Smile? Au Smarts!Kuna ile kampuni ya simu ilipotea ghafla miaka kama 5 iliyopita, nilikuwa natumia router yao unlimited naangalia YouTube/download siku nzima bila shida hata enzi hizo, hautakuwa na shida sasa.
Hiyo laki 2 ya Airtel basi umepigwaKwa mitandao ya simu Airtel wapo friendly zaidi, Gharama ndogo za kujisajili ambayo ni laki 2, wanakupa router na powerbank incase umeme unakatika ama upo nje ya nyumba. Vifurushi vyao vinaanzia 70,000 kwa mwezi
Voda pia wapo vizuri ila wame target zaidi wafanyabiashara, usajili bure ila utahitaji ka kila mwezi kulipa, vifurushi vinaanzia 120,000
Tigo wao gharama ghali sana kujiunga 650,000 ila kwa mwezi ni 70,000
Angalia kwako mambo haya
1. Unapata 5G? Kama unapata ni mtandao upi?
2. Pima speed zote za 4G na 5G angalia mtandao upi unazidi speed husika unayotaka kununua...
Then chagua mtandao kutokana na quality ya mtandao ya eneo lako, u naweza toa hela nyingi ukaishia kupata speed mbovu.
Ndo bei official, bei tofauti na hapo kifurushi cha 70,000 kikiondoka usimlaumu mtu, kuna malalamiko kibao humu kwa watu ambao hawakufuata utaratibu.Hiyo laki 2 ya Airtel basi umepigwa
Alternative tumia usb tetheringWazee ninatumia computer ya Dell windows 7. Tangu juzi imegoma kuunganisha mobile hotspot kwenye simu kama inavyoonyesha kwenye screenshot. Nimejaribu troubleshootings zote lakini bado imegoma kuunganisha. Tatizo linaweza kuwa nini? Je, naweza kufanya nini zaidi ili iweze kukubali? Asante.
View attachment 2915851
Wakuu. Tukiendelea kujadili hii topic hapa nao hawa vipi?
View attachment 2914424
Kuna mtu kawatumia?
Nina simu 2 kwa sasa natumia bundle kubwa sana kwa siku. P
Nilikua na Ile Post paid ya tigo ya watu watatu kuna mmoja anazingua halipi tumezimiwa.
Nadhani Airtel inahusika kwenda.
Lazima uwe na kampuni, upeleke TIN, ile karatasi ya mlipa Kodi ya TRA etc etcKwanini usiwe na ya peke yako? Postpaid?
Wee bana,, kuna wadau wanakuunga fresh tu bila hiyo takataka ya leseniLazima uwe na kampuni, upeleke TIN, ile karatasi ya mlipa Kodi ya TRA etc etc
Naona kama kwa sasa limeingia wimbi la kutangaza na kuuza Rooters za WIFI kwa makampuni ya simu nchini.
Kila mmoja anavutia kwake kwa vifurushi vya Mbps 10, 20 na 30 ambavyo ni kwa 4G na 5G unlimited mwezi mzima.
Je, ninunue toka kwa kampuni gani ambayo huduma zake katika hili ni reliable na price friendly kwa matumizi ya nyumbani?
Msaada tafadhali kwa walio experienced huduma hii iliyokuja kwa kasi!
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Asante sana mkuu; ngoja nikonekti waya maana naona hii hotspot itanipasua kichwaAlternative tumia usb tethering
Nadhani ilikuwa Smart, ilipotea overnight bila taarifa yoyote kutoka hizi mamlaka zetu.Smile? Au Smarts!
Band yao anatumia TTCL, band 40.Nadhani ilikuwa Smart, ilipotea overnight bila taarifa yoyote kutoka hizi mamlaka zetu.
Mkuu nimefanya hivyo lakini habari mbaya nilizopata ni kuwa VODACOM hawatoi huduma hiyo ya Unlimited kwa Router ambazo sio zao.Chukua router ambayo ni multipurpose ili usiwe kifungoni amua kati ya D-Link wireless router au TP-link
Ni Routers !Naona kama kwa sasa limeingia wimbi la kutangaza na kuuza Rooters za WIFI kwa makampuni ya simu nchini.
Kila mmoja anavutia kwake kwa vifurushi vya Mbps 10, 20 na 30 ambavyo ni kwa 4G na 5G unlimited mwezi mzima.
Je, ninunue toka kwa kampuni gani ambayo huduma zake katika hili ni reliable na price friendly kwa matumizi ya nyumbani?
Msaada tafadhali kwa walio experienced huduma hii iliyokuja kwa kasi!
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
ilimu dunia!ilimu
Wewe jiunge na SME ya airtelMkuu nimefanya hivyo lakini habari mbaya nilizopata ni kuwa VODACOM hawatoi huduma hiyo ya Unlimited kwa Router ambazo sio zao.
Kuuliza na Airtel nao naambiwa lazima ununue za kwao jee hapo inakuwaje?
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Zinaitwa Routers mkuu.Naona kama kwa sasa limeingia wimbi la kutangaza na kuuza Rooters za WIFI kwa makampuni ya simu nchini.
Kila mmoja anavutia kwake kwa vifurushi vya Mbps 10, 20 na 30 ambavyo ni kwa 4G na 5G unlimited mwezi mzima.
Je, ninunue toka kwa kampuni gani ambayo huduma zake katika hili ni reliable na price friendly kwa matumizi ya nyumbani?
Msaada tafadhali kwa walio experienced huduma hii iliyokuja kwa kasi!
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Hata kama wangekuwa wanakubali router za 5G ni chache na bei ni ndefu sanaMkuu nimefanya hivyo lakini habari mbaya nilizopata ni kuwa VODACOM hawatoi huduma hiyo ya Unlimited kwa Router ambazo sio zao.
Kuuliza na Airtel nao naambiwa lazima ununue za kwao jee hapo inakuwaje?
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
ni zile za mkopo?Wazee ninatumia computer ya Dell windows 7. Tangu juzi imegoma kuunganisha mobile hotspot kwenye simu kama inavyoonyesha kwenye screenshot. Nimejaribu troubleshootings zote lakini bado imegoma kuunganisha. Tatizo linaweza kuwa nini? Je, naweza kufanya nini zaidi ili iweze kukubali? Asante.
View attachment 2915851