Mlipuko mkubwa watokea mji mkuu wa Lebanon, Beirut. Watu zaidi ya 78 wafariki na zaidi ya 4,000 kujeruhiwa

Mlipuko mkubwa watokea mji mkuu wa Lebanon, Beirut. Watu zaidi ya 78 wafariki na zaidi ya 4,000 kujeruhiwa

Nakuunga mkono kwenye post yangu no. 128
Yes, kama ulivyosema katika post yako juu, lile tukio linatakiwa liwe somo kubwa kwa taifa letu. Vifaa hatari/milipuko vikikosa uangalizi na ukaguzi wa kitaalamu siku vikilipuka madhara yake yanakua janga la kitaifa.
 
Ukiutazama mlipuko huo video yake ina viashiria kuwa ni ya kutengenezwa:
Mosi: moshi unaoanza kufuka unaashiria kuwa ni mlipuko wa bomu la atomic, sidhani kama ni rahisi kwasasa (ethically) kwa jeshi kutumia bomu la ainahii.

Pili: mlipuko wa chini unaonesha kama ni bomu la kawaida tena la kutegwa na si la kutupwa. Combination hizi mbili zinashiria kuwa video ni ya kutengenezwa. Period.
Unamaanisha kuwa hakuna tukio limetokea Lebanon?Au unaaminsha kuwa video imetengezwa kuaminisha watu kuwa Lebanon kuna mlipuko ambao haupo kabisa?

Tusaidie kidogo na sisi tujue.
 
Unamaanisha kuwa hakuna tukio limetokea Lebanon?Au unaaminsha kuwa video imetengezwa kuaminisha watu kuwa Lebanon kuna mlipuko ambao haupo kabisa?

Tusaidie kidogo na sisi tujue.
Lebanon milipuko hutokea but hii video ina viashiria vya man made
 
Zipo video nyingi tuu,walizo chukua watu nazo pia ni za kutengenezwa??
Nipetoa vigezo vyangu kwa hii niliyoichunguza, ndo maana nimekusomesha kuwa milipuko hutokea mara kwa mara..................... Video ya Leo ina viashiria vya kutengenezwa. Hizo nyingine zisemee wewe
 
Nipetoa vigezo vyangu kwa hii niliyoichunguza, ndo maana nimekusomesha kuwa milipuko hutokea mara kwa mara..................... Video ya Leo ina viashiria vya kutengenezwa. Hizo nyingine zisemee wewe
Sawa mkuu nimekuelewa kama ulivyosema.
 
Sasa hapo ndio muone maajabu ya Mungu wa kweli wa ISRAEL wala israel haijahusika kulipua na hizo material zilizolipuka walikuwa wanaandaa silaha za maangamizI dhidi yaya watu wa Mungu wa kweli wayahudi. Ukitaka mambo yako yasikunyookee kuwa adui wa Israel. Sasa hivi mataifa mengi ya kiislamu yamegundua hili Omani, saudia, UAE, Maroc n.k kwa kichinichini na kujifichajificha kama nikodemu wanampigiaga simu netanyahu. Majuzi tu hapa Somaliland wanataka diplomasia na israel hadi wenzao Mogadishu wakaja juu.

hearly
Ondoa haya mawazo!Umepotoshwa sana!
 
Ukiutazama mlipuko huo video yake ina viashiria kuwa ni ya kutengenezwa:
Mosi: moshi unaoanza kufuka unaashiria kuwa ni mlipuko wa bomu la atomic, sidhani kama ni rahisi kwasasa (ethically) kwa jeshi kutumia bomu la ainahii.

Pili: mlipuko wa chini unaonesha kama ni bomu la kawaida tena la kutegwa na si la kutupwa. Combination hizi mbili zinashiria kuwa video ni ya kutengenezwa. Period.
[emoji23][emoji23][emoji23]mkuu watu wanaigiza kufa? kuwa siriaz kdgo mazee

Sent from my CAM-L21 using JamiiForums mobile app
 
Sasa hapo ndio muone maajabu ya Mungu wa kweli wa ISRAEL wala israel haijahusika kulipua na hizo material zilizolipuka walikuwa wanaandaa silaha za maangamizI dhidi yaya watu wa Mungu wa kweli wayahudi. Ukitaka mambo yako yasikunyookee kuwa adui wa Israel. Sasa hivi mataifa mengi ya kiislamu yamegundua hili Omani, saudia, UAE, Maroc n.k kwa kichinichini na kujifichajificha kama nikodemu wanampigiaga simu netanyahu. Majuzi tu hapa Somaliland wanataka diplomasia na israel hadi wenzao Mogadishu wakaja juu.

hearly
Kaka mboba unatuchanganyia habari mzee ? Mara Mayahudi, mara Israeli ?

Unakitabu chochote cha dini yoyote kinachowataja Mayahudi kuwa ni watu wazuri zaidi ya vitabu vyao wenyewe ?

Sasa tujikite kwenye mada ya mlipuko na kilicho sababisha mlipuko.

Japokuwa kwangu mimi hawa ma Hizbullah tukiwaweka katika mizani ya kielimu hawana tofauti na Mayahudi, ila hili tuliache. Halina maana kwa sasa.
 
Ww na wenzako acheni uzwazwa
Mlipuko wa Nguvu... Karakana ya Hezbollah imelipuka... Mambo ya kuajili ajili wanajeshi wa kuokota okota sijui walikuwa wanaiba mafuta kwenye gari or something
Screenshot_20200805_075622.jpg
 
Back
Top Bottom