Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hako ka lip bam kazurijeeee
ukishaona kampuni inauza dawa ya kuboost mjegeje, ujue baas....Wamekaa ki marketing sana.
Ndio hawa wanaitwa multi-level marketing company kama qnet n.k
😅😅😅ukishaona kampuni inauza dawa ya kuboost mjegeje, ujue baas....
View attachment 3073549
niko pamoja na ww hapa yan sieelewiMada inajadiliwa na Watu wanachangia kwel kwel lakini Mimi Hata sielewi products zenyewe ni zipi, zinafanya kazi Gani na zinapatikana wapi
Ntakatafuta
Wauzaji wengi ni oversellers kwahio watakudanganya sababu hawauzi products per se bali wanauza biashara ila kama nilivyosema products zao nyingi ni suppliments kwahio ukichukua ile aloe vera juice ni kama aloe vera tu..., ukichukua asali ya nyuki wadogo ni asali ya nyuki wadogo ila kwa bei yake sidhani kama ni value for money kwa maisha ya mtanzaniaWana Dawa za kutibu magonjwa mbalimbali ndo Nataka kujua kama walipona
Wanasema zimeongezewa thamaniWauzaji wengi ni oversellers kwahio watakudanganya sababu hawauzi products per se bali wanauza biashara ila kama nilivyosema products zao nyingi ni suppliments kwahio ukichukua ile aloe vera juice ni kama aloe vera tu..., ukichukua asali ya nyuki wadogo ni asali ya nyuki wadogo ila kwa bei yake sidhani kama ni value for money kwa maisha ya mtanzania
sawa mkuuMbona wachangiaji wamezipost Mkuu ndo hizo
Asante 🙏Supplements zikuponyeshe? Hizo zinakupa nafuu tu kwa muda na ukiacha unaendelea kuumwa na supplements zingine feki na zingine zime expire, ni kupoteza fedha na muda hakuna kitu, ukiumwa wahi hospitalini, achaneni na matapeli hao.
Bei zao sio rafiki labda lips, dawa ya mswaki na deodorant nyingine ni overpriced ukizingatia kipato cha mtanzania, tafuta alternatives au tumia real thing badala ya supplimentWanasema zimeongezewa thamani
Kama bidhaa zao ni bora ni vyema.Lakini bidhaa za lip bam na deodorant zina ubora.. ni nzuri,, Kwingine sijui,,