Mlisho-Nyuma(Feedback) wa Safari ya Tanga.

Mlisho-Nyuma(Feedback) wa Safari ya Tanga.

Hongereni sana mlioenda Tanga kwa kutuwakilisha..ila mbona picha mmebana au ndio hizi chache tu??

katika wote tulioenda hakuna hata mmoja ambaye ni verified user hivyo hutaweza ona picha ya mdau hata mmoja hapa jamvini...kuna thread alianzisha marejesho huko utakuta picha kadhaa za mandhari tu...
 
Haya jamani, nini kinaendelea saa hii hapa?
 
Back
Top Bottom