luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
- Thread starter
-
- #121
Hata hapo mbarara kupitia iyo iyo app, nimempata mmoja pia ila huyo wa mbarara hayupo emotional sanaa kama huyu wa kampala, ila nasikia hapo mbarara ndio nyumban kwa wale wa ganda wenye asili ya kinyarwanda .....Si ni sahihi mkuu Last KING OntuzuHapo masaka nimetafuna toto la kiganda ,kuna mji mwingine unaitwa Mbarara napo nimegonga gonga sana ,wsganda siyo wachoyo kwa kweli
Eh mkuu hapa ulijifaidia bana hatariKuna hii tandam ya kiganda nilikua naisukuma sometimes back in 2014.sema maji kama yote
View attachment 2214849
Ni kweli mkuu, ndiyo asili yao hao jamii ya M7.Hata hapo mbarara kupitia iyo iyo app, nimempata mmoja pia ila huyo wa mbarara hayupo emotional sanaa kama huyu wa kampala, ila nasikia hapo mbarara ndio nyumban kwa wale wa ganda wenye asili ya kinyarwanda .....Si ni sahihi mkuu Last KING Ontuzu
Mkuu unaweza kunitumia hiyo website pm[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]Kupitia dating site moja popualr sana hapa Afrika mashariki imenikutanisha na mdada mmoja toka kaskazin mwa Uganda toka. mji unaitwa LIRA ila anaishi Kampala coz anafanya kazi hapo Kampala .
Dada huyu yupo serious sanaa, ktk mipango yetu ya kuonana face to face ndipo nikaropoka mm ntakuwa wa kwanza kumtembelea basi dada huyu emenikaribisha kwake mwezi Dec, na huu mwaka nauona unakimbia kama umetumwa vile.
Wadau mlio wahi ku date na wadada toka uganda embu nipeni hints Je wana maudambwi dambwi au watata kama wakora wa kikenya,
Connection Mkuu👏👏👏Kuna hii tandam ya kiganda nilikua naisukuma sometimes back in 2014.sema maji kama yote
View attachment 2214849
Kuanzia Kireka, Bweyogerere, Kazinga hadi Namanve kuna pisi nyingi hasa kwenye kiwanda cha nywele na azam pale Namanve. Malipo 4,000 ya kiganda kwa siku lazima pisi zilike tuBweyogerere