Magical power
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 2,158
- 5,626
KabisaKama wewe sio shabiki wa Simba usisogelee huu uzi
Mbona kama umepanic mkuu..?πWenzetu wanachukua medali huko Paris, sisi tupo tu na vijembe, eti unateseka ukiwa wapi?
Kwani kuna shidoπ€·π½ββοΈππWenzetu wanachukua medali huko Paris, sisi tupo tu na vijembe, eti unateseka ukiwa wapi?
mrembo vipiKwani kuna shidoπ€·π½ββοΈππ
Ngoja tukae mbaliKama wewe sio shabiki wa Simba usisogelee huu uzi
Mbona kama umepanic mkuu..?π
Kwani kuna shidoπ€·π½ββοΈππ
Tulia mwananchi wenye msitu wetu tuungurume kiumeπKama huna akili za kuchanganua mambo huwezi kuelewa nilichoandika.
Nimemkubali mtu mmoja tu kwenye vikosi vya jana. Si mwingine ni yule Mlinzi anaitwa Karaboka (kama sijakosea). Jamaa ana utulivu sana, angecheza pamoja na Kennedy Juma ingekuwa poa sana. Wengine waliobaki ni wa kawaida sana kama wachezaji wa Azam na Mashujaa.Sisi kazi yetu tumemaliza, sasa ni zamu ya squad