Mliozitaka picha za Ubaya Ubwela kabla jua halijazama 😄

Mliozitaka picha za Ubaya Ubwela kabla jua halijazama 😄

Magical power

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2022
Posts
2,158
Reaction score
5,626
Mliozitaka picha za Ubaya Ubwela kabla jua halijazama 😄
1722695517935.jpg
 
Wenzetu wanachukua medali huko Paris, sisi tupo tu na vijembe, eti unateseka ukiwa wapi?
 
Bado tamasha la simba linaboa, dj wa crown hili tamasha ni kubwa kuliko yeye, limemshinda kwa kiasi fulani.
 
Kwahiyo watu wamejaa ili kuzuia Magoli matano kutoka kwa Young Africans???🤣🥰🥰
 
Sisi kazi yetu tumemaliza, sasa ni zamu ya squad
Nimemkubali mtu mmoja tu kwenye vikosi vya jana. Si mwingine ni yule Mlinzi anaitwa Karaboka (kama sijakosea). Jamaa ana utulivu sana, angecheza pamoja na Kennedy Juma ingekuwa poa sana. Wengine waliobaki ni wa kawaida sana kama wachezaji wa Azam na Mashujaa.
 
Wasanii wanapenda Makoti unaweza fikiri Jana DSM palikuwa Pana baridi.
FB_IMG_1722756381238.jpg
FB_IMG_1722756363677.jpg
FB_IMG_1722756338052.jpg
 
Back
Top Bottom