Kizzy Wizzy
JF-Expert Member
- Aug 2, 2013
- 3,280
- 3,789
...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mathanzua pitia hapa...Wakati uongozi wa WHO mapema mwezi huu ukiitangazia Dunia kwamba Ugonjwa wa covid 19 sio tishio tena mambo yako tofauti nchini China.
China inategemea kuukabili mlipuko mpya wa covid 19 mwezi June huku watu milion 65 kuhofiwa kupata maambukizi kwa wiki. Wataalamu wa maswala ya magonjwa ya mlipuko wakitolea ufafanuzi wanasema, kuibuka kwa vimelea vya XBB vya covid 19 vitahatarisha maisha ya watu wengi wasiopatiwa chanjo hasa wazee.
Huku maambukizi yakiendea kuzidi hivi sasa, mamlaka nchini humo zimeendelea kusisitiza watu kupata booster ama chanjo kwa mara nyingine ili kuvikabili vimelea hivyo.
Wachina wengi kwenye mitandao ya kijamii waelezea kuhofia kurejeshwa kwa "lockdown" kama utekelezaji wa "zero covid policy" na pia wahofia ubora wa chanjo hizo zinazotengezwa nchini humo kuwa hazikuwa na ubora unaokidhi.
Je, kurejea kwa wimbi kubwa la mlipuko wa covid 19 nchini china ni matokea ya sera mbovu za Afya?
Je, kuwa na "Autocratic leadership" kumechochea kupunguza kasi ya namna nzuri ya kupambana na ugonjwa huo kwa kutofata uwazi wa taarifa za kiafya na ushirikiano na mataifa mengine?
Tujadili...
Wachina ni kizazi cha kipumbavu kuwahi kutokea duniani.Huo ugonjwa unaundwa na kukuzwa kwenye media
SawasawaMatokea ya usiri wa kwenye maswala ya Afya ndo haya, ufichaji wa data, kutoshirikiana kwa karibu na wataalamu wa Afya matokeo yake ndo haya
Hakuna Covid.Tell me why you believe it is real,ukishaniambia nitakuambia Scientifically why it is not real.Usilete udaku,lete facts which can be proved by scientific reasoning and research.
Mkuu wewe ni me au ke?Hakuna Covid.Tell me why you believe,it is real,ukishaniambia nitakuambia Scientifically why it is not real.Usilete udaku,lete facts which can be proved by scientific reasoning and research.
Whether male or female is not important,we want scientific facts.Kumbuka some of us are scientists,tena nguli.Mtu ukileta kitu tena scientific,bring scientific facts alongside it,sio empty rhetoric.Sio kila mtu JF ni mjinga,and can believe anything.Mkuu wewe ni me au ke?
Hawa watu ni kuwapuuza tuWachina ni kizazi cha kipumbavu kuwahi kutokea duniani.
Wanaanzisha tatizo ili badae wafanye biashara ya barakoa na chanjo.
sasa wale walokua wanawekewa oxygen wengine wanabanwa vifua wanakufa na hata sie wengine tulipata wimbi la kukuhoa kusiko kawaida ile ni nini?Whether male or female is not important,we want scientific facts.Kumbuka kwamba sio udaku,some of us are scientists,tena nguli.Mtu ukileta kitu tena scientific,bring scientific facts with it,sio empty rhetoric,sio kila mtu JF ni mjinga,and can believe anything.
Huyo mathanzua ni psycho aliyepo kwenye denialismsasa wale walokua wanawekewa oxygen wengine wanabanwa vifua wanakufa na hata sie wengine tulipata wimbi la kukuhoa kusiko kawaida ile ni nini?
Denialism is real. Wewe muons mtaalam wa afya ya akili ASAP. Kumbuka kuna wenzio wanaamini HIV is a hoax mpaka leo hii ila watu wanapukutik na kufa kila siku mahospitaliniHakuna Covid.Tell me why you believe,it is real,ukishaniambia nitakuambia Scientifically why it is not real.Usilete udaku,lete facts which can be proved by scientific reasoning and research.
It is funny that you people believe in stories which you yourself do not have knowledge of and cannot prove.Let me tell you this,the World system is built on lies,and depends on lies for its' success.This fearmongering rhetoric is just another attempt to perpetuate lies as a weapon against humanity.Wake up guys.Infact wewe by spreading this lies,you are helping them to win the battle against humanity.Remember that to them fear is a weapon.
