Mlipuko Mkubwa watokea Mogadishu.

Mlipuko Mkubwa watokea Mogadishu.

imhotep

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
55,997
Reaction score
88,219
_105850043_cd77fed3-6554-4c3f-b8b6-34a25c28dd33.jpg

Mlipuko mkubwa umetokea jana majira ya Jioni mjini Mogadishu inasemekana mapigano makali yanaendelea mpaka leo.

Kuna Mgogoro kati ya Waziri Mkuuna Raisi Makabila yao ambayo hutumia Alshababu kwa Manufaa yao ya kisiasa.

Jana niliweka Posti hapa Raisi wa Somalia ameenda Kuomba Msaada wa Pesa huko Qatar marokeo yake ndio haya eneo lililolipuliwa wanaishi kabila ya waziri Mkuu kwa wingi.

Wanasiasa na Serikali ya Somalia inashirikiana na Shabaabu.

Source:BBC
 
Mapigano bado yanaendelea Makkah Mukarama Street maiti zimetapakaa kila upande.
 
5:09 za jioni Mapigano bado yanaendelea mabikra na mabikra wanatarajiwa kupata waume
 

Mategemeo ya Alshababu ni makubwa.
 

Vituuuz!!!! alshabaab vituuuuzz!!!!
 
calal.jpg

Ai ai aiiiiii lazima niuwe namimi nife ili nikawaoe haoWaraaaaaa!!!
 
Washashindikana hao,,,,hawanaga vikao vyakupatana wala kupelekana sijui polisi mahakamani,,,ukimzingua MTU anakamata chuma,,,,ma,,,mae
View attachment 1035036
Mlipuko mkubwa umetokea jana majira ya Jioni mjini Mogadishu inasemekana mapigano makali yanaendelea mpaka leo.

Kuna Mgogoro kati ya Waziri Mkuuna Raisi Makabila yao ambayo hutumia Alshababu kwa Manufaa yao ya kisiasa.

Jana niliweka Posti hapa Raisi wa Somalia ameenda Kuomba Msaada wa Pesa huko Qatar marokeo yake ndio haya eneo lililolipuliwa wanaishi kabila ya waziri Mkuu kwa wingi.

Wanasiasa na Serikali ya Somalia inashirikiana na Shabaabu.

Source:BBC

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Alshababu wanasubiriwa na Wasichana 77 hebu fikiria
article-2159321-139C62D1000005DC-457_634x415.jpg

Lazima nimkule kabla ya kumvua nguo gizaaa kinembee!!..kabla haijanasa kula mifupa ikingali meno bado iko.
Bomu liko wapi shehe?!!
 
Kijana nikutangazia fatwa ukizidi kunifunjia heshima mimi sipendi utani wa Kingese.
Una heshima ipi wewe Mwehu mmoja video unazo weka unaonekana unajiuza kasino.
 
1_1_1-1.jpg

Raisi wa Somalia akiwa ameenda Qatar kuomba hela kama tujuavyo Qatar inahusishwa na kuisaidia ISIS na Al Shababu.
Amedhibitiwa kama Shoga Raisi yapaswa kujikakamua hawa Waarabu wanaweza wakakugeuza kijakazi.hahahahaha😂😂😂
 
Back
Top Bottom