hermanthegreat
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 1,274
- 3,282
Uko sahih sanaaa vijana wa Arusha wanawapitiaa mnoFuga rasta usivae ki modern just be localy
Yani Joanah🤣🤣🤣🤣Epuka uongo
Sisi wazungu hatupendi kona kona
Japo sijui vizuri kiswahili naamini nimeeleweka
Piga paipu kama kombe uwanjani mbele ya Makamukuna girl mmoja wa kizungu hapa , foreigner hajui hata Kiswahili, naona anaingia kwenye 18 zangu.
Naombeni tips wakuu, vitu gani zaidi niepukane navyo ili nimnase mazima huyu mrembo.
Natanguliza shukrani.
Haha!Halafu mpelekee moto usimwonee huruma,mkunje kila mkunjo
Ukute ni boss wakoHaha!
Ila humu ndani ndio maana haitakiwi mfahamiane.
Nimewaza hii comment angeandika mtu nayemjua.. ningemvutia picha na kubaki kucheka sanaaa
Vuta bangi then mpelekee mwambie ajaribu kuvuta pia..!kuna girl mmoja wa kizungu hapa , foreigner hajui hata Kiswahili, naona anaingia kwenye 18 zangu.
Naombeni tips wakuu, vitu gani zaidi niepukane navyo ili nimnase mazima huyu mrembo.
Natanguliza shukrani.