Yes, kama ulivyosema katika post yako juu, lile tukio linatakiwa liwe somo kubwa kwa taifa letu. Vifaa hatari/milipuko vikikosa uangalizi na ukaguzi wa kitaalamu siku vikilipuka madhara yake yanakua janga la kitaifa.Nakuunga mkono kwenye post yangu no. 128
Unamaanisha kuwa hakuna tukio limetokea Lebanon?Au unaaminsha kuwa video imetengezwa kuaminisha watu kuwa Lebanon kuna mlipuko ambao haupo kabisa?Ukiutazama mlipuko huo video yake ina viashiria kuwa ni ya kutengenezwa:
Mosi: moshi unaoanza kufuka unaashiria kuwa ni mlipuko wa bomu la atomic, sidhani kama ni rahisi kwasasa (ethically) kwa jeshi kutumia bomu la ainahii.
Pili: mlipuko wa chini unaonesha kama ni bomu la kawaida tena la kutegwa na si la kutupwa. Combination hizi mbili zinashiria kuwa video ni ya kutengenezwa. Period.
Nani kafanya kitendo hiki cha unyama.View attachment 1527229View attachment 1527230View attachment 1527231
Lebanon milipuko hutokea but hii video ina viashiria vya man madeUnamaanisha kuwa hakuna tukio limetokea Lebanon?Au unaaminsha kuwa video imetengezwa kuaminisha watu kuwa Lebanon kuna mlipuko ambao haupo kabisa?
Tusaidie kidogo na sisi tujue.
Zipo video nyingi tuu,walizo chukua watu nazo pia ni za kutengenezwa??Lebanon milipuko hutokea but hii video ina viashiria vya man made
Ulizosoma wewe na mimi nataka nizisome.Dada paula paul zaupande upi magharibi mashariki ama waarabu wenyewe ama zisizofungamana naupande wowote ?!
Japokua google wameweka mambo yote hadharani.
Nipetoa vigezo vyangu kwa hii niliyoichunguza, ndo maana nimekusomesha kuwa milipuko hutokea mara kwa mara..................... Video ya Leo ina viashiria vya kutengenezwa. Hizo nyingine zisemee weweZipo video nyingi tuu,walizo chukua watu nazo pia ni za kutengenezwa??
Sawa mkuu nimekuelewa kama ulivyosema.Nipetoa vigezo vyangu kwa hii niliyoichunguza, ndo maana nimekusomesha kuwa milipuko hutokea mara kwa mara..................... Video ya Leo ina viashiria vya kutengenezwa. Hizo nyingine zisemee wewe
Ondoa haya mawazo!Umepotoshwa sana!Sasa hapo ndio muone maajabu ya Mungu wa kweli wa ISRAEL wala israel haijahusika kulipua na hizo material zilizolipuka walikuwa wanaandaa silaha za maangamizI dhidi yaya watu wa Mungu wa kweli wayahudi. Ukitaka mambo yako yasikunyookee kuwa adui wa Israel. Sasa hivi mataifa mengi ya kiislamu yamegundua hili Omani, saudia, UAE, Maroc n.k kwa kichinichini na kujifichajificha kama nikodemu wanampigiaga simu netanyahu. Majuzi tu hapa Somaliland wanataka diplomasia na israel hadi wenzao Mogadishu wakaja juu.
hearly
Dini ni moja wapo ya visababishi vya Magonjwa ya Akili.Sawa sawa.Kweli dini ni ulevi.
[emoji23][emoji23][emoji23]mkuu watu wanaigiza kufa? kuwa siriaz kdgo mazeeUkiutazama mlipuko huo video yake ina viashiria kuwa ni ya kutengenezwa:
Mosi: moshi unaoanza kufuka unaashiria kuwa ni mlipuko wa bomu la atomic, sidhani kama ni rahisi kwasasa (ethically) kwa jeshi kutumia bomu la ainahii.
Pili: mlipuko wa chini unaonesha kama ni bomu la kawaida tena la kutegwa na si la kutupwa. Combination hizi mbili zinashiria kuwa video ni ya kutengenezwa. Period.
Una maana gani? Video nyingi za kutengenezwa husambazwa ili kukuza propaganda, hilo hulijui?[emoji23][emoji23][emoji23]mkuu watu wanaigiza kufa? kuwa siriaz kdgo mazee
Sent from my CAM-L21 using JamiiForums mobile app
Hili limedakwa na hadi watu wa kawaida mtaani (non professional/amateuristic sources) wakitumia simu zao, dash cams za magari n.k, linakuwaje fake sasa ?Una maana gani? Video nyingi za kutengenezwa husambazwa ili kukuza propaganda, hilo hulijui?
Kaka mboba unatuchanganyia habari mzee ? Mara Mayahudi, mara Israeli ?Sasa hapo ndio muone maajabu ya Mungu wa kweli wa ISRAEL wala israel haijahusika kulipua na hizo material zilizolipuka walikuwa wanaandaa silaha za maangamizI dhidi yaya watu wa Mungu wa kweli wayahudi. Ukitaka mambo yako yasikunyookee kuwa adui wa Israel. Sasa hivi mataifa mengi ya kiislamu yamegundua hili Omani, saudia, UAE, Maroc n.k kwa kichinichini na kujifichajificha kama nikodemu wanampigiaga simu netanyahu. Majuzi tu hapa Somaliland wanataka diplomasia na israel hadi wenzao Mogadishu wakaja juu.
hearly
hamna shida ntakupatia ila nikitulia maana kidogo nipo naharakati katika kipindi hikiUlizosoma wewe na mimi nataka nizisome.
Nilizosoma mimi hamna hicho kitu unachokisema.
Sehemu zake nyetu zanani zilizoripuliwa MKUU!?Iran anaemfadhili Hezibullah kila siku analipuliwa sehemu zake nyeti na hajalipia mpaka sasa.
Mlipuko umetokea wapi? Lebanon au Damascus?Hili limedakwa na hadi watu wa kawaida mtaani (non professional/amateuristic sources) wakitumia simu zao, dash cams za magari n.k, linakuwaje fake sasa ?
Sent from JamiiForums mobile app
Mlipuko wa Nguvu... Karakana ya Hezbollah imelipuka... Mambo ya kuajili ajili wanajeshi wa kuokota okota sijui walikuwa wanaiba mafuta kwenye gari or something