Plan Master
JF-Expert Member
- Jan 1, 2021
- 2,188
- 3,762
Unapenda kucheka eeehHaha!
Ila humu ndani ndio maana haitakiwi mfahamiane.
Nimewaza hii comment angeandika mtu nayemjua.. ningemvutia picha na kubaki kucheka sanaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapenda kucheka eeehHaha!
Ila humu ndani ndio maana haitakiwi mfahamiane.
Nimewaza hii comment angeandika mtu nayemjua.. ningemvutia picha na kubaki kucheka sanaaa
Aje haraka atupe jibuAulizwe Lenie [emoji38][emoji38]
Anapenda sanaAje haraka atupe jibu
😂😂😂😂😂😂😂 kuna kuchekaKucheka na kufurahi ni dhambi kwani?
Najua na wewe umewaza kupelekewa moto, labda ungeenda ku test huo moto.Haha!
Ila humu ndani ndio maana haitakiwi mfahamiane.
Nimewaza hii comment angeandika mtu nayemjua.. ningemvutia picha na kubaki kucheka sanaaa
Mpelekee Moto Hadi usikie harufu ya mishikaki
Bangi ni kwa wajanja tu[emoji16] Ila bangi ni starehe ya WATU waoga MTU ambaye ni imara huwa haitaji bangi , pombe wala mirahaa kuwa imara. [emoji16]
Haya mataifa ya ulaya kidogo wamestaarabika, ukikutana na Warusi ni sawa na waswahili wa mbagalaKwani wazungu wote wako sawa?
Unanikumbusha siku moja nilikwenda ofisini kwa mshua nimempitia turudi home.
Nimefika pale nimekuta watu kibao wanasubiri kuonana naye.
Basi anakuja chumba cha kungojea, anawasalimia, anakutana nao ofisini kwake. Kwa hiyo anakuwa kashajua kuna nani na nani anasubiri kumuona.
Basi mara akaja mzungu mmoja. Sekretari akamfanya yule mzungu aliyekuja mwisho, awe ndiye mtu wa kwanza kuonana na mshua. Kwa sababu kamuona huyu mzungu.
Basi, mshua akaongea naye muda si mrefu, akamtoa.
Sasa mwisho kabisa, watu wameisha, mshua akawa anampa somo yule sekretari. Akamwambia, yule mzungu uliyemuwahisha kabla ya watu wote ni tapeli tu, hana deal lolote, hao watu weusi uliowaruka wengine wana ma deal makubwa sana. Usione mtu mzungu tu ukafikiri ni mfanyabiashara mkubwa kwa sababu ni mzungu tu.
Sasa naona hata mtoa mada anafikra zile zile za "wazungu wote wako sawa".
Wakati kuna wazungu wa aina tofauti tofauti sana.
Na Warusi nao kuna wazungu.Haya mataifa ya ulaya kidogo wamestaarabika, ukikutana na Warusi ni sawa na waswahili wa mbagala
Sent using Jamii Forums mobile app
Kucheka cheka ndio shida, mtu wa hivyo anahitaji maombi😂😂😂😂😂😂😂 kuna kucheka
Na kucheka cheka
Ha ha haaaHaha!
Ila humu ndani ndio maana haitakiwi mfahamiane.
Nimewaza hii comment angeandika mtu nayemjua.. ningemvutia picha na kubaki kucheka sanaaa
NIMEIFUTA ILE COMMENT YANGU.SIJUI NILIIANDIKA LINI NA NIKIWA NA HALI GANI?jaman T, kweli huu ni ushauri wako uliouona?
NIMEIFUTA ILE COMMENT YANGU.SIJUI NILIIANDIKA LINI NA NIKIWA NA HALI GANI?Haha!
Ila humu ndani ndio maana haitakiwi mfahamiane.
Nimewaza hii comment angeandika mtu nayemjua.. ningemvutia picha na kubaki kucheka sanaaa
Ila tatizo lake ni mkorofiAnapenda sana
[emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna kucheka
Na kucheka cheka
Ikizidi ni dalili za kuwehukaKucheka cheka ndio shida, mtu wa hivyo anahitaji maombi