Nimekuwa brainwashed na nani?Jamani,asiye na facts si ndiye brainwashed,ni ajabue.Mimi nina scientific facts,I do not base my belief on heresay,so sijakuwa brainwashed.Wewe ni mjinga uliyekuwa brainwashed Kwahiyo sitakujibu tena maana ni waste of time
Hao wanaokufa na kudondoka barabarani wanakufa kwa sababu zipi? Au wamelipwa kufa?Hakuna Covid.Tell me why you believe,it is real,ukishaniambia nitakuambia Scientifically why it is not real.Usilete udaku,lete facts which can be proved by scientific reasoning and research.
It is funny that you people believe in stories which you yourself do not have knowledge of and cannot prove.Let me tell you this,the World system is built on lies,and depends on lies for its' success.This fearmongering rhetoric is just another attempt to perpetuate lies as a weapon against humanity.Wake up guys.Infact wewe by spreading this lies,you are helping them to win the battle against humanity.Remember that to them fear is a weapon.
Mwisho,I find it queer that there are people who still believe there is Covid even after all circumstances and facts on the ground have proven repeatedly shown that Covid is fake.I do not know how much it will take for you people to wake up.
Watu wanaamini Covid sababu wanaona matokeo kwa macho sio kwa sababu hawajui sayansi.Nimekuwa brainwashed na nani?Jamani,asiye na facts so ndiye brainwashed,Ni ajabue.Mimi nina scientific facts,I do not base my belief on heresay.
Nimeshasema hapa,kuzika sana au respiratory illnesses sio lazima iwe kwa sababu ya hicho kinachoitwa Covid,amkeni,there are so many other possibilities.Tutasema mpaka lini?Watu wanaamini Covid sababu wanaona matokeo kwa macho sio kwa sababu hawajui sayansi.
Watu wamezika wapendwa wao kwa kubanwa kifua, kama unasema hakuna covid, sema kuna nini kinacholeta hiyo hali.
Usiwe kama wale wanaosema hakuna MUNGU halafu hawana jibu la uumbaji wa ulimwengu umetokana na nini.
Anachokitafuta china atakipata so soon. Wazungu hawajawahi shindwa ni suala la muda tu.Wakati uongozi wa WHO mapema mwezi huu ukiitangazia Dunia kwamba Ugonjwa wa covid 19 sio tishio tena mambo yako tofauti nchini China.
China inategemea kuukabili mlipuko mpya wa covid 19 mwezi June huku watu milion 65 kuhofiwa kupata maambukizi kwa wiki. Wataalamu wa maswala ya magonjwa ya mlipuko wakitolea ufafanuzi wanasema, kuibuka kwa vimelea vya XBB vya covid 19 vitahatarisha maisha ya watu wengi wasiopatiwa chanjo hasa wazee.
Huku maambukizi yakiendea kuzidi hivi sasa, mamlaka nchini humo zimeendelea kusisitiza watu kupata booster ama chanjo kwa mara nyingine ili kuvikabili vimelea hivyo.
Wachina wengi kwenye mitandao ya kijamii waelezea kuhofia kurejeshwa kwa "lockdown" kama utekelezaji wa "zero covid policy" na pia wahofia ubora wa chanjo hizo zinazotengezwa nchini humo kuwa hazikuwa na ubora unaokidhi.
Je, kurejea kwa wimbi kubwa la mlipuko wa covid 19 nchini china ni matokea ya sera mbovu za Afya?
Je, kuwa na "Autocratic leadership" kumechochea kupunguza kasi ya namna nzuri ya kupambana na ugonjwa huo kwa kutofata uwazi wa taarifa za kiafya na ushirikiano na mataifa mengine?
Tujadili...
Wanaofadhili magenge huko Congo, Afrika ya kati, Libya, Afghanistan, Sudan, Msumbiji, nawao unachuki nao hivyo hivyo kama viongozi wa CCP?.kufadhili magenge yanayosamba madawa hatari ya kulevya ie fentanyl, rushwa, kuingilia na kuharibu selikari za nchi maskini mfano Solomon islands, n.k
Huna lolote.Denialism is real. Wewe muons mtaalam wa afya ya akili ASAP. Kumbuka kuna wenzio wanaamini HIV is a hoax mpaka leo hii ila watu wanapukutik na kufa kila siku mahospitalini
Sasa hapo aliyekuwa brainwashed ni yeye au wewe unayeamini usanii wa KOVIDO?Wewe ni mjinga uliyekuwa brainwashed Kwahiyo sitakujibu tena maana ni waste of time
Ila wale waliokufa kwa kushindwa kupumua walikuwa wanaumwa ugonjwa gani? Km hukuguswa au familia yako kuguswa shukuru Mungu wako.Huna lolote.
Hakuna cha covidi wala covido.
Barabara ipi? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hao wanaokufa na kudondoka barabarani wanakufa kwa sababu zipi? Au wamelipwa kufa?
Umelishwa matakataka na mkeo huko, unasingizia sijui kovid, kumbe umebugia vumbi.Ila wale waliokufa kwa kushindwa kupumua walikuwa wanaumwa ugonjwa gani?.
Kina Mahiga, Maalim Seif, Mpango n.k wote walibugia vumbi? Tumia akili na busara kidogo basiUmelishwa matakataka na mkeo huko, unasingizia sijui kovid, kumbe umebugia vumbi.
Safisha hilo geto, ondoa vumbi, toa buibui.
China huko. Kuna video walikuwa wanajidondokea tu.Barabara ipi? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Interest ya CCP ni kuitawala Dunia, they are craving for superiority of this world.Wanaofadhili magenge huko Congo, Afrika ya kati, Libya, Afghanistan, Sudan, Msumbiji, nawao unachuki nao hivyo hivyo kama viongozi wa CCP?.
Mkuu unadili na mental case, hapo unapoteza muda wako.sasa wale walokua wanawekewa oxygen wengine wanabanwa vifua wanakufa na hata sie wengine tulipata wimbi la kukuhoa kusiko kawaida ile ni nini?
Safisha geto hilo acha ubishi.Kina Mahiga, Maalim Seif, Mpango n.k wote walibugia vumbi? Tumia akili na busara kidogo basi