Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 2,095
- 3,649
Kati ya sheria au Rule ngumu katika kujenga na kuimarisha kipato au kusaka utajiri ni hii
1. “Earn before you Spend”
Hii rule nimejaribu miaka mitatu sasa siiwezi hasa kwa wafanyakazi ndio kazi kweli kweli
Kifupi sheria inasema “usitumie kabla hujaingiza” zile siku ambazo hujaingiza hela yeyote usitumie hata senti
Ukiingiza fedha ndio unaweza kutumia tena matumizi yasizidi ulichoingiza au yaendane.
Kama umeweza hii sheria tuambie unatumia mikakati gan? maana mi najikutaga wiki zime nimespend na sija earn hata mia
1. “Earn before you Spend”
Hii rule nimejaribu miaka mitatu sasa siiwezi hasa kwa wafanyakazi ndio kazi kweli kweli
Kifupi sheria inasema “usitumie kabla hujaingiza” zile siku ambazo hujaingiza hela yeyote usitumie hata senti
Ukiingiza fedha ndio unaweza kutumia tena matumizi yasizidi ulichoingiza au yaendane.
Kama umeweza hii sheria tuambie unatumia mikakati gan? maana mi najikutaga wiki zime nimespend na sija earn hata mia