Mlipuko Tel Aviv: Hii drone iliwezaje kupenya?

Mlipuko Tel Aviv: Hii drone iliwezaje kupenya?

Wahouth wa Yemen wamekiri kufanya mashambulizi kwa drone ya Iran.

Wamesema huo ni mwanzo tu bado patakuwa na mfululizo wa mashambulizi kutoka Yemen, Lebanon na Gaza.

Msemaji wa jeshi la Israel amekiri mtu mmoja kufariki dunia na wengine kujeruhiwa.
 
Wahouth wa Yemen wamekiri kufanya mashambulizi kwa drone ya Iran.

Wamesema huo ni mwanzo tu bado patakuwa na mfululizo wa mashambulizi kutoka Yemen, Lebanon na Gaza.

Msemaji wa jeshi la Israel amekiri mtu mmoja kufariki dunia na wengine kujeruhiwa.
Ajabu kuna watu walitaka kuifananisha Iran na Israel.
Hivi itokee battle Iran atumie total missile power aliyonayo Israel inapona!?
 
Ajabu kuna watu walitaka kuifananisha Iran na Israel.
Hivi itokee battle Iran atumie total missile power aliyonayo Israel inapona!?
Israel atachakazwa vibaya mno na Iran. Fikiria hiyo drone imepenya bila kugundulika na mifumo ya ulinzi ya Israel maana hakuna king'ora kilichotoa alarm.

Halafu hao ni waasi tu wa Yemen wanatuma vyuma kutokea Yemen direct to Israel bila kugundulika na mifumo ya nchi yoyote.
 
Israel atachakazwa vibaya mno na Iran. Fikiria hiyo drone imepenya bila kugundulika na mifumo ya ulinzi ya Israel maana hakuna king'ora kilichotoa alarm.

Halafu hao ni waasi tu wa Yemen wanatuma vyuma kutokea Yemen direct to Israel bila kugundulika na mifumo ya nchi yoyote.
Yani mimi nilipoivulia kofia Iran ni ile vita ya 1980-1988.
IRGC ikiwa na jeshi la mapinduzi ilipambana miaka nane ila ikahimili vita,kipindi hiko hawana silaha zao wana silaha za kuunga unga.
Sasa je sasa hivi mtu ana silaha kibao mpaka zingine anagawa hivi inakuaje!?
Ule mzigo wa drone na makombora 300 tu nchi nne zilihusika kuzuia,sasa jiulize battle linaanza jamaa anatuma vyuma 5000 kama alivyokuwa akituma Hamas hiyo Israel inaponea wapi!?
 
Mapema leo huko Tel Aviv kumetokea mlipuko karibia na ubalozi wa Marekani na kusababisha majeraha.

La kujiuliza ni aina gani ya drone iliyotumika kwenye shambulio hili yaani watu wanastukia kitu kinalipuka na hakuna onyo lolote! Udini na mahaba weka pembeni!

‘Suicide drone’ explodes near US consulate in Tel Aviv – reports​


An explosion injured at least seven people in an area near the US consulate in Tel Aviv early Friday morning. A man in his 30s and a woman in her 20s were wounded by shrapnel and were taken to the hospital, while the others suffered lighter injuries, according to the Times of Israel.


The Israel Defense Forces (IDF) are investigating the explosion, which it suspects was caused by “an aerial target,” a military term it uses for drones, the Times of Israel wrote, adding that no air sirens were heard ahead of the blast.


Wameaanza tenr kujitingisha
 
Mapema leo huko Tel Aviv kumetokea mlipuko karibia na ubalozi wa Marekani na kusababisha majeraha.

La kujiuliza ni aina gani ya drone iliyotumika kwenye shambulio hili yaani watu wanastukia kitu kinalipuka na hakuna onyo lolote! Udini na mahaba weka pembeni!

‘Suicide drone’ explodes near US consulate in Tel Aviv – reports​


An explosion injured at least seven people in an area near the US consulate in Tel Aviv early Friday morning. A man in his 30s and a woman in her 20s were wounded by shrapnel and were taken to the hospital, while the others suffered lighter injuries, according to the Times of Israel.


The Israel Defense Forces (IDF) are investigating the explosion, which it suspects was caused by “an aerial target,” a military term it uses for drones, the Times of Israel wrote, adding that no air sirens were heard ahead of the blast.


Wameaanza tenr kujitingisha
 
Kuimba kupokezana. Ikifika zamu ya Israel kuimba mchekelee hivyo hivyo.
Israel atawaambia raia nendeni stand ya magufuli ndiyo salama,hapo ubungo tunachakaza,mkienda stand ya magufuli,anarusha kombora usiku mmelala,Wana hapo wametimua ofisi ya maafisa vipenyo
 
Hivi huna habari ya dunia? Hujuwi kwanini Wayemeni wameipiga Tel Aviv?

Kumbuka, hao ni Waislam hawaanzi kupiga, huwa wanarudishia tu.

Juzi wameshambuliwa mji wao i8naitwa Hodeidah na wakatangaza kuwa ni lazima walipe.

Tena wameshatangaza na mashoga wenza wa mazayuni wasaudi wakae mkao wa kupokea makombora na drones, wameweka wazi na target zao watakazoipiga. Jionee:


View: https://youtu.be/nM-b72xB5YM?si=FsrVdqhrqetLN8H3

Sasa bibi yangu sehem aliyotoka Mtume wetu unaita kwa mashoga wenza???Ama umeokoka nn!! Maana ndugu wa muislam ni muislam mwenzake sasa hao eanataka kuipiga nchi iliyo toa mtume na kuna sehem takatifu kwa wailslam🥱🤯
 
Yemeni wagumu wewe tena wagumu kuliko unavyodhani wewe.
Uuliza USA akimtumia Saudi Arabia kuanzia 2014 mpaka 2021 walikumbana na nini.
Waliwakodia hadi ALQAEDA ila walichemka.
Hawana ugumu wowote hao ...hapo yemeni pakichaopwa bomu la nyukilia hao wapuuzi wanapoteana..wale ni wabishi mafala tu unakua mbishi huna teknolojia yeyote unategemea misaada hao wakifinywa watatoa mlio wa panya si mda mrefu.Mm ukiniambia watu wabishi labda kama north korea na wachina hao wanateknoljia na vifaa vyao wenyewe.
 
Back
Top Bottom