Mliowahi kutumia bati za kampuni ya BATI BOMBA LTD au kampuni zozote ndogo za mabati

Mliowahi kutumia bati za kampuni ya BATI BOMBA LTD au kampuni zozote ndogo za mabati

Asante mkuu. Angalau unaweza kutusaidia bei zao ili na wengine wapato chochote hapa
Kwanza unapaswa kujua bazi zipo aina tofauti kwa maama ya urefu 3m, 2.5m na 2m lakinj pia zina upana tofauti 87cm, 92cm.... halafu kuna gauge 32, 30, 28.... sasa ukianza ku list ndefu.

Watu wengi wanapigwa sana kwenye bati mfano: mtu anaquote bati ya urefu 3m upana 92. Akienda kununua anachukua za urefu sawa ila upana tofauti kumbuka 87 hadi 93 ni utofauti wa 6cm hivyo kila bati 15 utaongeza bati moja. Ila kwenye bei zinatofautiana kwa karibu 1000 kwa meter.

Aina ya pili ya wizi ni namna wanavyofanya calculation ya idadi ya sq.meter. kama haupo makini utapigwa.

Umakini muhimu sana usemi wa mafundi "Huyu hajengi tena siku za karibuni".
 
Uzuri wa hapa member wote tupo huru ku-share experiences zetu kwa manufaa ya wengine so mawazo ya kila mmoja yanaweza kuwa na maana kwa mtu A na yanaweza yasiwe na maana kwa mtu B kama wewe hivi.

Kinachozingatiwa ni muhitaji wa ushauri atazingatia kipi ataacha kipi?
Hujachangia peke yako , wameachangia wengi, wanao tumia walio nunua wanao shaur ununue ila wewe ni sehem ya Marketing ya ALAF
 
Kwanza unapaswa kujua bazi zipo aina tofauti kwa maama ya urefu 3m, 2.5m na 2m lakinj pia zina upana tofauti 87cm, 92cm.... halafu kuna gauge 32, 30, 28.... sasa ukianza ku list ndefu.

Watu wengi wanapigwa sana kwenye bati mfano: mtu anaquote bati ya urefu 3m upana 92. Akienda kununua anachukua za urefu sawa ila upana tofauti kumbuka 87 hadi 93 ni utofauti wa 6cm hivyo kila bati 15 utaongeza bati moja. Ila kwenye bei zinatofautiana kwa karibu 1000 kwa meter.

Aina ya pili ya wizi ni namna wanavyofanya calculation ya idadi ya sq.meter. kama haupo makini utapigwa.

Umakini muhimu sana usemi wa mafundi "Huyu hajengi tena siku za karibuni".
Umenifumbua kwenye vipimo hapa nakuwa makini sana nikienda kununua

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Mimi nina uhitaji wa bati reject kwa ajili ya uzio, mwenye connection tujuzane tafadhali
Reject wachek wanaojenga maghorofa, ukiwakosa nenda tazara mfugale pale njia ya tbc utakuta kibao ila ukienda kinyonge watajua unahisi ni bati og watatakawakupige bei ndefu
 
Kwanza unapaswa kujua bazi zipo aina tofauti kwa maama ya urefu 3m, 2.5m na 2m lakinj pia zina upana tofauti 87cm, 92cm.... halafu kuna gauge 32, 30, 28.... sasa ukianza ku list ndefu.

Watu wengi wanapigwa sana kwenye bati mfano: mtu anaquote bati ya urefu 3m upana 92. Akienda kununua anachukua za urefu sawa ila upana tofauti kumbuka 87 hadi 93 ni utofauti wa 6cm hivyo kila bati 15 utaongeza bati moja. Ila kwenye bei zinatofautiana kwa karibu 1000 kwa meter.

Aina ya pili ya wizi ni namna wanavyofanya calculation ya idadi ya sq.meter. kama haupo makini utapigwa.

Umakini muhimu sana usemi wa mafundi "Huyu hajengi tena siku za karibuni".
Nmekupata vizur nadhan the best way kusogea na tape measure kupima siku ta kununua.

Asante sana
 
Kwa Tanzania wengi hununua sheet rolls kutoka china au afrika kusini kwenye bei rahisi nao huna kuwekea mikunjo mwenye viwanda vyao ambapo si ajabu anaponunua wa bati bomba ndio ananunua wa alaf
Nimekuelewa
 
Philipo ndugu yangu nakushauri ni bora upaue december mwakani uweke bati za ALAF.

Kuliko uwahi kwa kupaua na bati za ovyo. Heshimu nyumba yako ndugu yangu jenga mara moja ukimaliza unawaza mambo mengine.

Mimi nimepaua mwaka huu May, alaf bati charcoal grey ni nzuri sana yupo na jirani yangu kapaua kama two yrs ago bati liko vile vile.
Upo mkoa gani?
 
Kutokana na maoni ya wadau especially kwenye geography nadhan inachangia sana huku nilipo mabati kupauka mapema.

Nipo bagamoyo, less than 4km kutoka baharini
 
Kutokana na maoni ya wadau especially kwenye geography nadhan inachangia sana huku nilipo mabati kupauka mapema.

Nipo bagamoyo, less than 4km kutoka baharini
Mabati ya Nabaki Africa ndio yaliyoezeka soko la samaki feri ila hadi leo bado yapo kwenye ubora wake zaidi ya miaka 10.

Kwenye swala la ujenzi wa nyumba ya familia yako ni bora uchelewe kuikamilisha ila iwe kwenye kiwango cha kujivunia kuliko kuikamilisha haraka kwa kutumia cheap products ambazo zitakufanya ujutie na kuichukia nyumba yako.

Achana kabisa na mabati ya 'hovyo' jichange change taratibu upate mabati yenye ubora. Amini utaweza kupaua nyumba yako kwa bati Bora!!
 
Mabati ya Nabaki Africa ndio yaliyoezeka soko la samaki feri ila hadi leo bado yapo kwenye ubora wake zaidi ya miaka 10.

Kwenye swala la ujenzi wa nyumba ya familia yako ni bora uchelewe kuikamilisha ila iwe kwenye kiwango cha kujivunia kuliko kuikamilisha haraka kwa kutumia cheap products ambazo zitakufanya ujutie na kuichukia nyumba yako.

Achana kabisa na mabati ya 'hovyo' jichange change taratibu upate mabati yenye ubora. Amini utaweza kupaua nyumba yako kwa bati Bora!!
[emoji120][emoji120][emoji120]Shukrani kwa mchango wako
 
Yes ndo maana nilitunza hela nikusanye kwanza mwakani kufika April to June nitakuwa nimekamilisha

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Hiyo hela tafuta kiwanda unachowaamini kaweke huko baki na risiti waambie ukikamilisha ndio utafuata bati. Vinginevyo unaweza kuila kabla ya kutimiza lengo lake
 
Back
Top Bottom