We hapo ulipo iwe Canada au makunduchi wanakuangalia tu.
Mbona hufi ikawe sifa kubwa kwako.
Huna faida,hapo ukute unapewa hela ya nyumba ,kula,mauli mpaka choo unalipiwa.
Lakini bado ukivaa hilo sjungit utasema makhaafir hawa.
Huku ndo wao wanakufanya upumue.
Na mzee mwenzio mody mmepoteza pesa lukuki kuwasomesha hamna faida yoyote.
We mda huu huna hata haki ya kugusa laptop kama ungekua kwa hao waatama wako waarabu.
Hamna internet kule,leo unapata access popote kwa wazayuni unawatukana tena.ku.buka wanakusoma tu hapo.