#COVID19 Mlipuko mwingine wa Covid 19 wategemewa kuikumba China, watu milioni 65 kupata maambukizi kwa wiki

Wewe ni mjinga uliyekuwa brainwashed Kwahiyo sitakujibu tena maana ni waste of time
Nimekuwa brainwashed na nani?Jamani,asiye na facts si ndiye brainwashed,ni ajabue.Mimi nina scientific facts,I do not base my belief on heresay,so sijakuwa brainwashed.
 
Hao wanaokufa na kudondoka barabarani wanakufa kwa sababu zipi? Au wamelipwa kufa?
 
Nimekuwa brainwashed na nani?Jamani,asiye na facts so ndiye brainwashed,Ni ajabue.Mimi nina scientific facts,I do not base my belief on heresay.
Watu wanaamini Covid sababu wanaona matokeo kwa macho sio kwa sababu hawajui sayansi.

Watu wamezika wapendwa wao kwa kubanwa kifua, kama unasema hakuna covid, sema kuna nini kinacholeta hiyo hali.

Usiwe kama wale wanaosema hakuna MUNGU halafu hawana jibu la uumbaji wa ulimwengu umetokana na nini.
 
Nimeshasema hapa,kuzika sana au respiratory illnesses sio lazima iwe kwa sababu ya hicho kinachoitwa Covid,amkeni,there are so many other possibilities.Tutasema mpaka lini?

Anyway labda nikuulize swali, tatizo la Covid limeenda wapi all of a sudden,mbona Malaria bado ipo,Typhoid bado ipo?Simple answer:air pollution, tena makusudi,ndiyo iliyosumbua watu,hasa kwa kuwa immune systems zetu zimeshuka sana,so if you are weak you succumb easily.Infact ile ilikuwa biashara na mauaji: you pollute the air for some time,people cough and the elderly die and in hospitals you put mechanisms for more killing like respirators and you say there is Covid.Mbaya zaidi unaweka faulty reporting mechanisms and you tell all hospitals to report all diseases and deaths as Covid.Halafu unajifanya kuna Vaccine,wajinga wanakubali wanakuwa jabbed,you make money while you also kill them.

Infact nia ya matangazo mengi during Covid ilikuwa fear mongering,ili kutisha watu wakubali the so called Covid Vaccines,which are not actually vaccines,but "bioweapons." Poleni sana,mnadanganywa sana na mtadanganyana sana,na bado.
 
Anachokitafuta china atakipata so soon. Wazungu hawajawahi shindwa ni suala la muda tu.
 
Siku Moja Moja uwe unaleta habari nzuri kuhusu China, Jambo lingine COVID ni myth tu. Hakuna huo ugonjwa.
 
kufadhili magenge yanayosamba madawa hatari ya kulevya ie fentanyl, rushwa, kuingilia na kuharibu selikari za nchi maskini mfano Solomon islands, n.k
Wanaofadhili magenge huko Congo, Afrika ya kati, Libya, Afghanistan, Sudan, Msumbiji, nawao unachuki nao hivyo hivyo kama viongozi wa CCP?.
 
Denialism is real. Wewe muons mtaalam wa afya ya akili ASAP. Kumbuka kuna wenzio wanaamini HIV is a hoax mpaka leo hii ila watu wanapukutik na kufa kila siku mahospitalini
Huna lolote.

Hakuna cha covidi wala covido.
 
Wanaofadhili magenge huko Congo, Afrika ya kati, Libya, Afghanistan, Sudan, Msumbiji, nawao unachuki nao hivyo hivyo kama viongozi wa CCP?.
Interest ya CCP ni kuitawala Dunia, they are craving for superiority of this world.
They have bad intentions over this world.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…