Mwisho,I find it queer that there are people who still believe there is Covid even after all circumstances and facts on the ground have proven repeatedly shown that Covid is fake.I do not know how much it will take for you people to wake up.
Tumeshaeleza sana hapa.Anyway labda nikuulize swali,hilo tatizo limeenda wapi all of a sudden,mbona Malaria bado ipo,Typhoid bado ipo?Simple answer:air pollution ndiyo iliyosumbua watu,hasa kwa kuwa immune systems zetu zimeshuka sana,so if you are weak you succumb.Infact ile ilikuwa biashara na mauaji: pollute the air for some time,people cough and the elderly die and in hospitals you put mechanisms for more killing kama the misuse of mechanical ventilation.This creates the appearance that COVID is exceptionally deadly, which in turn helps to promote acceptance of the experimental COVID shots that are now a leading cause of frequent sickness, chronic disability and excess deaths.sasa wale walokua wanawekewa oxygen wengine wanabanwa vifua wanakufa na hata sie wengine tulipata wimbi la kukuhoa kusiko kawaida ile ni nini?
Ni mjinga tu anayeamini kitu cha kuambiwa.Halafu naomba Ikumbukwe kwamba zipo sababu nyingi za watu kufa kwa kitu kichofanana na hicho kinachoitwa HIV-Aids,sio lazima iwe as a result of the so called HIV- Aids Virus.Infact HIV-Aids shows all the symptoms of poisoning,not a pathogenic disease.So it could be food poisoning or medication poisoning.Denialism is real. Wewe muons mtaalam wa afya ya akili ASAP. Kumbuka kuna wenzio wanaamini HIV is a hoax mpaka leo hii ila watu wanapukutik na kufa kila siku mahospitalini
Wewe ni mjinga uliyekuwa brainwashed Kwahiyo sitakujibu tena maana ni waste of timeNi mjinga tu anayeamini kitu cha kuambiwa.Halafu naomba Ikumbukwe kwamba zipo sababu nyingi za watu kufa kwa Hicho kinachoitwa HIV-Aids,sio lazima iwe as a result of something called HIV- Aids Virus.Infact HIV-Aids shows all the symptoms of poisoning,not a pathogen.So it could be food poisoning or medication poisoning.
And how about if it was some contamination in the Polio Vaccine or Small Pox vaccine or even microplastic poisoning!Do you know that Cancer is a Viral Malignant as a result of contamination of the first Polio Vaccine by the SV40 Virus?Jamani amkeni,Hawa watu ni waongo sana,everything they do wanawaza money,money,money and kill,kill,kill.Remember they want to control us and our resources 100%.
Nimesema mnipe facts zinazo prove kwamba Covid ipo mmeshindwa,sasa anaye deny ukweli ni nani,si ninyi?Mimi nina all Scientific facts to prove that Covid doesn't exist,ninyi mnang'ang'ania udaku,funny.Let me repeat this,mtu yeyote anayekubali hearsay as facts,ni mjinga.Huyo mathanzua ni psycho aliyepo kwenye denialism
Mtauana wenyewe na hayo magonjwa yenuWakati uongozi wa WHO mapema mwezi huu ukiitangazia Dunia kwamba Ugonjwa wa covid 19 sio tishio tena mambo yako tofauti nchini China.
China inategemea kuukabili mlipuko mpya wa covid 19 mwezi June huku watu milion 65 kuhofiwa kupata maambukizi kwa wiki. Wataalamu wa maswala ya magonjwa ya mlipuko wakitolea ufafanuzi wanasema, kuibuka kwa vimelea vya XBB vya covid 19 vitahatarisha maisha ya watu wengi wasiopatiwa chanjo hasa wazee.
Huku maambukizi yakiendea kuzidi hivi sasa, mamlaka nchini humo zimeendelea kusisitiza watu kupata booster ama chanjo kwa mara nyingine ili kuvikabili vimelea hivyo.
Wachina wengi kwenye mitandao ya kijamii waelezea kuhofia kurejeshwa kwa "lockdown" kama utekelezaji wa "zero covid policy" na pia wahofia ubora wa chanjo hizo zinazotengezwa nchini humo kuwa hazikuwa na ubora unaokidhi.
Je, kurejea kwa wimbi kubwa la mlipuko wa covid 19 nchini china ni matokea ya sera mbovu za Afya?
Je, kuwa na "Autocratic leadership" kumechochea kupunguza kasi ya namna nzuri ya kupambana na ugonjwa huo kwa kutofata uwazi wa taarifa za kiafya na ushirikiano na mataifa mengine?
Tujadili...