Mliozaliwa kuanzia 1990 hadi 1997 someni hapa, msome Kwa umakini

Mliozaliwa kuanzia 1990 hadi 1997 someni hapa, msome Kwa umakini

Mimi nakaa hapa kwetu niondoke niende wapi? Hapa ndio kwetu?
Labda baba ndio atoke aende kwao
 
Ww kama umezooea kufirwa na ndo tabia yako endelea na tabia yako usingize wengine.

Kila mtu ana mipango ya maisha yake haiwezi sema sijui mtu tisini na ngap lazima awe na mtoto alafu nikuone wa maana! Ni upumbavu sio lazima kuwa na watoto
Dawa imepenya mahala pake
 
Uko sahihi sana lakini huoni kwamba kuwa na mke kunaokoa gharama nyingi?

Naomba nijitolee mfano Mimi,

Kabla sijaanza kuishi na mwanamke(hatujafunga ndoa) kiwango Cha chini Kwa matumizi yangu Kwa siku yalikua sio chini ya elfu 50. Ila baada ya kuishi na huyu bibie Kwa siku nikitumia sana Hela ni elfu 20 kitu ambacho mwanzoni nilikua siwezi kabisa.

Ukiishi peke yako matumizi ni makubwa kuliko ukiwa na mwenza, jaribu kuuliza watu watakupa ukweli
Nimekupata mkuu,lakini nadhani sio vema kuoanisha umri na jambo fulani katika maisha. Kwani watu wana matakwa na vipaumbele tofauti, kwa mwingine ndoa ni mafanikio na lazima lifanyike katika umri fulani na ni tofauti kwa mwingine na mwingine.
Nafikiri lengo libakie kwenye kukua kama mtu, katika kila nyanja ya maisha bila kujali umri.
 
Unekaa zako na furaha kama zote ghafla Ubongo unakukumbusha umri wako, ""Bro!!! Una 35 wewe huna Kiwanja, huna Mke wala Mtoto wa kusingiziwa""
 
Back
Top Bottom