Mliowahi kutumia bati za kampuni ya BATI BOMBA LTD au kampuni zozote ndogo za mabati

Mliowahi kutumia bati za kampuni ya BATI BOMBA LTD au kampuni zozote ndogo za mabati

d3d43b74-2a37-409b-9166-2a0cb9cc4a6e.jpg

Nishaweka zangu Bati bomba. Baada ya muda nitakuja kutoa mrejesho zimepauka au laa
 
Kimsingi biashara ya Bati ina Pesa sana hivyo kuna viwanda mpaka vya kisanii tu vya mtaani,mtu anaenda China hapo ananunua Mashine zile za Bei chee anakuja anafyatua tu Bati anaingiza Pesa,kupata Kibali/chapa TBS ni fasta ukitoa Bahasha tu,nina jamaa zangu wametajirika you ndani ya miaka miwili tu kwa biashara ya Bati,Watanzania wengi hawana uwezo kununua Bati za ALAF,hivyo wanapambana na hizihizi za vikampuni vya mfukoni kama Bati Bomba na nyingine nyingi zilizopo mitaani
 
Mkuu jipinde tafuta aina ya Kiboko! Hayo kwa quality ni sawa na Alaf!
Hayo mengine baada ya miaka 3 yanapauka!
 
Mkuu jipinde tafuta aina ya Kiboko! Hayo kwa quality ni sawa na Alaf!
Hayo mengine baada ya miaka 3 yanapauka!
hii nayo sasa ni mtiti, tunaamani bati lisilo pata kutu na lisilo pauka mapema! je ni kampuni gani bora? ALAF AU ANDO?
 
Back
Top Bottom