dada ni mfanyakaz ktk NGO flan na hapo umetaja kitgum, aisee umenikjmbusha aliniambia alipataga ajali ya gari hapo Kitgum
Yes jaluo nq hao ni ndugu kqbisa zipo ethnic groups nyingi wote wamoja hao, hakuna maji mbususu ziko poa sanq
 
Kweli mkuu wewe ukahangaike huko ipo siku utaungana nami.

Kwa kifupi waganda ni malaya sana na pili huwwzi kuwaweka chini yaani ukiwa naye ni kama vile madume mawili yenye nguvu sawa.

Na katika mahusiono hunoga mmoja akiwa chini yamwenzie na huku kwetu tumezoea sana wapenzi wetu wawe chini.

Hii imezoeleka sana na ndio inatupa urahisi wa kudumu ktk mahusiano.

Mataifa mengine hili halipo..
Ole wako umzee halafu ukamzingua.
Huo u b..oo hutaka usimame kumtamani tena.
Utajua umekutana na mzazi wake shetani[emoji28][emoji28][emoji28]
Wewe hijui Waganda huwezi kulinganisha ma demu wa kiganda na wa kwetu hapa kwenye kila nyanja, ni wanynyekevu ukiwa na mwelekeo, ni wasafi na urembo juu ukuwa na pesa, ni wajasiriamali ukiwa na miradi ya biashara uzuri wao wa asiri sio lahisi kujichubua ngozi wana elimu ya darasani na ya maisha. Ulinganishe na wa kwetu wapinga vizinga vya kijinga kijinga, nauli viatu kodi ada ya wadogo zangu, hapo ni wadarasa la saba au f4 falia
 
Wewe hijui Waganda huwezi kulinganisha ma demu wa kiganda na wa kwetu hapa kwenye kila nyanja, ni wanynyekevu ukiwa na mwelekeo, ni wasafi na urembo juu ukuwa na pesa, ni wajasiriamali ukiwa na miradi ya biashara uzuri wao wa asiri sio lahisi kujichubua ngozi wana elimu ya darasani na ya maisha. Ulinganishe na wa kwetu wapinga vizinga vya kijinga kijinga, nauli viatu kodi ada ya wadogo zangu, hapo ni wadarasa la saba au f4 falia
Labda mademu wa kabila lako ni wa hovyo au unaochangamana nao ni wa hovyo.

Narudia...mabinti wetu wa Kitanzania ni bora kuliko popote duniani.
Ndio wanayo mapungufu lakini sio kwa kiwango cha nchi za wenzetu.

Ni uzuri gani ambao waganda wanao ambao kwetu haupo?
Wasichana wetu wote wanajichubua?

Nakuhakikishia wanaume wa nchi zinazotuzunguka wanavutiwa sana na tabia za wasichana wetu.

Lakini sikupingi unavyoamini wewe.
 
Northerners esp.the Lang'o ladies from Lira are good and wanatupenda wabongo nina imani na huyo demu kbsa ajiandae kwa moyo mweupe kbsa
Mtoto wake ananita baba mpaka kesho alitaka ji mu adopt mwanae alinikuta tayari na mke, nimekaa nao three good years wapo na mahaba mzee sema ujana umeshanipita sahivi sina pilikapilika hizo tena za huku kule
 
Kupitia dating site moja popualr sana hapa Afrika mashariki imenikutanisha na mdada mmoja toka kaskazin mwa Uganda toka. mji unaitwa LIRA ila anaishi Kampala coz anafanya kazi hapo Kampala .

Dada huyu yupo serious sanaa, ktk mipango yetu ya kuonana face to face ndipo nikaropoka mm ntakuwa wa kwanza kumtembelea basi dada huyu emenikaribisha kwake mwezi Dec, na huu mwaka nauona unakimbia kama umetumwa vile.

Wadau mlio wahi ku date na wadada toka uganda embu nipeni hints Je wana maudambwi dambwi au watata kama wakora wa kikenya,
Kudeti ndiyo kufanya tendo la ndoa/kufanya mapenzi/sex! Religious people wanaita kuzini/kufanya zinaa. Kweli dunia ime advance kufanya prostitution sasa kunaitwa Kudanga.
 
Ooh yeah unanikumbusha route zangu...Mutukula, kalisizo, kyotera, Masaka to Kampala(mji wa starehe) hapo utakutana na races kama zote!!!! Kampala madem wengi wanapenda starehe so jiandiae kuchunwa pesa mpaka ukose nauli ya kurudia TZ na kingine wapo sooo Natural, Alafu sio wachoyo wa papuchi na so kuwa makini!! Unanikumbusha maeneo kama Nakitete, Bweyogerere, Entebbe,Nsambya e.t.c
Na miss kuku wa kyotera[emoji23][emoji23]
 
Kuna hii tandam ya kiganda nilikua naisukuma sometimes back in 2014.sema maji kama yote

Screenshot_20220507-075245_LinkedIn.jpg
 
Kupitia dating site moja popualr sana hapa Afrika mashariki imenikutanisha na mdada mmoja toka kaskazin mwa Uganda toka. mji unaitwa LIRA ila anaishi Kampala coz anafanya kazi hapo Kampala .

Dada huyu yupo serious sanaa, ktk mipango yetu ya kuonana face to face ndipo nikaropoka mm ntakuwa wa kwanza kumtembelea basi dada huyu emenikaribisha kwake mwezi Dec, na huu mwaka nauona unakimbia kama umetumwa vile.

Wadau mlio wahi ku date na wadada toka uganda embu nipeni hints Je wana maudambwi dambwi au watata kama wakora wa kikenya,
Naomba link privately ya hiyo dating site
 
Ooh yeah unanikumbusha route zangu...Mutukula, kalisizo, kyotera, Masaka to Kampala(mji wa starehe) hapo utakutana na races kama zote!!!! Kampala madem wengi wanapenda starehe so jiandiae kuchunwa pesa mpaka ukose nauli ya kurudia TZ na kingine wapo sooo Natural, Alafu sio wachoyo wa papuchi na so kuwa makini!! Unanikumbusha maeneo kama Nakitete, Bweyogerere, Entebbe,Nsambya e.t.c
Hapo masaka nimetafuna toto la kiganda ,kuna mji mwingine unaitwa Mbarara napo nimegonga gonga sana ,wsganda siyo wachoyo kwa kweli
 
Back
Top Bottom