kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 9,872
- 16,319
Epuka uongo
Sisi wazungu hatupendi kona kona
Japo sijui vizuri kiswahili naamini nimeeleweka
We hata bangi hua unavuta[emoji3][emoji28][emoji28][emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Epuka uongo
Sisi wazungu hatupendi kona kona
Japo sijui vizuri kiswahili naamini nimeeleweka
Epuka uwongo, acha janja janja za kujikuta born town kumbe mzaliwa wa mwanambaya
Outings nenda nae maeneo ya kawaida ungekua Moshi Kuna maeneo mengi ya kumpeleka milimani kule, mitoni huko mkaogele mto weru weru, maporomoko mbali mbali pita mpaka marangu ndani ndani
Kama anaelewa kitu Cha Arusha usimbanie msambazie ya kutosha kama mazingira hayaeleweki nicheki PM debe Moja nakuuzia 40k kitu piruuuu
Kama ni kitandan piga show za vurugu mingi mingi ustaaarabu zero slapping za Karne ya 18 vuteni bangi trombranenri
Sema angalia alivo alivo......Akili za kupewa hz saa zngn haziaply Kila mahali
Nyie mnaouza madawa ya kulevyia ndiyo tunaowatafutaEpuka uwongo, acha janja janja za kujikuta born town kumbe mzaliwa wa mwanambaya
Outings nenda nae maeneo ya kawaida ungekua Moshi Kuna maeneo mengi ya kumpeleka milimani kule, mitoni huko mkaogele mto weru weru, maporomoko mbali mbali pita mpaka marangu ndani ndani
Kama anaelewa kitu Cha Arusha usimbanie msambazie ya kutosha kama mazingira hayaeleweki nicheki PM debe Moja nakuuzia 40k kitu piruuuu
Kama ni kitandan piga show za vurugu mingi mingi ustaaarabu zero slapping za Karne ya 18 vuteni bangi trombranenri
Sema angalia alivo alivo......Akili za kupewa hz saa zngn haziaply Kila mahali
Unanitafuta we na nan? Haya njoo Leo ntakua nasali KKKT kimaraNyie mnaouza madawa ya kulevyia ndiyo tunaowatafuta
Unapatikana wapi mkuu au nije PM
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nadanganya mkuu au[emoji23][emoji23][emoji23]
Nadanganya mkuu au
Karibu sana, huchokagi tu kuishi roryaWatu wa arusha bwana[emoji16]
😊😊😊😊😊😊😊Basi Mimi nipo hapa mzungu wako njoo ufaidi. Ni mzungu wa roho lakini sio mzungu pori Wala mzungu wa mwisho
Ndo niniBrother sio wewe ambae ni dalali wa nyanya dumila?samahani kama nimekufananisha
Umeweka vzr Sana mkuuwapo wazi na direct, omba namba utapewa wala hawaringi wala usijisifie kupewa namba, ni tofauti na style yetu wabongo kuomba namba tu unaweza zungushwa alafu sisi mtongozo huwa unaanzia kwenye simu na utakubaliwa ama kukataliwa kwenye simu, wao wazungu hawafagilii vocal za simu, wanapenda uweke hisia zako wazi uso kwa uso yani ana kwa ana, hio namba ukipewa mtext uwe direct kwamba unataka kutoka nae dinner date, hakuna haja ya kona nyingi, chagua restaurant tulivu mwende usiku mkale huko huku unampa somo, Ukitoswa usichukie, Huwa wapo direct !!
Kwao sex sio ishu kabisa, Mahusiano kwao ni kila mtu kujitoa kwa mwenzake kupeana muda wa kuspend pamoja, kuwasiliana, kufanya maamuzi pamoja, n.k. hawanaga mambo ya kuvumiliana ni chap chap mnamalizana, ila uzuri wao huwa hawanaga visirani mkiachana
Tatizo la wazungu na sisi ni jamii tofauti sana, ni kama kuku na kanga, Kuhusu mambo ya kupika, kufuliwa nguo hayo utayafanya wewe mwenyewe, Mila zetu nyingi huona zimepitwa na wakati,
Kama ni kuhusu sex wewe piga tu ufanye utalii wa ngozi uwakilishe mabaharia wa bongo lakini usije kuingia kichwa kichwa ukamuoa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe Mzungu wa wapi?,Wewe si ni Mmatombo wa Morogoro?!!.Epuka uongo
Sisi wazungu hatupendi kona kona
Japo sijui vizuri kiswahili naamini nimeeleweka
Taratibu basi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe Mzungu wa wapi?,Wewe si ni Mmatombo wa Morogoro?!!.
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Thread closedwapo wazi na direct, omba namba utapewa wala hawaringi wala usijisifie kupewa namba, ni tofauti na style yetu wabongo kuomba namba tu unaweza zungushwa alafu sisi mtongozo huwa unaanzia kwenye simu na utakubaliwa ama kukataliwa kwenye simu, wao wazungu hawafagilii vocal za simu, wanapenda uweke hisia zako wazi uso kwa uso yani ana kwa ana, hio namba ukipewa mtext uwe direct kwamba unataka kutoka nae dinner date, hakuna haja ya kona nyingi, chagua restaurant tulivu mwende usiku mkale huko huku unampa somo, Ukitoswa usichukie, Huwa wapo direct !!
Kwao sex sio ishu kabisa, Mahusiano kwao ni kila mtu kujitoa kwa mwenzake kupeana muda wa kuspend pamoja, kuwasiliana, kufanya maamuzi pamoja, n.k. hawanaga mambo ya kuvumiliana ni chap chap mnamalizana, ila uzuri wao huwa hawanaga visirani mkiachana
Tatizo la wazungu na sisi ni jamii tofauti sana, ni kama kuku na kanga, Kuhusu mambo ya kupika, kufuliwa nguo hayo utayafanya wewe mwenyewe, Mila zetu nyingi huona zimepitwa na wakati,
Kama ni kuhusu sex wewe piga tu ufanye utalii wa ngozi uwakilishe mabaharia wa bongo lakini usije kuingia kichwa kichwa ukamuoa
[emoji23][emoji23][emoji23]Basi ngoja nipunguze volume.Taratibu basi
Mbona unaongea kwa sauti namna hiyo [emoji23][emoji23]