Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
😂😂!
Ila humu ndani ndio maana haitakiwi mfahamiane.
Nimewaza hii comment angeandika mtu nayemjua.. ningemvutia picha na kubaki kucheka sanaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂!
Ila humu ndani ndio maana haitakiwi mfahamiane.
Nimewaza hii comment angeandika mtu nayemjua.. ningemvutia picha na kubaki kucheka sanaaa
Mwenyew htijuwiUkisoma Comments #1 hadi #38 inaonesha wengi humu wamedate Wazungu, kasoro mimi tu ninaye endelea kula vya nyumbani 🤪🙌
Mkuu njoo pm tuyajenge nahitaji bange hata debe tatu maana huku Dom mzigo umekuwa adimu halafu hauna quality kama zamani nahisi mapusha wakongwe hawapo tenaEpuka uwongo, acha janja janja za kujikuta born town kumbe mzaliwa wa mwanambaya
Outings nenda nae maeneo ya kawaida ungekua Moshi Kuna maeneo mengi ya kumpeleka milimani kule, mitoni huko mkaogele mto weru weru, maporomoko mbali mbali pita mpaka marangu ndani ndani
Kama anaelewa kitu Cha Arusha usimbanie msambazie ya kutosha kama mazingira hayaeleweki nicheki PM debe Moja nakuuzia 40k kitu piruuuu
Kama ni kitandan piga show za vurugu mingi mingi ustaaarabu zero slapping za Karne ya 18 vuteni bangi trombranenri
Sema angalia alivo alivo......Akili za kupewa hz saa zngn haziaply Kila mahali
Kwani wazungu wote wako sawa?kuna girl mmoja wa kizungu hapa , foreigner hajui hata Kiswahili, naona anaingia kwenye 18 zangu.
Naombeni tips wakuu, vitu gani zaidi niepukane navyo ili nimnase mazima huyu mrembo.
Natanguliza shukrani.
Bado hujasemaEpuka uongo
Sisi wazungu hatupendi kona kona
Japo sijui vizuri kiswahili naamini nimeeleweka
tuachane na South kwanza mkuu🤣Ushafika sauzi au??
Kula vya home mkuu hamna mzungu hapo,ni hawa mapopo Yahoo boys.Ukisoma Comments #1 hadi #38 inaonesha wengi humu wamedate Wazungu, kasoro mimi tu ninaye endelea kula vya nyumbani 🤪🙌
[emoji23][emoji23]Ukute ni boss wako
Yaan nilikuwa namjibu Mpaji Mungu sielewi imekuwaje nimekwoti wewe.Mbona sijaandika kuhusu bangi ebu soma nilichoandika kwanza bangi Mimi najua ni starehe za watu waoga
😁 Ila bangi ni starehe ya WATU waoga MTU ambaye ni imara huwa haitaji bangi , pombe wala mirahaa kuwa imara. 😁
Huku wapuuzi kwel! Wanachanganya na tumbaku......afu eti kwel wanapata mzuka🤣hawa wavaa vinjunga tatizo sanaunampoteza 😆 cha Arusha huko daslma kwao ni zambiiii
Komredi we hubiri noleji na intelijens bangi siyo level zako.....hiii inatumiwa na akili za kuzaliwa sio kusoma vitabu vya Bitcoin😁 Ila bangi ni starehe ya WATU waoga MTU ambaye ni imara huwa haitaji bangi , pombe wala mirahaa kuwa imara. 😁
Kuna dada mmoja volunteer kutoka USA, alinizoea mnoo mie hata sikuwai mtamani, akawa anaomba twende out, alikuwa anapenda sana Savannah, basi mazoea yalikuwa makubwa, nilikula kama mala tatu, akaja akasepa, kuna siku alinibless vi dollars around $800, bila kumuomba, sema alikuwa anapenda rough sexkuna girl mmoja wa kizungu hapa , foreigner hajui hata Kiswahili, naona anaingia kwenye 18 zangu.
Naombeni tips wakuu, vitu gani zaidi niepukane navyo ili nimnase mazima huyu mrembo.
Natanguliza shukrani.
Kumbe mwamba alizamia kwa madiba alafu hasemi 😄tuachane na South kwanza mkuu🤣