Mlipuko Tel Aviv: Hii drone iliwezaje kupenya?

Mlipuko Tel Aviv: Hii drone iliwezaje kupenya?

Vita visitishwe, misaada ya kibinadamu ipelekwe kwa wahitaji na ujenzi mpya wa Gaza ufanyike.
Sioni dalili ya vita kusitishwa mkongwe, walichokifanya Yemen jana na majibu ya Israel dhidi ya Yemen siku ya leo, nadhani tunapokwenda ni pabaya zaidi. Vita vinaenda kukuzwa zaidi hapo mashariki ya kati.
 
hayo ni mambo israel mwenyewe anayafanya ili kuuhalalishia ulimwengu kwa kile wanachoendelea kukifanya. sawa na mimi kurusha bomb kwenye uwani wangu nikasema wewe ndio umerusha ili nipate uhalali wa kuendelea kukuchapa. mnapigwa changa la macho hivihivi.
Hata Octoba 7 alijipiga pin mwenyewe?

Kipondo cha hezbollah huko Kaskazini mpaka mazayuni wanaikimbia miji yao, wanajipiga wenyewe?

Meli zao za mizigo zinalimwa baharini, wanazipiga wenyewe?

Huo uhalali anapewa na nani, shetani?
 
Hata Octoba 7 alijipiga pin mwenyewe?

Kipondo cha hezbollah huko Kaskazini mpaka mazayuni wanaikimbia miji yao, wanajipiga wenyewe?

Meli zao za mizigo zinalimwa baharini, wanazipiga wenyewe?

Huo uhalali anapewa na nani, shetani?
hatushabikii watu kuuawa, ila baada ya ile drone, kipigo kinachoendelea huko sasaivi si cha kawaida. tuombe Mungu wasio na hatia wasiuawe kama gaza.
 
Russia anampa silaha Houthi rebels... unalijua hilo?

Kingine Al Assad messed with Israel mbona alishinda vita?

Hao Israel wanaonea vidagaa tu ila wakipata a proper match wanakimbia kama Syria.
1. Kwamba Russia anampa silaha Houthi rebels -hiyo ni biashara iwe ni cash au credit.
2. Al Assad alimshinda Israel kivita? Hilo silijui na wala siliamini.
3. Israeli wanaonea........sasa ni kwa nini hao vidagaa wakajipime ubavu na huyo Mbabe?
 
Kijana, hata upigwe ngumi 100 na wapiganaji wa magharibi wote ma mashoga zao, ukirusha moja ni sifa kubwa sana.

Kama unabisha muulize mandonga.
Mbona babako shoga kwanini usimkemee?
 
Al Assad alimshinda Israel kivita? Hilo silijui na wala siliamini.
Kwani hujui Al Assad alikua anatandikwa na ndege vita za Israel almost kila siku?. Bila urusi unadhani Assad angetoboa? Means Israel are not invicible wakikutana na wababe wenzao. So sio kweli kila anayemgusa Israel ananyooshwaga.
Kwamba Russia anampa silaha Houthi rebels -hiyo ni biashara iwe ni cash au credit.
Ooh kumbe Israel na marekani zinaweza muuzia silaha hata Iran maadam ni biashara tu??
 
Kwani hujui Al Assad alikua anatandikwa na ndege vita za Israel almost kila siku?. Bila urusi unadhani Assad angetoboa? Means Israel are not invicible wakikutana na wababe wenzao. So sio kweli kila anayemgusa Israel ananyooshwaga.

Ooh kumbe Israel na marekani zinaweza muuzia silaha hata Iran maadam ni biashara tu??
Ndio zinaweza. Biashara haichagui mteja.
 
Back
Top Bottom