Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu chukua mzigo paua majengo wako zinaubora Mzuri tu.Hello Wadau.
Nipo stage ya kupaua nyumba. Nyumba inadai bati 110, sasa ukigusa huku Alaf na kina Sunshare ni mkasi kweli kweli
Nina option mbili mkononi
1. Nipige bati za kawaida tu
2. Nipige bati za rangi toka kampuni ndogo ndogo
Sasa hapo namba mbili nimeona kuna kampuni inaitwa Bati Bomba Ltd inajinasibu sana kuwa na bati konki master.
Naomba mwenye uzoefu kwa namna moja au nyingine na hiki kiwanda au hivi viwanda vidogo vidogo vya bati anisaidie mawazo na uzoefu wake
Hii bei ya bati itaondoa roho yangu aisee
,[emoji120][emoji120][emoji120]
Hizi bati za chengachenga ziko vizuri sana ingawa Bei yake imechangamka kidogo.Kuna sister napiga nae nyumba yake alipiga hii chenachenga ya C.gray toka dragon. Nyumba inawaka balaa. Since 2020 bado kanadunda fresssh
Weka simba dumu Yale meupe.[emoji23][emoji23][emoji23]shida mfuko ndugu. Alaf ni mkasi kweli kweli
Mkuu nipo Lindi.....tafadhali ukifika hatua ya kununua bati baada ya kujiridhisha tafadhali naomba tupe mrejesho....mimi nimeshamaliza boma nazchanga naiman panapo uhai na kipato....mwakani mwezi wa sita nitanunua bati...naimani umekusanya maoni yatakayokusaidia kuamua hasa ukizingatia upo karibu na town.... usisahau feedback kakaKuna sister napiga nae nyumba yake alipiga hii chenachenga ya C.gray toka dragon. Nyumba inawaka balaa. Since 2020 bado kanadunda fresssh
Mkuu Mimi nimekuwa sales officer wa dragon na Sasa niko na Kinglion,Si sales wa ALAF ila Kwa uzoefu wangu wa mabati naweza kutambua bati original ya ALAF kwa kuzingatia vitu viwili;
1. Muhuri wa moto ule wa vinundu(sijakua kama nitakuwa sahihi) ila ni ule muhuri unaobonyeza bati kabisa.
2. Kwenye migongo mipana katikati ya migongo huwa na vibaraza vya kumwagia maji,Sasa kwenye vile vibaraza utaona Kuna vimistari vitatu.
Naruhusu kurekebishwa pale nilipokosea.
bati bomba kimeo kaka mie nazijua achana nazo siuzi bati ila nakushauri chukuwa kiboko.Asante kwa maoni. Kama hutojali naomba nikucheki PM
nikweli nimeambiwa kiboko wako vzr na bei yao ni nafuu tatzo lipo kwenye upana wa bati lao ni jembamba, sm75bati bomba kimeo kaka mie nazijua achana nazo siuzi bati ila nakushauri chukuwa kiboko.
kwangu hapo sijawahi tumia nje ya kibokoView attachment 2466038
hapo bati ngapi?bati bomba kimeo kaka mie nazijua achana nazo siuzi bati ila nakushauri chukuwa kiboko.
kwangu hapo sijawahi tumia nje ya kibokoView attachment 2466038
namm pia mkuuMkuu nipo Lindi.....tafadhali ukifika hatua ya kununua bati baada ya kujiridhisha tafadhali naomba tupe mrejesho....mimi nimeshamaliza boma nazchanga naiman panapo uhai na kipato....mwakani mwezi wa sita nitanunua bati...naimani umekusanya maoni yatakayokusaidia kuamua hasa ukizingatia upo karibu na town.... usisahau feedback kaka
hapo bati ngapi?
Nipo ndani. Nilianza kwa kuezeka master bedroom na kasehemu kadogo kakupigia gahwa. Sasa nataka nipige nyumba nzimaKwani lazima uezeke na bati tafuta hata makuti uezeke uingie kwenye kibanda chako maisha mbona simple sana
Kwamba nyumba imeshapauka hata kabla hujahamia[emoji26][emoji44]bati bomba kimeo kaka mie nazijua achana nazo siuzi bati ila nakushauri chukuwa kiboko.
kwangu hapo sijawahi tumia nje ya kibokoView attachment 2466038
Asante kwa Ushauri.Bati uhakika ni Alaf baada ya hapo kiboko zengine uwe na machake sana huwa ni nyepesi mno mfano hiuo bati bomba kimeo.
Pia zingine zinapauka 5000 tu inaweza kukuharibia nyumba yako
Nadhani waiamini ALAF maana Serikali ina Hisa na pia kina miaka zaidi ya 40Kiwanda kikifa?
Kaka ulifanikiwa kupaua kwa bati ya kampuni gani?Hello Wadau.
Nipo stage ya kupaua nyumba. Nyumba inadai bati 110, sasa ukigusa huku Alaf na kina Sunshare ni mkasi kweli kweli
Nina option mbili mkononi
1. Nipige bati za kawaida tu
2. Nipige bati za rangi toka kampuni ndogo ndogo
Sasa hapo namba mbili nimeona kuna kampuni inaitwa Bati Bomba Ltd inajinasibu sana kuwa na bati konki master.
Naomba mwenye uzoefu kwa namna moja au nyingine na hiki kiwanda au hivi viwanda vidogo vidogo vya bati anisaidie mawazo na uzoefu wake
Hii bei ya bati itaondoa roho yangu aisee
,[emoji120][emoji120][emoji120]