Yimakatso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 7,060
- 9,468
Wahouth wa Yemen wamekiri kufanya mashambulizi kwa drone ya Iran.
Wamesema huo ni mwanzo tu bado patakuwa na mfululizo wa mashambulizi kutoka Yemen, Lebanon na Gaza.
Msemaji wa jeshi la Israel amekiri mtu mmoja kufariki dunia na wengine kujeruhiwa.
Wamesema huo ni mwanzo tu bado patakuwa na mfululizo wa mashambulizi kutoka Yemen, Lebanon na Gaza.
Msemaji wa jeshi la Israel amekiri mtu mmoja kufariki dunia na wengine kujeruhiwa.