Magical power
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 2,158
- 5,626
Mliozitaka picha za Ubaya Ubwela kabla jua halijazama 😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaKama wewe sio shabiki wa Simba usisogelee huu uzi
Mbona kama umepanic mkuu..?😁Wenzetu wanachukua medali huko Paris, sisi tupo tu na vijembe, eti unateseka ukiwa wapi?
Kwani kuna shido🤷🏽♂️😂😂Wenzetu wanachukua medali huko Paris, sisi tupo tu na vijembe, eti unateseka ukiwa wapi?
mrembo vipiKwani kuna shido🤷🏽♂️😂😂
Ngoja tukae mbaliKama wewe sio shabiki wa Simba usisogelee huu uzi
Mbona kama umepanic mkuu..?😁
Kwani kuna shido🤷🏽♂️😂😂
Tulia mwananchi wenye msitu wetu tuungurume kiume😂Kama huna akili za kuchanganua mambo huwezi kuelewa nilichoandika.
Nimemkubali mtu mmoja tu kwenye vikosi vya jana. Si mwingine ni yule Mlinzi anaitwa Karaboka (kama sijakosea). Jamaa ana utulivu sana, angecheza pamoja na Kennedy Juma ingekuwa poa sana. Wengine waliobaki ni wa kawaida sana kama wachezaji wa Azam na Mashujaa.Sisi kazi yetu tumemaliza, sasa ni zamu ya squad