Mlipuko huu wa Rooters za WIFI kwa kampuni za Simu ipi ni nzuri Kwa matumizi nyumbani?

Mimi natumia vodacom nyumbani ambayo ni ya 4G 20Mbps,na ofisini natumia airtel 5G ambayo ni 30Mbps..
Kiukweli zote zipo vizuri sana,ingawa nimeipenda Airtel kwakua ina powerbank umeme ukikata unaweza tumia mpka 7hrs bila kuzima.
Hata mimi mkuu natumia hiyo ya voda ya 20Mbps nilinunua hiyo powerbank/UPS ya router za Airtel natumia kwenye router yangu, umeme ukikatika inapiga kazi zaidi ya masaa 10.
 
Je kuna yenye option ya kulimit matumizi ya data? Mfano mtu nampa gb 1 akimaliza hiyo ndio basi tena,pili iwe inajidisconnect kama mpaka ajiunge tena kwa password.
 
Je kuna yenye option ya kulimit matumizi ya data? Mfano mtu nampa gb 1 akimaliza hiyo ndio basi tena,pili iwe inajidisconnect kama mpaka ajiunge tena kwa password.
Unaweza ila si kwa hio router, internet itoke kwenye router then iende kifaa cha kubana bundle then hicho kifaa ndio kirushe wifi.
 
Unaweza ila si kwa hio router, internet itoke kwenye router then iende kifaa cha kubana bundle then hicho kifaa ndio kirushe wifi.
Kifaa kama, simu? Sihitaji kutumia simu, simu yangu inaweza fanya hiyo kazi, lakini naitumia mwenyewe, siwezi iacha home muda wote.
 
Hizo 4G na 5G aangalie kama eneo analokaa lipo covered na network ya 4G au 5G. Unaweza kununua router ya 5G ukaenda kutumia eneo la 3G ni kazi bure...

Asante.
Umeongea sawa kabisa. Hayo makampuni hovyo sana kwenye coverage, mara nyingi utasikia ungekuwa mbezi beach, mikocheni, masaki au posta. Hovyo sana!!!! Waongeze coverage.
 
Umeongea sawa kabisa. Hayo makampuni hovyo sana kwenye coverage, mara nyingi utasikia ungekuwa mbezi beach, mikocheni, masaki au posta. Hovyo sana!!!! Waongeze coverage.
Sidhani kama kuna eneo Dar halina Coverage ya 3G/4G/5G, kama yapo ni machache mno.
 
Mfano route
Sio simu, kifaa cha kubania Bandwidth, inaweza kuwa router, computer etc.

Router anayokupa isp inakuwa ni basic tu, ukitaka feature zozote advanced inabidi ununue yako.
Mfano router gani sokoni inaweza nifanyia haya na nitaipatia kwa kiasi gani?
 
Mfano route

Mfano router gani sokoni inaweza nifanyia haya na nitaipatia kwa kiasi gani?
Neno la kitaalam wanaita "captive portal" router yoyote yenye hio feature itakubali, Mfano ni Router za Ubiquiti, bei kama 500K hivi huko ughaibuni, nimecheki Aliexpress kuna brand za Kichina chini ya laki 2 zinafanya pia, ufanisi sijajua.

Pia waweza ukatumia Computer na software za Internet Cafe kama Antamedia.
 
Sidhani kama kuna eneo Dar halina Coverage ya 3G/4G/5G, kama yapo ni machache mno.kuna

Sidhani kama kuna eneo Dar halina Coverage ya 3G/4G/5G, kama yapo ni machache mno.
Tabia hiyo wanayo vodacom, mara mbili wananiambia hawapati signal. Kwangu si mbali toka mbezi beach. So niende
kampuni gani?
 
Chukua router ambayo ni multipurpose ili usiwe kifungoni amua kati ya D-Link wireless router au TP-link
 
Wakuu. Tukiendelea kujadili hii topic hapa nao hawa vipi?


Kuna mtu kawatumia?

Nina simu 2 kwa sasa natumia bundle kubwa sana kwa siku. P
Nilikua na Ile Post paid ya tigo ya watu watatu kuna mmoja anazingua halipi tumezimiwa.

Nadhani Airtel inahusika kwenda.
 
Tabia hiyo wanayo vodacom, mara mbili wananiambia hawapati signal. Kwangu si mbali toka mbezi beach. So niende
kampuni gani?
Inategemea ulijiunga huduma gani, kama ni ile ya Antena inatumia Microwave signal, lazima ziwepo.

Nafkiri huduma zote za 5G hazina hii limitation.

Airtel watu wananunua mjini na kutumia mkoani.
 
Inabidi uchunguze wanatumia technology gani na terms na condition zipoje. Otherwise Airtel ina make sense zaidi.
 
Dah umeandika aisee, shukrani sana kwa elimu hii murua kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…