Mliowahi kudate na Msichana Mzungu Pitia hapa

Mliowahi kudate na Msichana Mzungu Pitia hapa

Mke wangu siwez kumuacha mkuu,tumepitia nyakati ngumu pamoja kuna kipindi kampuni niliyokuwa nafanya kazi ikafirisika ikabidi nipige benchi nikawa mimi na TV Tv na mimi tu home mke wangu alisimamia kila kitu alisumbua sana ndugu zake waniinue mpaka nainuka na kupwa na angalau ni kwa juhudi zake yeye,sasa hapo mkuu kumuacha si laaana hiyo? Na tuna historia ndefu sana na ngumu mno..kuhus suala la kumchakata mzungu watu ikiwemo mimi mwanzo huwa wanahisi wazungu ni wa baridi hawana joto kama wanawake wetu wakibantu jibu hapa ni big noo hawana tofauti na wanawake wetu sema wao kwa mtazamo wangu wapo nasty sana kitandani anaweza akafanga chochote kukuridhisha hawana aibu halafu kesho unaweza ukamkuta kwenye project fulan yipo serious huwez amin anayoyafanya kitandani..Kwa ujumla utamu ni uleule tu hauna tofauti
Mmmmh they are shameless
 
Mkuu majuzi nilikuwa ktk.social network.moja ivi maarufu sanaa sasa iv, basi kuna ka discussion kalikuwa kanapigwa humo juu ya issues za maisha huko scandnnavia cou.tries

Ndipo mwamba mmoja yupo Denmark akafunguka akasema huko Den, watoto wa ki Denish wana penda sana kujaribu ku sex na majitu meusi toka Africa ... Jamaa.alienda zaidi akadai wakat yy anaingia Denmark ile kutoa ushamba ya mbususu za wazungu akajua atatongoza kwa kutumia nguvu sanaa jamaa akadai yaan alikuwa ni kumsukuma mlevi tu anajipigia tu
Inaitwaje hiyo social network? Tupate maujuzi pua
 
Mke wangu siwez kumuacha mkuu,tumepitia nyakati ngumu pamoja kuna kipindi kampuni niliyokuwa nafanya kazi ikafirisika ikabidi nipige benchi nikawa mimi na TV Tv na mimi tu home mke wangu alisimamia kila kitu alisumbua sana ndugu zake waniinue mpaka nainuka na kupwa na angalau ni kwa juhudi zake yeye,sasa hapo mkuu kumuacha si laaana hiyo? Na tuna historia ndefu sana na ngumu mno..kuhus suala la kumchakata mzungu watu ikiwemo mimi mwanzo huwa wanahisi wazungu ni wa baridi hawana joto kama wanawake wetu wakibantu jibu hapa ni big noo hawana tofauti na wanawake wetu sema wao kwa mtazamo wangu wapo nasty sana kitandani anaweza akafanga chochote kukuridhisha hawana aibu halafu kesho unaweza ukamkuta kwenye project fulan yipo serious huwez amin anayoyafanya kitandani..Kwa ujumla utamu ni uleule tu hauna tofauti
Hongera sana kwa kuthamini mchango wa mkeo
 
kuna tetesi wanatembe na dildo, ukilegeza macho unapigwa mkia. Niwaangalia hawa vijana wetu nahisi kuna ukweli fulani mfano hao ni Arusha
 
Sio wewe tu hata sisi tunashangaa.
Watoto 6 wa saba yupo tumboni.
jumapili moja nenda Coco Beach mapangoni kule utamuona.
Yeye ana rasta
Basi watakuwa wanazo

Ila nimeshangaa mzungu anakubali kuzaa Kama bata maana mademu wa kizungu wako serious kwenye afya ya uzazi
 
kuna tetesi wanatembe na dildo, ukilegeza macho unapigwa mkia. Niwaangalia hawa vijana wetu nahisi kuna ukweli fulani mfano hao ni Arusha
Kuna mdau amesema wazungu wapenda kunyonya na hawaoni kinyaa....vijana wa arusha watakuwa wananyonywa sana mshimo ya taka na wazungu ndio maana wanaharibika
 
Alikuwa na kiarufu. Sema alikuwa anapaka jelly flani hivi, na baadae niligundua alikuwa ana kichupa cha mouth spray. Lakini hii kitu mswaki sikuwahi...na enzi hizo kupiga mzungu ulikuwa unaonekana mwamba kwanza unafahamu lugha, na si bure utakuwa una vipesa...
Kumbe ki spray kilimfanya asinuke mdomo eeeh? Je kuchamba alikuwa anachamba fresh?
 
Dah umenikumbusha mbali mtoto Abigail alinipenda kuliko kawaida,kwa mara ya kwanza ndio niliona mtoto wa kizungu anataka kujiua kisa kapuku mimi sitosahau....Demand yake ilikuwa ni moja tu nimuoe kisha tukaishi moja kati ya nchi ya Scandinavia tatzo ni kwamba mimi nilikuwa nishaoa na nina familia baada ya kumfichaficha ukweli ikabidi siku moja nimtobokee tu kwamba am arleady taken hapo ndipo mawazo ya kutaka kuchukua maamuzi magumu yalivyompata..She is educated woman,Beautiful,Rich na wife material kabisa,sifa ulizozitaja hapo zote wanazo,Kulia ni mimi kushoto ni yeye enzi zetu somewhere in Tz

View attachment 2198556
Hatari sana
 
Dah umenikumbusha mbali mtoto Abigail alinipenda kuliko kawaida,kwa mara ya kwanza ndio niliona mtoto wa kizungu anataka kujiua kisa kapuku mimi sitosahau....Demand yake ilikuwa ni moja tu nimuoe kisha tukaishi moja kati ya nchi ya Scandinavia tatzo ni kwamba mimi nilikuwa nishaoa na nina familia baada ya kumfichaficha ukweli ikabidi siku moja nimtobokee tu kwamba am arleady taken hapo ndipo mawazo ya kutaka kuchukua maamuzi magumu yalivyompata..She is educated woman,Beautiful,Rich na wife material kabisa,sifa ulizozitaja hapo zote wanazo,Kulia ni mimi kushoto ni yeye enzi zetu somewhere in Tz

View attachment 2198556
Hapa umewauwa wale wa wazee wa chai

Kwisha Habari zao!
 
Mke wangu siwez kumuacha mkuu,tumepitia nyakati ngumu pamoja kuna kipindi kampuni niliyokuwa nafanya kazi ikafirisika ikabidi nipige benchi nikawa mimi na TV Tv na mimi tu home mke wangu alisimamia kila kitu alisumbua sana ndugu zake waniinue mpaka nainuka na kupwa na angalau ni kwa juhudi zake yeye,sasa hapo mkuu kumuacha si laaana hiyo? Na tuna historia ndefu sana na ngumu mno..kuhus suala la kumchakata mzungu watu ikiwemo mimi mwanzo huwa wanahisi wazungu ni wa baridi hawana joto kama wanawake wetu wakibantu jibu hapa ni big noo hawana tofauti na wanawake wetu sema wao kwa mtazamo wangu wapo nasty sana kitandani anaweza akafanga chochote kukuridhisha hawana aibu halafu kesho unaweza ukamkuta kwenye project fulan yipo serious huwez amin anayoyafanya kitandani..Kwa ujumla utamu ni uleule tu hauna tofauti
hongera kwa kukumbuka fadhila mkuu

basi siku moja moja uwe unamwambia kuwa unaona umuhimu wake na kamwe huwez kumuacha

wanawake tunapenda kuskia maneno matraaam km hayo
 
Back
Top Bottom