FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Hivi huna habari ya dunia? Hujuwi kwanini Wayemeni wameipiga Tel Aviv?Bishaneniii weee ila hao wa yemen wakianza kupokea kichapo msije mkaanza kulia lia humu kwamba wanaonewa wakati wao wamechokoza nyuki
Kumbuka, hao ni Waislam hawaanzi kupiga, huwa wanarudishia tu.
Juzi wameshambuliwa mji wao i8naitwa Hodeidah na wakatangaza kuwa ni lazima walipe.
Tena wameshatangaza na mashoga wenza wa mazayuni wasaudi wakae mkao wa kupokea makombora na drones, wameweka wazi na target zao watakazoipiga. Jionee:
View: https://youtu.be/nM-b72xB5YM?si=FsrVdqhrqetLN8H3