Nawaona mabeberu weusi wasio na utu wakishangilia vifo vilivyotokeaa lebanon, jikumbushieni yaliyotokea dodoma ndugu jamaa na marafiki walipoteza uhai, mbona mlilia sana! Au waarabu sio binadamu enyi wagalatia!
Muwe mnakua serious some timez nyumbu nyiemimi ndie nimeuteketeza, vp ulitaka nihamie Tz yenu???
Tukubaliene kutokubaliana angalau kwa hiligenocide ya rwanda ilipangwa na kutekelezwa na umoja wa vijana wa chama tawala cha rwanda
Tukubaliene kutokubaliana angalau kwa hili
Wanahusikaje na mossad mkuu?Walokole tayari mmetia mguu kwenye huu uzi.
mna bore sana.
Sent from my Phantom6 using JamiiForums mobile app
Uwezo unao?Ukiangalia kwa mbali nawaza Yale mkazi ya Mzee Nyerere,pia makazi ya Mzee Mkapa pale butiama na lupaso !!sasa linganisha msoga na chato tukianza kupigana hapa bongo nitalipua bagamoyo yote halafu mwanza yote nateketezaaaa yaani hatuwezi kupakwa unafiki matokeo ndio hayooo watu tumenyamaza huku tukiangalia mchezo
Mkuu unaelekea kutaka kuleta machafuko nani kafurahia msiba huu?Nawaona mabeberu weusi wasio na utu wakishangilia vifo vilivyotokeaa lebanon, jikumbushieni yaliyotokea dodoma ndugu jamaa na marafiki walipoteza uhai, mbona mlilia sana! Au waarabu sio binadamu enyi wagalatia!
Mkuu unaelekea kutaka kuleta machafuko nani kafurahia msiba huu?
Lebanon ni nchi ya kiislam? Huu ujinga utawatoka lini?Fuatilia comments za mwanzo,,kama kawaida yao wakifurahia vifo katika nchi za kiislamu.
Hahaha ..[emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23]mkuu watu wanaigiza kufa? kuwa siriaz kdgo mazee
Sent from my CAM-L21 using JamiiForums mobile app
Ajali ya moto Morogoro na mimi hakuniacha salama so nilishazoe
AmenGod bless and protect Israel
Hezbullah imeonya kama israel itakuwa inahusika basi watahakikisha wanaingia jelusalimu kibabe mimi napenda vita ngoja nisikilizie
kama ISRAEL imehusika isijali itakipata inachokistahili punde ama baadae kidogo lakini lazma waipate
ha ha ha, wachomoa betri hao
Hivi unaijua vita ww? Au unajiropokea tu.. Panyaroad tu mnawaogopa iwe ndio vita.Hezbullah imeonya kama israel itakuwa inahusika basi watahakikisha wanaingia jelusalimu kibabe mimi napenda vita ngoja nisikilizie
HujitambuiIsrael isipokuwa makini wavaa makobasi wa Lebanoni watawaludisha Ulaya
Sijui kama hata mifupa yao itapatikana.jamaa walikuwa wanachomelea geti...
I am sorry it's taken me so long to see this.hamna shida ntakupatia ila nikitulia maana kidogo nipo naharakati katika kipindi hiki
ila pia kama utanipatia ulipopitia wewe haitakua vibaya...
Sent using My COVID-19
Kum-mind ukimaanisha nini?Bwana Utam huyu binti mrembo amekumind ujuwe [emoji16] mada kama hizi lazima akutafute tu [emoji16]