Chakula Kibaya
JF-Expert Member
- Sep 19, 2022
- 689
- 1,562
Mkuu sisi watu wa masoko site ndiko ofisi zetu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]oya kumbe unaingiaga hadi site 😀 😀 😀 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu sisi watu wa masoko site ndiko ofisi zetu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]oya kumbe unaingiaga hadi site 😀 😀 😀 😀
Asante kwa Ushauri wako Kiongozi[emoji120][emoji120][emoji120]Nimeona hapo umesema unahitaji bati 110, mm mwnyw kipindi nataka Kupaua nilikuwa nahitaji kuchukua ALAF ila kutokana na usumbufu wa pale ikabidi nitafute fundi ambaye kuna nyumba alipaua maeneo nilipo na kila nilipokuwa nikienda site ile nyumba bati lake lipo vilevile nyngn zinapauka, alafu ilikuwa imepauliwa vizuri ...nikamtafuta fundi aliyepaua nikamwambia kwanza nahitaji unipaulie tukaelewana, nikamuuliza ile nyumba bati zake za wapi? Akaniambia za Dragon ila kwautafiti wangu Dragon sikuwahi kuwaza kabisa...,mwisho wa Siku alinieleza ukweli jamaa alinunua sunshare,..nadhani mafundi Huwa wanapata chochote wakipeleka wateja...ikabidi nienda Sunshare, japo fundi aliniambia bati 110 ila mm nilikuwa sipendi bati mojamoja zinakuwa hazina muonekano mzuri zikipauliwa..ikabidi nimwambie anipimie nikakate kiwandani na nilienda na bajeti ileile ila huwezi amini kwa bati za kupima niliweza kusave kama lakin 6 hivi.
Kwaiyo kama unaweza jaribu hvyo...ila ushauri usije ukanunua bati za bei rahisi utaichukia nyumba yako.
Kigae 🥹🥹🥹 kwa kweli sipawezi level hizoHela ikiwepo weka kigae
2010 niliwahi enda NABAKI AFRIKA na mtu aliyekuwa anasimamia ujenzi mahali fulani,Kigae 🥹🥹🥹 kwa kweli sipawezi level hizo
hahahhahah nataka niingie huko, sema nn tuwasiliane vizuriMkuu sisi watu wa masoko site ndiko ofisi zetu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa hivi ukienda kuulizia Bei yake utapiga yowe[emoji23][emoji23]2010 niliwahi enda NABAKI AFRIKA na mtu aliyekuwa anasimamia ujenzi mahali fulani,
Kila kigae alichukua kwa 13,000
Karibu sana mkuu.hahahhahah nataka niingie huko, sema nn tuwasiliane vizuri
8 mpaka 10 inategemea aina ya rangi pia,kama dark blue na ile damu ya mzee ndio ukawia sanaMiaka mingapi labda ndo zipauke hizo ALAF?
Mwaka 2016 naanza kwenda Lindi kuna nyumba niliipenda sana. Nikasema nikijenga nitajenga kama hiyo. Hiyo nyumba ipo VETA lindi kwa mbele kidogo mkono wa Kushoto ukitokea Dar.Sasa hivi ukienda kuulizia Bei yake utapiga yowe[emoji23][emoji23]
Sunshare Tazara.Kiwandani wapi?
Pale NABAKI AFRIKA vigae vya Decra huwa navikubali sana warranty miaka 502010 niliwahi enda NABAKI AFRIKA na mtu aliyekuwa anasimamia ujenzi mahali fulani,
Kila kigae alichukua kwa 13,000
Pandisha hapa link mkuu tupate elimuWapitie uzi wangu humu kuhusu Elimu ya Mabati
Ujanja wa kuunganusha sina. Search hapo juu utakujaPandisha hapa link mkuu tupate elimu
Kaka me nataka ninunue kwa hawa Taishan ila roho yangu inasita nishafika hadi ofisin kwao nilikuwa nataka nione shuhuda kama hiziMimi nimewahi kuezeka nyumba kwa kutumia mabati ya rangi. Mwaka 2014 niliezeka nyumba kwa mabati ya kampuni ya Ando. Huu ni mwaka Wa 8 sasa bati lipo vizuri. Na mwaka jana nimeezeka nyumba nyingine kwa mabati ya Kampuni ya Taishan, ni mwaka sasa sijaona tatizo lolote lile, labda kwa miaka ijayo.
Mkuu nataka nikuulize!Mbona kama huyo mtu wa kinglion Mabati ni Mimi!!!!?[emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa yako hakupigwa tofauti ya ALAF na viwanda vyote vya mabati ni moja tu;Mkuu nataka nikuulize!
Kuna jamaa yangu nilimuelekeza ALAF pale Tazara kiwandani unfortunately akawa hapajui so ana classmate wake ana hardware maeneo ...
Uko wapi mkuu!!!Kaka me nataka ninunue kwa hawa Taishan ila roho yangu inasita nishafika hadi ofisin kwao nilikuwa nataka nione shuhuda kama hizi