View attachment 1035036
Mlipuko mkubwa umetokea jana majira ya Jioni mjini Mogadishu inasemekana mapigano makali yanaendelea mpaka leo.
Kuna Mgogoro kati ya Waziri Mkuuna Raisi Makabila yao ambayo hutumia Alshababu kwa Manufaa yao ya kisiasa.
Jana niliweka Posti hapa Raisi wa Somalia ameenda Kuomba Msaada wa Pesa huko Qatar marokeo yake ndio haya eneo lililolipuliwa wanaishi kabila ya waziri Mkuu kwa wingi.
Wanasiasa na Serikali ya Somalia inashirikiana na Shabaabu.
Source:BBC
Kweli yako vitu kama hivi 77 vinawaasubiri huko ughaibuniWashashindikana hao,,,,hawanaga vikao vyakupatana wala kupelekana sijui polisi mahakamani,,,ukimzingua MTU anakamata chuma,,,,ma,,,mae
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli yako vitu kama hivi 77 vinawaasubiri huko ughaibuni
Wewe kiumbe hauna kazi, Unatamani Uislamu ila ndo hivyo bahati huna.Alshababu wanasubiriwa na Wasichana 77 hebu fikiria
Una heshima ipi wewe Mwehu mmoja video unazo weka unaonekana unajiuza kasino.Kijana nikutangazia fatwa ukizidi kunifunjia heshima mimi sipendi utani wa Kingese.
Una heshima ipi wewe Mwehu mmoja video unazo weka unaonekana unajiuza kasino.
Aisee hapa ni kama anamtishia 'don't dare..betray me.. iiiiiihView attachment 1035439
Raisi wa Somalia akiwa ameenda Qatar kuomba hela kama tujuavyo Qatar inahusishwa na kuisaidia ISIS na Al Shababu.
Amedhibitiwa kama Shoga Raisi yapaswa kujikakamua hawa Waarabu wanaweza wakakugeuza kijakazi.hahahahaha😂😂😂
Anaonekana ana chura kumbe madem wa kisomali Wana churaAta hao alshababu wanatumia njia ya Dini ili kufanikisha mambo yao,,lkn na wao ndo walewale,,,
Sent using Jamii Forums mobile app