Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Nimewafanya nn jamaniIla tatizo lake ni mkorofi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimewafanya nn jamaniIla tatizo lake ni mkorofi
Ndo unifokee?NIMEIFUTA ILE COMMENT YANGU.SIJUI NILIIANDIKA LINI NA NIKIWA NA HALI GANI?
YULE SIO MIMI TIMAMU KABISA.
DUNIA YA JF NAOMBA MNISAMEHE KWA UANDISHI ULE.
Hapana wala sijafoka jamani,wapi nimefanya hivo?Ndo unifokee?
Aya nyamaza kulia sitaki nione machozi yako.Nimewafanya nn jamani
HahahahhahahaEpuka uongo
Sisi wazungu hatupendi kona kona
Japo sijui vizuri kiswahili naamini nimeeleweka
Kwanini unamfokea Depal wanguHapana wala sijafoka jamani,wapi nimefanya hivo?
Kepito leta 😁Hapana wala sijafoka jamani,wapi nimefanya hivo?
Oooh,kwanza naomba unisamehe kwa comment yenye ganzi namna ile please.Kepito leta [emoji16]
wanatoa 0714Kuna girl mmoja wa kizungu hapa, foreigner hajui hata Kiswahili, naona anaingia kwenye 18 zangu.
Naombeni tips wakuu, vitu gani zaidi niepukane navyo ili nimnase mazima huyu mrembo.
Natanguliza shukrani.
Ulitisha Mkuu kumkomesha huyo PakaPoriKula vya home mkuu hamna mzungu hapo,ni hawa mapopo Yahoo boys.
Wako dunia nzima.wanaiba profile za date chat anajifanya mwanamke ni yeye.
Kesho utaombwa tu acc au utatuma detail unapigwa hapohapo na humsikii tena.
From experience mi nishapambana na mmoja mpk akaelewa somo.
Hakujua alipolala mi ndio nilikotoka.
Nimemkuta Vancouver na vifaa vyake vyote.
Kwahiyo huenda tunapigwa fiksi hapa sio 🤪Mwenyew htijuwi
Hii local food stafu imenchekesha😂😂😂Mfundshe Kiswahili mpelek migahawa ya kawaid , local food stafu
[emoji16][emoji16]daah humu ndaniMpelekee Moto Hadi usikie harufu ya mishikaki
Mbona sio mkorofi, itakua umemfananishaIla tatizo lake ni mkorofi
Kweli kabisaIkizidi ni dalili za kuwehuka
Labda ameachaMbona sio mkorofi, itakua umemfananisha
Ukute ni mmeo. Lkn akifika home mpaka umboost. Yaani humu kila mtu yuko vzr. Uongo tupuHaha!
Ila humu ndani ndio maana haitakiwi mfahamiane.
Nimewaza hii comment angeandika mtu nayemjua.. ningemvutia picha na kubaki kucheka sanaaa