Weeee nilijua kuna mtu kapost vitu vingine,
Nasema hiviiiiii..... Smile haondoki Tanga. Hapa kafika.....
Hongereni sana mlioenda Tanga kwa kutuwakilisha..ila mbona picha mmebana au ndio hizi chache tu??
Jamani!!! Mke wake Blaki Womani anammiss sana!
KOKUTONA ama kweli ukikaa na mwivi nawe utakuwa mwivi. Nani alikufundisha hiyo lugha adhimu? Anastahili kupata tuzo. Salam zake Mohamedi Mtoi.
Atakuja baada ya NEW IYA.
Pole sana Arushaone kwa kuuguliwa.
Karibu sana Lushoto Arushaone. Uje ule mapeasiAhsante sana YNNAH! Off topic nadhani nitakuja huko Ushoto soon kabla sijaenda Mwanza kwa kina charminglady.