Mlipuko mkubwa watokea mji mkuu wa Lebanon, Beirut. Watu zaidi ya 78 wafariki na zaidi ya 4,000 kujeruhiwa


1.NYUMBANI KWA MKAPA-LUPASO

2.NYUMBANI KWA NYERERE -BUTIAMA.

3.MZEE WA MSOGA
 
hio mbolea ya ammonium nitrate iliyolipuka ilikuwa inatoka Georgia inaelekea msumbiji imebebwa na meli ya urusi mwaka 2014 meli ikapata tatizo la kiufundi ikaomba kupaki bandari ya Beirut Lebanon Lakini kwa sababu zisizoeleweka meli na mbolea zikatelekezwa na mmiliki na kutaifishwa na Lebanon, mzigo ukahifadhiwa Kwenye ghala ya bandarini bila kuzingatia taratibu za kiusalama.
Chanzo cha mlipuko ni wachomea vyuma ( welder)waliokuwa karibu na eneo.
Bandari ya Beirut jina lake la utani inajulikana kama pango la alibaba na wezi 40 kwasababu ya kiwango chake cha rushwa iliyokidhiri.
Mlipuko ulitengeneza tetemo la ardhi la magnitude ya 3.3
 
Hata huwaga nashangaa hii vita watu wanasema israel alipata kipigo wakati hezbollah wamekufaa wengi plus wanajeshi wa lebanon na raia wengi sasa hapo israel ameshindwaje ?
 
Hata huwaga nashangaa hii vita watu wanasema israel alipata kipigo wakati hezbollah wamekufaa wengi plus wanajeshi wa lebanon na raia wengi sasa hapo israel ameshindwaje ?
Na pia madhara ya ile vita bado yapo na Lebanon hadi leo. Huku Israel ili-recover mapema kabisa na kurudi hali yake ya kawaida.
Yaani bila ushabiki kwenye ile vita Lebanon ndio "mhanga" mkubwa na alipoteza zaidi ya Israel kwa kila kitu.

Hawa watu labda wana sources zao zinazoelezea tofauti ngoja tuone Bwana Utam akiziweka.
 
This picture of Hezbollah's leader in the cloud of smoke from the explosion is trending in Lebanon.

People are saying: 'We are told that Israel is our enemy, but we see that the enemy is right here in Lebanon'.
 
Hezbollah watangaza ushindi kwamba vita wameshinda baada ya kuokota kifalu kilicho achwa na IDF..[emoji1]
 
Kitu gani kimetokea huko ?
Your browser is not able to display this video.
 
Duh..
Nimesikia ila nilikua sijaona. Hapo kuna kitu kimetrigger kingine
 
Kwa hiyo sio habari mbaya sana Sababu Ni Wakristo wengi wamekufa?
 
Nikurekebishe kidogo according to Al Jazeera.

Ammonium nitrate ilifika by accident kwenye bandari ya Beirut mwaka 2013 baada ya meli kupata matatizo ya kiufundi ikiwa njiani kuelekea Mozambique.

Maafisa wa Lebanon WALIIZUIA isiondoke. Crew members wengi waliondoka na baadae wamiliki wakaamua kuitelekeza.

Cargo ilishushwa na kuhifadhiwa kwenye hangar katika eneo la bandari hiyo.

Maafisa wa ushuru na forodha waliandika barua zaidi ya mara 5 kati ya mwaka 2014 na 2017 kwa mamlaka husika wakiomba order ya mahakama kuruhusu huo mzigo uondolewe hapo.

Hakuna barua hata moja iliyojibiwa na mara ya mwisho barua ilitumwa 2017, miaka mitatu baadae Ammonium nitrate imelipuka.
 
Si vizuri kujifanya unajua kitu usichokijua..

Unapajua LUSHOTO kwa Mkapa wewe au una ropoka tu.??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…