Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu namichiga aiseeNi kweli kabisa. Nakupm namba yangu. Nitaomba j3 tuwasiliane angalau unipe mrejesho. Kwa sasa nipo safari Ruangwa
Bro kiumbe anajikuna kutokana na uwezo wake. Ndio mana tunavaa jeans za 20k ila wenzetu wanaenda street soul jeans 100kUtanzania ni kazi sana. Kitu kiuzwe 20 TZS kiwe sawa na kitu kinachouzwa 40 TZS.
Uko mkoa gani mkuu!!?Kumbe wahanga wa bati tupo wengi na mimi jumatatu nataka niende kwa hao jamaa nikazitazame nb,sio kwamba hatupendi hizo bora ila pesa ya kuchungulia sana
Mbona bati 110 sio nyingi? Nunua bati Bomba mbona wako vizuri tu.Hello Wadau.
Nipo stage ya kupaua nyumba. Nyumba inadai bati 110 , sasa ukigusa huku Alaf na kina Sunshare ni mkasi kweli kweli
Nina option mbili mkononi
1.nipige bati za kawaida tu
2.nipige bati za rangi toka kampuni ndogo ndogo.
Sasa hapo namba mbili nimeona kuna kampuni inaitwa Bati Bomba Ltd inajinasibu sana kuwa na bati konki master.
Naomba mwenye uzoefu kwa namna moja au nyingine na hiki kiwanda au hivi viwanda vidogo vidogo vya bati anisaidie mawazo na uzoefu wake
Hii bei ya bati itaondoa roho yangu aisee
,[emoji120][emoji120][emoji120]
Wapitie uzi wangu humu kuhusu Elimu ya MabatiHivi tunapozungumzia ubora wa bati tunaangalia muda mpaka bati ianze kupata kutu au muda ambao rangi itaanza kupauka?maana hizo unazosema za bei ndogo zimepitishwa na TBS,na wanatoa warranty ya miaka 10,sasa kigezo cha kuzipitisha ni nini?ina maana zinakidhi viwango.Mi naona mambo mengine hapa ni mfuko wa mtu,weka bati kulingana na uwezo wako,kwani wengi wetu nchi nzima tunaweka haya viwanda vidogo na hayo maswala ya kutu au rangi tutadanganyana tu humu...
Mkuu,Mimi nimekuwa sales officer wa kampuni mbili za mabati Kwa wakati tofauti. Watu wengi wanashindwa kuelewa kuwa kampuni zote za mabati,bati zao huwa zinapauka ila hutofautiana kutegemeana na mazingira uliyopo, pamoja na ubora wa rangi iliyokuwa prepainted kwenye materials pamoja na thickness ya coating.Hello Wadau.
Nipo stage ya kupaua nyumba. Nyumba inadai bati 110 , sasa ukigusa huku Alaf na kina Sunshare ni mkasi kweli kweli
Nina option mbili mkononi
1.nipige bati za kawaida tu
2.nipige bati za rangi toka kampuni ndogo ndogo.
Sasa hapo namba mbili nimeona kuna kampuni inaitwa Bati Bomba Ltd inajinasibu sana kuwa na bati konki master.
Naomba mwenye uzoefu kwa namna moja au nyingine na hiki kiwanda au hivi viwanda vidogo vidogo vya bati anisaidie mawazo na uzoefu wake
Hii bei ya bati itaondoa roho yangu aisee
,[emoji120][emoji120][emoji120]
Sawa.Bro kiumbe anajikuna kutokana na uwezo wake. Ndio mana tunavaa jeans za 20k ila wenzetu wanaenda street soul jeans 100k
Kipindi tunavaa puma za mtumba buku 20 wenzetu wanavaa puma ya justfit ya 1.5m
Sio kwamba tunapenda
Nilinunua mda kidogo Bei ilikuwa 22,500/Asante Kiongozi
Nadhan wachanifanye conclusion ya kwenda Bati bomba tu.
Last time unanunua ilikua bei gani kwa 30g IT5
Aisee. Kila siku najifunza jipya.Mkuu,Mimi nimekuwa sales officer wa kampuni mbili za mabati Kwa wakati tofauti. Watu wengi wanashindwa kuelewa kuwa kampuni zote za mabati,bati zao huwa zinapauka ila hutofautiana kutegemeana na mazingira uliyopo, pamoja na ubora wa rangi iliyokuwa prepainted kwenye materials pamoja na thickness ya coating.
Kuhusu suala la ubora wa mabati ni kweli ALAF ni leading company kwenye industry ya mabati lakini hata naye huwa anapata changamoto ya bati kupauka kabla ya muda tegemewa.
USHAURI.
Mkitaka kununua bati ni kheri muwe mnaenda kununua kiwandani Moja kwa moja na siyo kwenda kwenye maduka.
Pia suala la msingi kabisa ni kuwa HAKUNA BATI YA GAUGE 30 ILIYOTIMIA AMBAYO INAUZWA CHINI YA SH25000/= ZA UPANA MDOGO NA SH 33,000/= UPANA MKUBWA(KWA DAR) NA 27,000/= UPANA MDOGO NA 35,000/36000 ZA UPANA MKUBWA (MIKOANI).HIZO ZOTE MNAZOAMBIWA NI GJ 30 NA INAUZWA KWA 23,000/= SI KWELI BALI HIYO NI GJ 30 INAYOELEKEA KWENYE GJ 32 AU NI GJ 32 KABISA.
