Mlipuko Tel Aviv: Hii drone iliwezaje kupenya?

Mlipuko Tel Aviv: Hii drone iliwezaje kupenya?

Hawana ugumu wowote hao ...hapo yemeni pakichaopwa bomu la nyukilia hao wapuuzi wanapoteana..wale ni wabishi mafala tu unakua mbishi huna teknolojia yeyote unategemea misaada hao wakifinywa watatoa mlio wa panya si mda mrefu.Mm ukiniambia watu wabishi labda kama north korea na wachina hao wanateknoljia na vifaa vyao wenyewe.
Pole sana ndugu.
Unadhani nuclear unaitumia tu utakavyo wewe au sio!?
Yani ifikie hatua mpaka wewe mwenye jeshi kubwa unatumia nuke basi wewe tayari dhaifu.
Yemeni mbishi kwasababu kuanzia 2014 mpaka 2021 USA ilijipenyeza kwa Saudi Arabia iliungana na Saudi Arabia kuendelea kuuweka madarakani utawala wa Mansour lakini KUNDI DOGO LA HOUTHI liliwashinda.
Kila mji wanaotaka kuuweka chini ya mamlaka yao Houthi waliupora mji mmoja baada ya mwingine,kila wakijaribu kukomboa hiyo miji wanafeli na kupoteza askari.
Waliwatumia hadi ALQAEDA ila walifeli.
Sasa jiulize hawa watu wakipata silaha zao na teknolojia yao watakua na hatari kiasi gani!?
Hapo red sea mpaka leo wameshambulia zaidi ya meli 4 ikiwemo meli ya UK na USA na wamezuia meli kupita hapo hao mabwana wakubwa hawakuweza kuwazuia wala nini.
Jiulize wakipata silaha wanazounda wenyewe watakua na hatari kiasi gani!??
Ila wameshaanza kuunda silaha zao wenyewe kupitia msaada wa Iran.
 
Pole sana ndugu.
Unadhani nuclear unaitumia tu utakavyo wewe au sio!?
Yani ifikie hatua mpaka wewe mwenye jeshi kubwa unatumia nuke basi wewe tayari dhaifu.
Yemeni mbishi kwasababu kuanzia 2014 mpaka 2021 USA ilijipenyeza kwa Saudi Arabia iliungana na Saudi Arabia kuendelea kuuweka madarakani utawala wa Mansour lakini KUNDI DOGO LA HOUTHI liliwashinda.
Kila mji wanaotaka kuuweka chini ya mamlaka yao Houthi waliupora mji mmoja baada ya mwingine,kila wakijaribu kukomboa hiyo miji wanafeli na kupoteza askari.
Waliwatumia hadi ALQAEDA ila walifeli.
Sasa jiulize hawa watu wakipata silaha zao na teknolojia yao watakua na hatari kiasi gani!?
Hapo red sea mpaka leo wameshambulia zaidi ya meli 4 ikiwemo meli ya UK na USA na wamezuia meli kupita hapo hao mabwana wakubwa hawakuweza kuwazuia wala nini.
Jiulize wakipata silaha wanazounda wenyewe watakua na hatari kiasi gani!??
Ila wameshaanza kuunda silaha zao wenyewe kupitia msaada wa Iran.
Vita ni gharama sana kaka hao houth hawana cha kupotezs sasa kupigana na mtu alie jishukuru ni ngumu sana.Hao kiboko yao ni kuseti tu nuke inapiga pale yemen wakose mpaka ardhi ya kukaa nakupanga ujinga wao.
 
Sasa bibi yangu sehem aliyotoka Mtume wetu unaita kwa mashoga wenza???Ama umeokoka nn!! Maana ndugu wa muislam ni muislam mwenzake sasa hao eanataka kuipiga nchi iliyo toa mtume na kuna sehem takatifu kwa wailslam🥱🤯
Huwa sikisii.

Mazayuni wa wa Kisaudi wametokea Najd.

Mtume Muhammad Alayhi salaam ni mtu wa Makkah ambayo ni Hejaz.
 
Ajabu kuna watu walitaka kuifananisha Iran na Israel.
Hivi itokee battle Iran atumie total missile power aliyonayo Israel inapona!?
Hii imeshaamuogopesha hadi usa na makereria yake .mfano tu usa awake carrier pale red sea na .gharma yake pamoja na mindege. Itakuwa itakuwa inaghsrim sio chini ya 150 trillion sasa high value asset kama hii ukitumia hata 1tril ambayo kwa Irani ni mabomu yasiopungua 1500 hiyo carrier haitapona kamwe
 
Hiyo kitu imewavuruga kabisa Mayahudi! Maana hawaelewi mpaka sasa hiyo drone iliingia vipi na kulipuka kwenye Mji mkuu wao na pasipo kugundulika kwenye mifumo yao ya kiusalama!!

Na mbaya zaidi wamegundua imetengenezwa na mahasimu wao wa Iran!
Wakishaafeil huwa wanaletaga sia mara ilikuwa ditected lakin hawakugudungua kwa sababu ya makosa ya kibinadam.ujinga ujinga
 
Una haki na fikra zako mfu.
images.jpeg-190.jpg
images.jpeg-174.jpg
TAKBIIIR
images.jpeg-175.jpg
 
Vita ni gharama sana kaka hao houth hawana cha kupotezs sasa kupigana na mtu alie jishukuru ni ngumu sana.Hao kiboko yao ni kuseti tu nuke inapiga pale yemen wakose mpaka ardhi ya kukaa nakupanga ujinga wao.
Wale jamaa huwa hawajali watapoteza nini.
Ila wana utajiri mkubwa wa gesi asilia na mafuta sema ndio hivyo wamewekewa vikwazo makampuni makubwa kuja kuchimba mafuta na gesi kwao.
 
Baada ya shambulihilo, Wayemeni wametangaza, sasa Tel Aviv haipo salama tena, na itakuwa "porime target" yao, mpaka mazayuni wasimamishe kuuwa Wapalestina.

"Wayemeni wote wapo tayari kufa kwa ajili ya ndugu zao wa Palestina".


View: https://youtu.be/cc6bWFFTKp8?si=gJzWjPTMOvVUTTFe

😂😂😂😂😂😂Washaanza visingizio.
Eti was detected but not intercepted because was not taken as a threat!
Mara there was a human error detected in the Yafa drone.
Sasa which is which!?
 
Hayo ni kwao... Hayatuhusu
Kama inamhusu muisrael moja kwa moja inamhusu Biden, Kama inamhusu Biden na sisi inatuhusu.
Ile misaada ya hisani ya watu wa marekani itaadimika, mafuta yatapanda Bei, nauli za daladala zitapanda, tozo zitaongezeka.
Multiplier effect yake sio ya kitoto.
 
Kama inamhusu muisrael moja kwa moja inamhusu Biden, Kama inamhusu Biden na sisi inatuhusu.
Ile misaada ya hisani ya watu wa marekani itaadimika, mafuta yatapanda Bei, nauli za daladala zitapanda, tozo zitaongezeka.
Multiplier effect yake sio ya kitoto.
Hiki comment yako ni wachache sana kwa sasa watakuelewa wengi watakubeza ila itunze baada ya mwaka 1 au 2 wakati ambapo global financial crisis itakuwa imetukia watakukumbuka
 
Back
Top Bottom