Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 2,095
- 3,649
Hii inawahusu wafanya biashara. Sio wafanya kazi..
Ngoja niweke sawa hapo kwa kadri nijuavyo. Rule 1. ni invest kabla ya ku-spend yaani Kama unapesa Kama iwekeze mahali ikizunguka Ile faida ndo kula.
Nilichoelewa ni unatakiwa uwe bahili, usiwe mtu wa tamaa kwa kila unachoona kwakuwa una hela basi unanunua tu hata kazi ya hicho kitu huna, ama ni ile kwenda na matoleo kila toleo unataka, huweki akiba hata kidogo ukipata shida tu kidogo lazima ukakope kausha damu mara wezesha mara ile voda sijui inaitwaje yani huna uvumilivu wa kuishi kutokana na chako kidogo na kutunza kidogo kwa ajili kufungua biashara.Kati ya sheria au Rule ngumu katika kujenga na kuimarisha kipato au kusaka utajiri ni hii
1. “Earn before you Spend”
Hii rule nimejaribu miaka mitatu sasa siiwezi hasa kwa wafanyakazi ndio kazi kweli kweli
Kifupi sheria inasema “usitumie kabla hujaingiza” zile siku ambazo hujaingiza hela yeyote usitumie hata senti
Ukiingiza fedha ndio unaweza kutumia tena matumizi yasizidi ulichoingiza au yaendane.
Kama umeweza hii sheria tuambie unatumia mikakati gan? maana mi najikutaga wiki zime nimespend na sija earn hata mia
Sijabadili mkuu Ila kwa kifupi huwezi kutumia kitu ambacho huna.Kwaiyo umebadilisha sheria
Kitu wengi ambacho hawakielewi ni kuwa UTAJIRI UPO KIROHO SANA! ndo maana si kila mtu anaweza kuwa tajiri wengine ni wasindikizaji tu.
Ili uwe tajiri lazima upitie mambo fulani ya kiroho na ku break au kujua hizo codes za utajiri.
Ndo maana kama ulishawahi sikia mtu anasema kuwa pamoja na kusoma au kutokusoma katika ukoo wetu hakujatokea tajiri hata mmoja!
Mambo yote ya kufanikiwa au kutofanikiwa au vikwazo vya kimafanikio vipo Bayana/wazi katika ulimwengu wa roho.
Ulimwengu wa roho una pande mbili Nuru na giza! Huko kwingine endelea.......
NB; Utajiri upo kiroho sio wote wanaweza kuwa matajiri unless umezijua codes za kiroho zitakazokupa utajiri. Ili uziweze kuzijua hizo codes lazima uziishi hizo codes so inahitaji uthubutu na roho ngumu!
Sijabadili mkuu Ila kwa kifupi huwezi kutumia kitu ambacho huna.
Hizo mkuu unafungua wew mwenyew kwa imani ulio nayo na mapito yako ukiyatathimin na kujitambua,hakuna mtu anaweza kukufungulia,Fungua hizo codes sasa tuzijue kiongozi
Hii ngumu kwa kweli nimepata book,nimekopa vitu vya book3!Kati ya sheria au Rule ngumu katika kujenga na kuimarisha kipato au kusaka utajiri ni hii
1. “Earn before you Spend”
Hii rule nimejaribu miaka mitatu sasa siiwezi hasa kwa wafanyakazi ndio kazi kweli kweli
Kifupi sheria inasema “usitumie kabla hujaingiza” zile siku ambazo hujaingiza hela yeyote usitumie hata senti
Ukiingiza fedha ndio unaweza kutumia tena matumizi yasizidi ulichoingiza au yaendane.
Kama umeweza hii sheria tuambie unatumia mikakati gan? maana mi najikutaga wiki zime nimespend na sija earn hata mia
H
Hii ngumu kwa kweli nimepata book,nimekopa vitu vya book3!
Hizo mkuu unafungua wew mwenyew kwa imani ulio nayo na mapito yako ukiyatathimin na kujitambua,hakuna mtu anaweza kukufungulia,
Trust me kuwa tajiri sio rahisi chief inahitaji A lot of sacrifice kimwili na kiroho.
Usione watu wanamiliki masheli,makampuni e.t.c beyond that kuna kujitoa kweli kweli na kuziishi hizo kanuni.
Sasa si ndo uviseme hivyo kiroho na kimwili ili tuvijue? Ni inakuaje yani? Maana usiseme tu hapa pasi kufafanua, maana yake na wewe utakua hujui ila unatupangaKitu wengi ambacho hawakielewi ni kuwa UTAJIRI UPO KIROHO SANA! ndo maana si kila mtu anaweza kuwa tajiri wengine ni wasindikizaji tu.
Ili uwe tajiri lazima upitie mambo fulani ya kiroho na ku break au kujua hizo codes za utajiri.
Ndo maana kama ulishawahi sikia mtu anasema kuwa pamoja na kusoma au kutokusoma katika ukoo wetu hakujatokea tajiri hata mmoja!
Mambo yote ya kufanikiwa au kutofanikiwa au vikwazo vya kimafanikio vipo Bayana/wazi katika ulimwengu wa roho.
Ulimwengu wa roho una pande mbili Nuru na giza! Huko kwingine endelea.......
NB; Utajiri upo kiroho sio wote wanaweza kuwa matajiri unless umezijua codes za kiroho zitakazokupa utajiri. Ili uziweze kuzijua hizo codes lazima uziishi hizo codes so inahitaji uthubutu na roho ngumu!