Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba mrejesho wa hizo bati za Taishani kwa mwaka huu 2024, bado zina hali nzuri? Nataka kufanya maamuzi mkuu.Mimi nimewahi kuezeka nyumba kwa kutumia mabati ya rangi. Mwaka 2014 niliezeka nyumba kwa mabati ya kampuni ya Ando. Huu ni mwaka Wa 8 sasa bati lipo vizuri. Na mwaka jana nimeezeka nyumba nyingine kwa mabati ya Kampuni ya Taishan, ni mwaka sasa sijaona tatizo lolote lile, labda kwa miaka ijayo.
Uko mkoa Gani?Wakuu nahitaji bati gauge28 kampuni yoyote angalau yenye bei ndogo nimegusa alaf hapagusiki msaada unahitajika
DarUko mkoa Gani?
Mbona dar Kuna viwanda vingi sana!! Nenda maeneo ya tazara utakutana na viwanda vingi sana chagua kiwanda kimoja Kati ya dragon,kinglion,bati Bomba etc.
Viwanda vipo mkuu sema madalali wengi mimi sitaki kuzunguuka maviwandani ningepata mtu aliewahi kununua kwa bei nzuri anielekeze ingekuwa poa sanaMbona dar Kuna viwanda vingi sana!! Nenda maeneo ya tazara utakutana na viwanda vingi sana chagua kiwanda kimoja Kati ya dragon,kinglion,bati Bomba etc.
Mkuu tunasubiri mrejesho. Hali ikoje mpaka sasa?Nilichukua bati bomba tu
Ni pm mkuu nikutumie namba za kiwandani kbs,Viwanda vipo mkuu sema madalali wengi mimi sitaki kuzunguuka maviwandani ningepata mtu aliewahi kununua kwa bei nzuri anielekeze ingekuwa poa sana