Mliowahi kutumia bati za kampuni ya BATI BOMBA LTD au kampuni zozote ndogo za mabati

Mliowahi kutumia bati za kampuni ya BATI BOMBA LTD au kampuni zozote ndogo za mabati

Labda uwe na vernier Caliper ili ukapime thickness ya bati. Wanakupa kipeperushi, unaangalia..gauge 30 ni thickness ya ngapi? Unapima.

Otherwise, waamini tu wenye kiwanda/wauzaji.
Mkuu ni wangapi Wana vernier caliper!!!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Njia asilia ni kutumia mikono,ukiishika unaweza kujua kuwa hii bati ni gj ngapi lakini kwakuwa ni mgeni wa mabati ni vyema ukaambatana na fundi wa kupaua akakusaidie kubaini.
Asante kaka. Kwa kuwa fundi wangu hana shida nitaenda nae tu. Hakuna namna
 
Labda uwe na vernier Caliper ili ukapime thickness ya bati. Wanakupa kipeperushi, unaangalia..gauge 30 ni thickness ya ngapi? Unapima.

Otherwise, waamini tu wenye kiwanda/wauzaji.
[emoji23][emoji23][emoji23]aisee hico kidubwana cha form one sincw then sijawah kukiona tena.

Shukrani kwa mchango wako ndugu
 
Nina deficit ya pesa na sina njia yoyote ya kupata pesa kaka.
Nimeshafika elastic limit
Philipo ndugu yangu nakushauri ni bora upaue december mwakani uweke bati za ALAF.

Kuliko uwahi kwa kupaua na bati za ovyo. Heshimu nyumba yako ndugu yangu jenga mara moja ukimaliza unawaza mambo mengine.

Mimi nimepaua mwaka huu May, alaf bati charcoal grey ni nzuri sana yupo na jirani yangu kapaua kama two yrs ago bati liko vile vile.
 
Mbona kama huyo mtu wa kinglion Mabati ni Mimi!!!!?[emoji23][emoji23][emoji23]
Inawezekana ndugu. Kama ni wewe au ni mwenzako, ila nilifurahia sana uwazi na ukweli wenu. Sikununua mabati kwenu kwa kuwa nilipendezwa na mabati ya rangi ya Red Wine ambayo kwenu kipindi hicho hamkuwa nayo. Ila niliwaelewa sana Kinglion kwa elimu mliyonipa
 
Ndio maana mwishoni kabisa nikamshauri mnunuzi awaamini tu wauzaji/watengenezaji. Mimi mwenyewe ingawa najua thickness inapimwa na Vernier Calipers, wala sikuitumia. Niliwaamini tu wauzaji
[emoji23][emoji23][emoji23]hakuna namba kwakweli. Ni kucheza game of chance tu
 
BATI ZA BATIBOMBA NI NYEPESI NA NYEMBAMBA (YAANI UREFU NI MITA TATU KAMA ZINGINE, ILA UPANA ZIMEPUNGUA)
KWAMBA UTATUMIA BATI NYINGI KUEZEKA TOFAUTI NA BATI NYINGINE.
SUNSHARE WANA BATI NZURI PIA.
 
Kama bado hujanunua nataka nikushauri kitu,...
 
Shukrani.

Ngoja niusake niongeze kitu kichwani
 
BATI ZA BATIBOMBA NI NYEPESI NA NYEMBAMBA (YAANI UREFU NI MITA TATU KAMA ZINGINE, ILA UPANA ZIMEPUNGUA)
KWAMBA UTATUMIA BATI NTINGI KUEZEKA TOFAUTI NA BATI NYINGINE.
SUNSHARE WANA BATI NZURI PIA.
Nimekupata ila urefu na upana wa bati si ni standard?
 
Nimeona hapo umesema unahitaji bati 110, mm mwnyw kipindi nataka Kupaua nilikuwa nahitaji kuchukua ALAF ila kutokana na usumbufu wa pale ikabidi nitafute fundi ambaye kuna nyumba alipaua maeneo nilipo na kila nilipokuwa nikienda site ile nyumba bati lake lipo vilevile nyngn zinapauka, alafu ilikuwa imepauliwa vizuri ...nikamtafuta fundi aliyepaua nikamwambia kwanza nahitaji unipaulie tukaelewana, nikamuuliza ile nyumba bati zake za wapi? Akaniambia za Dragon ila kwautafiti wangu Dragon sikuwahi kuwaza kabisa...,mwisho wa Siku alinieleza ukweli jamaa alinunua sunshare,..nadhani mafundi Huwa wanapata chochote wakipeleka wateja...ikabidi nienda Sunshare, japo fundi aliniambia bati 110 ila mm nilikuwa sipendi bati mojamoja zinakuwa hazina muonekano mzuri zikipauliwa..ikabidi nimwambie anipimie nikakate kiwandani na nilienda na bajeti ileile ila huwezi amini kwa bati za kupima niliweza kusave kama lakin 6 hivi.

Kwaiyo kama unaweza jaribu hvyo...ila ushauri usije ukanunua bati za bei rahisi utaichukia nyumba yako.
 
Nimeona hapo umesema unahitaji bati 110, mm mwnyw kipindi nataka Kupaua nilikuwa nahitaji kuchukua ALAF ila kutokana na usumbufu wa pale ikabidi nitafute fundi ambaye kuna nyumba alipaua maeneo nilipo na kila nilipokuwa nikienda site ile nyumba bati lake lipo vilevile nyngn zinapauka, alafu ilikuwa imepauliwa vizuri ...nikamtafuta fundi aliyepaua nikamwambia kwanza nahitaji unipaulie tukaelewana, nikamuuliza ile nyumba bati zake za wapi? Akaniambia za Dragon ila kwautafiti wangu Dragon sikuwahi kuwaza kabisa...,mwisho wa Siku alinieleza ukweli jamaa alinunua sunshare,..nadhani mafundi Huwa wanapata chochote wakipeleka wateja...ikabidi nienda Sunshare, japo fundi aliniambia bati 110 ila mm nilikuwa sipendi bati mojamoja zinakuwa hazina muonekano mzuri zikipauliwa..ikabidi nimwambie anipimie nikakate kiwandani na nilienda na bajeti ileile ila huwezi amini kwa bati za kupima niliweza kusave kama lakin 6 hivi.

Kwaiyo kama unaweza jaribu hvyo...ila ushauri usije ukanunua bati za bei rahisi utaichukia nyumba yako.
Kiwandani wapi?
 
Back
Top Bottom