Mlipuko huu wa Rooters za WIFI kwa kampuni za Simu ipi ni nzuri Kwa matumizi nyumbani?

Mkuu mitandao ya simu huwa haitabiriki, utakaokupa Signal za 5G za uhakika consider huo zaidi, Na kama hakuna 5G kabisa test na 4G ya Halotel ufanye comparison na hao wengine.
 
Ufanyaji kazi ni mmoja, Microwave inasaidia kupunguza ping, 5G yenyewe by nature ina ping ndogo, uzuri wa 5G ni capacity hata kama mtakua wengi mtaani ngumu speed kudrop.

Starlink around 1.5m installation na kwa mwezi around 120,000 huku kwetu.
Habari Chief na wataalam wengine
Naombeni mnisaidie nimeambatanisha hapo na picha router yangu kila saa napata ujumbe kuwa connected without internet au network unstable..
Ni kampuni vodacom R20
 
Habari Chief na wataalam wengine
Naombeni mnisaidie nimeambatanisha hapo na picha router yangu kila saa napata ujumbe kuwa connected without internet au network unstable..
Ni kampuni vodacom R20
Connected without internet ina maanisha wifi ipo ila internet hakuna, mara nyingi hutokea hivi ikiwa internet imekata.

Hali hio hutokea vifaa vyote ama chako tu?
 
Asante sana mkuu
 
Connected without internet ina maanisha wifi ipo ila internet hakuna, mara nyingi hutokea hivi ikiwa internet imekata.

Hali hio hutokea vifaa vyote ama chako tu?
Naelewa kuwa wifi ipo internet hakuna.
Lakini naona kama ni tatizo endelevu...
Tatizo hili linatokea kwa vifaa vyote.
Lakini nilishawahi kupata hilo tatizo mji fulani nchi fulani wenzangu wote wanapata wifi ila kwangu inagoma moaka naondoka.
 
TIgo na huduma yao ya fiber ni hovyo mavi matupuu, unalipa kama wanavotaka.....wakimaliza kuunganisha unaambiwa subiri password ndani ya masaa 24 uanze kutumia....leo ni wiki inaisha hakuna cha password wala ushuzi wowote....hawa jamaa wamezngua sana imagine wako serious kutembea na timu yao ile na magari mtaani kutujaza uongoo tu....tigo nyashiii maza fantaa nyiee🖕
 
Password ya router ama? Kuna mahusiano gani ya password na fiber? Sijaelewa?
 
Kutoka kwny fiber kuja kwny device yako konection inakuaje??
Kuna kua na Router ambayo ina ip adress, hio router ndio ina password ya kuingia kwenye router na password nyengine ya wifi, sema vyote viwili hivi sio necessary wewe kupata internet bali wifi. Mfano kama una desktop ama laptop Ina ethernet hata kama hujui password ya router kwa Ethernet cable itaconect na internet.
 
Msaada Microtik router kwa bongo nitapata wap
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…