#COVID19 Mlipuko mwingine wa Covid 19 wategemewa kuikumba China, watu milioni 65 kupata maambukizi kwa wiki

#COVID19 Mlipuko mwingine wa Covid 19 wategemewa kuikumba China, watu milioni 65 kupata maambukizi kwa wiki

Wakati uongozi wa WHO mapema mwezi huu ukiitangazia Dunia kwamba Ugonjwa wa covid 19 sio tishio tena mambo yako tofauti nchini China.

China inategemea kuukabili mlipuko mpya wa covid 19 mwezi June huku watu milion 65 kuhofiwa kupata maambukizi kwa wiki. Wataalamu wa maswala ya magonjwa ya mlipuko wakitolea ufafanuzi wanasema, kuibuka kwa vimelea vya XBB vya covid 19 vitahatarisha maisha ya watu wengi wasiopatiwa chanjo hasa wazee.

Huku maambukizi yakiendea kuzidi hivi sasa, mamlaka nchini humo zimeendelea kusisitiza watu kupata booster ama chanjo kwa mara nyingine ili kuvikabili vimelea hivyo.

Wachina wengi kwenye mitandao ya kijamii waelezea kuhofia kurejeshwa kwa "lockdown" kama utekelezaji wa "zero covid policy" na pia wahofia ubora wa chanjo hizo zinazotengezwa nchini humo kuwa hazikuwa na ubora unaokidhi.

Je, kurejea kwa wimbi kubwa la mlipuko wa covid 19 nchini china ni matokea ya sera mbovu za Afya?

Je, kuwa na "Autocratic leadership" kumechochea kupunguza kasi ya namna nzuri ya kupambana na ugonjwa huo kwa kutofata uwazi wa taarifa za kiafya na ushirikiano na mataifa mengine?

Tujadili...
Mtu mwenye virusi vya ukimwi kama hajijui anaishi muda mrefu na afya nzuri hata bila matumizi ya dawa ikiwa sio "mzururaji"kuliko anaejijua na anatumia dawa..

Kinachodhoofisha mwili wa anaejijua ni muathirika mara nyingi imekua ni HOFU, wazungu wanalijua hili, hivyo ili Covid ikuue lazma wakutie hofu za kipropaganda

("buldozer a.k.a jiwe" alilithibitisha hilo ulimwengu wote ukashangaa...

Chagua moja...1...kuishi kwa hofu ya covid ufe au ..2..kishinda hofu inayosambazwa ya covid uishi au ..3..uchomwe chanjo kubadilisha RNA
(RNA carries out a broad range of functions, from translating genetic information into the molecular machines and structures of the cell to regulating the activity of genes during development, cellular differentiation, and changing environments. RNA is a unique polymer)
 
Ingia weibo ww, wachina wenyewe wanalalamika mzee sio poa,
Ukitaka taarifa sahihi za yanayoendelea China ingia kwenye mitandao yao ya kijamii
Usambazaji hofu mzungu anauweza...hadi kwenye moyo wako anauwezo wa kukupush ukahofia kukojoa usiku akikuaminisha utapoteza nguvu za kiume..
 
Usambazaji hofu mzungu anauweza...hadi kwenye moyo wako anauwezo wa kukupush ukahofia kukojoa usiku akikuaminisha utapoteza nguvu za kiume..
Umezungumza vitu gani? Mbona havieleweki?
Covid 19 imeanzia China na kusambaa kote Duniani, mzungu ameingiaje hapa?
 
Denialism is real. Wewe muons mtaalam wa afya ya akili ASAP. Kumbuka kuna wenzio wanaamini HIV is a hoax mpaka leo hii ila watu wanapukutik na kufa kila siku mahospitalini
Wewe ndiye umuone mtaalamu wa akili unayekubali vitu vya kuambiwa.Anybody who believes anything which he/she cannot prove ni mjinga.
 
Wewe ndiye umuone mtaalamu wa akili unayekubali vitu vya kuambiwa.Anybody who believes anything which he/she cannot prove ni mjinga.
Can u prove kwamba kilichoua watu wakati ule sio COVID ila ni kitu kingine? Can u prove huo ujinga wako mwingine wa conspiracy theories unazojaribu kupropagate?
 
