mik van vex
Senior Member
- Jan 13, 2018
- 101
- 170
Usijaribu hizo BATI nimewahi kulizwa 2020 yaani hata miezi 6 sikutoboa bati zishapauka hazieleweki rangi na eti wanakupa warranty ya miaka 10 upuuzi mtupu....najuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana kwani maji lita moja ya kilimanjaro bei gani mtaani na huko kwenye mahoteli yenu bei gani? Wali maharage kwa mama ntilie na wali maharage huko siju hoteli gani? Inawezekana sanaUtanzania ni kazi sana. Kitu kiuzwe 20 TZS kiwe sawa na kitu kinachouzwa 40 TZS.
Hongera mkuu...ushazama upande mmoja sio? Big up sanaNipo ndani. Nilianza kwa kuezeka master bedroom na kasehemu kadogo kakupigia gahwa. Sasa nataka nipige nyumba nzima
Nusu lita yale maji madogo tunauziwa elfu 8 hotel kubwa wakati mtaani jeroInawezekana kwani maji lita moja ya kilimanjaro bei gani mtaani na huko kwenye mahoteli yenu bei gani? Wali maharage kwa mama ntilie na wali maharage huko siju hoteli gani? Inawezekana sana
Kwema kaka,Asante sana Kiongozi. Nimeamua kujivisha mabomu huko huko Bati Bomba. Nadhan by tarehe 20 nitadaka mzigo.
Nitatoa mrejesho. Mana leo nimebonga nao bei wamekazi Kwenye 23k
Mtoa na wote mzingatie ushauri huuUsijaribu hizo BATI nimewahi kulizwa 2020 yaani hata miezi 6 sikutoboa bati zishapauka hazieleweki rangi na eti wanakupa warranty ya miaka 10 upuuzi mtupu....najuta
Tupe mrejesho kiongozi, ulitumia Bati Bomba au Kiboko?Asante sana Kiongozi. Nimeamua kujivisha mabomu huko huko Bati Bomba. Nadhan by tarehe 20 nitadaka mzigo.
Nitatoa mrejesho. Mana leo nimebonga nao bei wamekazi Kwenye 23k
Kuna jamaa yangu yeye kauziwa mabati Buguruni gauge 30 Kwa TSH 23,000 per PC halafu ameingia kwenye jengo limeandikwa Alaf[emoji24]Kinachoshauriwa sana kwanza epuka matapeli wa buguruni hapo utapigwa utaambiwa ni alaf au wapi kumbe ni usanii tu umefanyika, wewe tafuta mtaalamu akishauri kwa mazingira yako rangi ipi inaweza kumudu kulingana na hali ya hewa ya hapo, na nyumba imejengwa uelekeo upi wa jua au usio na jua, unaweza kulalamika bati zinapauka kumbe fundi maiko aliijenga nyumba sehemu ambayo jua lote linamwagika muda mrefu hapo utapata matokeo pia
Tena kapigwa vibaya Sana.Kuna jamaa yangu yeye kauziwa mabati Buguruni gauge 30 Kwa TSH 23,000 per PC halafu ameingia kwenye jengo limeandikwa Alaf[emoji24]
Nimemwambia umeshapiga mjomba haamini kama kapigwa!!
Nitag huo uzi mkuu, mimi nafanya research pia bati za Taishan kama zina uboraMbona bati 110 sio nyingi? Nunua bati Bomba mbona wako vizuri tu.
Pitia uzi wa Elimu kuhusu Mabati uko humu. Utaelewa na kufanya maamuzi mazuri
HIVi bei za bati za alaf kwa sasa zinanzia shilingi ngapi?
Hizo za 27 ni aina gani,najua alaf bati zaoe before zilikuwa zinaanzia she's 39000 ila kwa sasa sijui .Bati ni Elfu 27 halafu unalipia na jina la Alaf jumla inakuwa Elfu 39
Hizo za 27 ni aina gani,najua alaf bati zaoe before zilikuwa zinaanzia she's 39000 ila kwa sasa sijui .
Kama huna uhakika tafadhali kaa kimyaJiongeze na wewe diwani [emoji28]
Mzee wa bati bomba vp zimepauka?Asante sana Kiongozi. Nimeamua kujivisha mabomu huko huko Bati Bomba. Nadhan by tarehe 20 nitadaka mzigo.
Nitatoa mrejesho. Mana leo nimebonga nao bei wamekazi Kwenye 23k
Nilitumia toka 2020 bado ziko poa na wanatoa garantii ya miaka 10Mzee wa bati bomba vp zimepauka?
Sikufanikiwa uchumi ulikata kona kali ghafla.Mzee wa bati bomba vp zimepauka?
[emoji120][emoji120][emoji120]asante kwa mrejeshoNilitumia toka 2020 bado ziko poa na wanatoa garantii ya miaka 10