kennedy joshua
Member
- Sep 24, 2014
- 54
- 34
mkuu si upake rangi tuMi najuta, nimepauwa 2021 Leo hata siliangalii nataka mwakani niweke paa jipya
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu si upake rangi tuMi najuta, nimepauwa 2021 Leo hata siliangalii nataka mwakani niweke paa jipya
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Samahani kuhusu kupaka rangi aiwezekani ama hali ndio ile ile.Mi najuta, nimepauwa 2021 Leo hata siliangalii nataka mwakani niweke paa jipya
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Hakuna namna kaka. Tupo pamoja kuleta mrejeshoView attachment 2766614
Nishaweka zangu Bati bomba. Baada ya muda nitakuja kutoa mrejesho zimepauka au laa
wewe ulichukua aina gani?Hakuna namna kaka. Tupo pamoja kuleta mrejesho
Nilichukua bati bomba tuwewe ulichukua aina gani?
nina boma linahitaji karibu bati 150 najaribu kutafuta bati nzuri lakini bei ya kizalendo.Nilichukua bati bomba tu
Zingatia rangi please, chocolate color na green zinakaa muda mrefu bila kupauka bila kujali ni za kampuni gani!nina boma linahitaji karibu bati 150 najaribu kutafuta bati nzuri lakini bei ya kizalendo.
Upo sahihi kaka. Hata jamaa wa kiwanda waliniambia hivyo hivyo. Shida choclate haikuwepo na green sio rangi yangu pendwaZingatia rangi please, chocolate color na green zinakaa muda mrefu bila kupauka bila kujali ni za kampuni gani!
Tupe mrejesho Hali ilivyo mpaka Sasa ndugu tufanye maamuziUpo sahihi kaka. Hata jamaa wa kiwanda waliniambia hivyo hivyo. Shida choclate haikuwepo na green sio rangi yangu pendwa
Nimechukua kinglion rangi ya chocolate yale ya chenga chenga, nitaleta mrejesho upande wa ubora.Zingatia rangi please, chocolate color na green zinakaa muda mrefu bila kupauka bila kujali ni za kampuni gani!
hiyo reswerh unaifanyaje kama wewe mwenye uzoefu hujasema pa kuanzia?Usiogope Kununua...Hazina shida yoyote Ile...ila Fanya research zaidi.
hii nayo sasa ni mtiti, tunaamani bati lisilo pata kutu na lisilo pauka mapema! je ni kampuni gani bora? ALAF AU ANDO?Mkuu jipinde tafuta aina ya Kiboko! Hayo kwa quality ni sawa na Alaf!
Hayo mengine baada ya miaka 3 yanapauka!
Zote mbili ziko vizurihii nayo sasa ni mtiti, tunaamani bati lisilo pata kutu na lisilo pauka mapema! je ni kampuni gani bora? ALAF AU ANDO?
Uliweka bati gani?Mi najuta, nimepauwa 2021 Leo hata siliangalii nataka mwakani niweke paa jipya
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Mrejiesho mkuu bati linaendeleaje hapo juuView attachment 2766614
Nishaweka zangu Bati bomba. Baada ya muda nitakuja kutoa mrejesho zimepauka au laa
Mrejesho mkuuAsante sana Kiongozi. Nimeamua kujivisha mabomu huko huko Bati Bomba. Nadhan by tarehe 20 nitadaka mzigo.
Nitatoa mrejesho. Mana leo nimebonga nao bei wamekazi Kwenye 23k