KWA MASWALI NA MAELEZO ZAIDI MNAWEZA KUNIULIZA MASWALI NAMI NITAJIBU KWA KILE NINACHOKIJUA.
KARIBUNI SANA KINGLION MABATI.
LAZIMA TUAMBIANE UKWELI ILI TUSAIDIANE.
Njia asilia ni kutumia mikono,ukiishika unaweza kujua kuwa hii bati ni gj ngapi lakini kwakuwa ni mgeni wa mabati ni vyema ukaambatana na fundi wa kupaua akakusaidie kubaini.Aisee. Kila siku najifunza jipya.
Sasa nitawezaje kujiridhisha/kuthibitisha gauge ya bati before kununua ? (Yani nitajiridhisha vipi kuwa bati husika imetimia)
Wewe jamaa unajua sana. Nimekupendea hapo uliposema kuwa hakuna bati isiyopauka.Mkuu kwanza fahamu hamna bati isiopauka rangi hasa kwa mazingira ya kama dar es salaam kinachotofautiana n muda wa kuchelewa kupauka tu ndo unatofautiana, nina shuhuda nyingi za bati toka alaf na sunshire ya kupauka baada ya muda kwa dar es salaam, unaweza fanya utafiti wa nyumba iliojengwa kwa bati ya alaf ilio na miaka mitano toka iwekwe then angalia hali ya bati yake.
Kwa kulijua ilo mi binafsi niliamua niweke bati bomba tu kwenye kibanda changu na ishaanza pauka ingawa rate ya kupauka n ndogo, alaf au sunshire utaingia gharama kubwa tu then baada ya miaka isiozid mitatu utaja jilaum kwa gharama ulizotumia na matokeo unayoyapata.
Na wasichokijua watu kwenye wepesi wa bati una tegemea na gage ya hio bati unayonunua huwez fananisha wepesi wa bati bila kujua kama zina gage sawa au laaa, ila bat kama n gage 30 bac wepesi wake kampuni zote unafanana tu.
Hivi tunapozungumzia ubora wa bati tunaangalia muda mpaka bati ianze kupata kutu au muda ambao rangi itaanza kupauka?maana hizo unazosema za bei ndogo zimepitishwa na TBS,na wanatoa warranty ya miaka 10,sasa kigezo cha kuzipitisha ni nini?ina maana zinakidhi viwango.Mi naona mambo mengine hapa ni mfuko wa mtu,weka bati kulingana na uwezo wako,kwani wengi wetu nchi nzima tunaweka haya viwanda vidogo na hayo maswala ya kutu au rangi tutadanganyana tu humu...
Labda uwe na vernier Caliper ili ukapime thickness ya bati. Wanakupa kipeperushi, unaangalia..gauge 30 ni thickness ya ngapi? Unapima.Aisee. Kila siku najifunza jipya.
Sasa nitawezaje kujiridhisha/kuthibitisha gauge ya bati before kununua ? (Yani nitajiridhisha vipi kuwa bati husika imetimia)
Mbona kama huyo mtu wa kinglion Mabati ni Mimi!!!!?[emoji23][emoji23][emoji23]Wewe jamaa unajua sana. Nimekupendea hapo uliposema kuwa hakuna bati isiyopauka.
Wakati nataka kupaua, site kwangu walikuja makampuni mengi sana. Walikuja Alaf, Dragon, Taishan, Kinglion, Najenga Tanzania, SunBank etc. Wote walipita kunipa elimu na kunishawishi ninunue bidhaa kutoka kwao.
Katika watu/makampuni wote waliopita, nilimuelewa zaidi mtu wa mabati ya Kinglion (ingawa siku ya mwisho, sikununua mabati yake bali nilinunua mabati ya Taishan).
Aliniambia hivi, hakuna mabati yasiyopauka. Bati ni kama nguo. Nguo ukiinunua leo dukani, jinsi itakavyokuwa inang'aa ni tofauti kabisa na itakavyokuwa baada ya miaka michache ijayo kutokana kufuliwa na kupigwa na jua. Hivyo hivyo kwa mabati. Bati likipigwa na jua, likinyeshewa na mvua na likipulizwa na upepo lazima rangi ififie. Lakini akaniambia pia kuwa, ubora wa mabati ya makampuni yote ni ule ule isipokuwa wapo wengine tayari wametengeneza jina (wapo sokoni) siku nyingi.
Binafsi naamini, mabati yote ni sawa. Ni suala la mteja kuchagua kutokana na bajeti yake na rangi aitakayo.
Kwenye ubora mwingine binafsi sijaona tofauti(gauge),tofauti iko kwenye rangi,bati za alaf bati zake zinachukua muda sana kupaukaHivi zile bati za kawaida kwani zina shida gani?
Acha ujinga mkuu. Leo unataka slope baada ya miaka 3 utaanza kulalamika bati mbaya, jikaze nunua ALAF kama kweli unaipenda nyumba yako.Nataman sana ila mambo yameumana balaa. Budget kikomo. Nishasqueez to the last point
Na siwezi fika mwezi Feb bila kuwa sijapaua aisee
Hapo ada ya dogo inadai na huku nategemea chalii tena