Can u prove kwamba kilichoua watu wakati ule sio COVID ila ni kitu kingine? Can u prove huo ujinga wako mwingine wa conspiracy theories unazojaribu kupropagate?
Nasema hivii,Covid is a hoax 100% because it does not follow scientific principles of Microbiology. I believe you are not a Scientist,that is why you believe scientific hoaxes,I do not blame you for that.

Covid is a hoax because of the following reasons:
1.The virus has never been isolated by any Institution in the World,whatever you hear about Covid is hearsay and Main Stream Media fearmongering.
2.Because the virus has never been isolated,it does not exist and does not therefore adhere to Koch's Postulates and does not therefore cause disease.For any pathogen to be able to cause disease it must adhere to Kock's Postulates.
Below are Koch's Postulates.

  1. The microorganism must be found in abundance in all organisms suffering from the disease but should not be found in healthy organisms.
  2. The microorganism must be isolated from a diseased organism and grown in pure culture.
  3. The cultured microorganism should cause disease when introduced into a healthy organism.
  4. The microorganism must be re-isolated from the inoculated, diseased experimental host and identified as being identical to the original specific causative agent.
Okay,mimi nimekupa scientific reasons ambazo zinaonyesha kwamba Covid is fake,na wewe nipe za kwako,ambazo zinaonyesha kwamba Covid is real.Remember that they must be scientifically verifiable and sound.
 

Attachments

  • 2000px-Koch's_Postulates.svg.png
    2000px-Koch's_Postulates.svg.png
    126.9 KB · Views: 2
Umezungumza vitu gani? Mbona havieleweki?
Covid 19 imeanzia China na kusambaa kote Duniani, mzungu ameingiaje hapa?
Sawasawa mkuu, kama vile HIV ilivyoanzia misitu ya Congo mkuu...si ndio? Ni vitu usivyotaka kuelewa mkuu.
(Scientists believe that HIV originally came from a virus particular to chimpanzees in West Africa during the 1930s, and originally transmitted to humans through the transfer of blood through hunting.)

Unaowatetea ni "malaika" wako wasio na dhambi...ila sisi waafrika na wachina ni wadhambi wa Viruses...
 
Km unachokisema ni sahihi


Bila shaka miji ingefungwa


Na sidhan km unaweza weka chanzo cha taarifa yako
CCP inaogopa maandamano ya revolution yasitokee kama mwanzo, maandamano yalisababishwa na forced lockdown

Halafu pia alietangaza kwamba maambukizi yanakuwa kwa sasa ni 40 milion per week ni epidemiologist wa kichina walioko China sio mimi

Fatilia...
 
Sawasawa mkuu, kama vile HIV ilivyoanzia misitu ya Congo mkuu...si ndio? Ni vitu usivyotaka kuelewa mkuu.
(Scientists believe that HIV originally came from a virus particular to chimpanzees in West Africa during the 1930s, and originally transmitted to humans through the transfer of blood through hunting.)

Unaowatetea ni "malaika" wako wasio na dhambi...ila sisi waafrika na wachina ni wadhambi wa Viruses...
We jamaa, mbona hauna hoja? Kama hoja yako ndio hiyo basi covid 19 imeanzia wuhan China, kumbuka wuhan Kuna maabara ya utafiti wa virusi tofauti tofauti ikiwemo covid 19....
Mzungu anaingiaje hapo? Mpaka Leo hii China anabanwa atoe maelezo asili ya covid 19 yupo kimya na hana majibu yoyote.
 
We jamaa, mbona hauna hoja? Kama hoja yako ndio hiyo basi covid 19 imeanzia wuhan China, kumbuka wuhan Kuna maabara ya utafiti wa virusi tofauti tofauti ikiwemo covid 19....
Mzungu anaingiaje hapo? Mpaka Leo hii China anabanwa atoe maelezo asili ya covid 19 yupo kimya na hana majibu yoyote.
Labda wewe hujafuatilia mkuu, majibu walishatoa wachina
 
Back
Top Bottom