Mlitaka kumuacha Sako, kwa maoni yangu hata kumuacha Duncan Nyoni mmekurupuka

Mlitaka kumuacha Sako, kwa maoni yangu hata kumuacha Duncan Nyoni mmekurupuka

May Day

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2018
Posts
6,311
Reaction score
9,027
Zilitoka taarifa kuwa kuna hatihati ya kumuacha Papi Sako na wengine kadhaa, hatimaye tukaona ameachwa Duncan Nyoni. Sioni kama Uongozi na benchi la ufundi Simba wamefanya uamuzi mzuri.

Kwa muda mfupi aliopata nafasi Nyoni nimeona ameonesha kitu ambacho alihitaji muda zaidi wa kuonesha kile kidogo alichokwishaonesha.

Kwa tathmini yangu Nyoni ana kitu kuliko wengi waliobaki pale Simba.
 
Mi mwenyewe niliona hicho kitu. Mara nyingi Nyoni alipata nafasi chache za kucheza, tena anaingizwa dk za 80s halafu tunamwangalia ndani ya hizo chache na kuhitimisha kuwa aachwe,HAIKUWA FAIR (ndani ya zile dk niliona alikuwa akicheza vizuri kabisa).

Hata yule Peter Banda ni mzuri akipewa muda, mechi ya jana ya Afcon kacheza superbly kabisa. Na kuna huyu Udoh anayeingizwa dk za lala salama kila siku,huyu naye tuje tusema hajui kitu aachwe,tutakuwa tumelogwa.
 
Ukifuatilia Simba wanaacha wachezaj wa maana kisa pressure.

Simba wamesajir vzr tu lilikua Ni swala la muda wachezaj wote ku copy na lig yetu .

Sakho na kanoute tayar washaingia kwenye mfumo ,naamin hata Banda ataingia vzr tu ,.na yule mmalawi Duncan Simba walikurupuka Sana kumwacha coz the man he is a real player indeed.

Kwa Udoh wasijefanya makosa kabisa.
 
Wapi Simba SC walisema kuwa wanataka kumuacha Sakho?

Au unababaika na Kauli za wachambuzi..!

Ungemsikia Mafia Crescentius Magori, baada ya Usajili wa Sakho usingechukua maneno ya Wachambuzi na ukaleta hapa.
 
Mi mwenyewe niliona hicho kitu. Mara nyingi Nyoni alipata nafasi chache za kucheza, tena anaingizwa dk za 80s halafu tunamwangalia ndani ya hizo chache na kuhitimisha kuwa aachwe,HAIKUWA FAIR (ndani ya zile dk niliona alikuwa akicheza vizuri kabisa).

Hata yule Peter Banda ni mzuri akipewa muda, mechi ya jana ya Afcon kacheza superbly kabisa. Na kuna huyu Udoh anayeingizwa dk za lala salama kila siku,huyu naye tuje tusema hajui kitu aachwe,tutakuwa tumelogwa.
Nyoni ni mchezaji mzuri sana ila siyo lethal na ni slow sana.

Kingine huwezi kuwa na mchezaji wa kimataifa ambaye ni bench player.

Wanahitaji kumrejesha Chama ilihitajika nafasi ya kuaccomodate aweze kucheza mechi za ligi.

Kwenye orodha ya kuondoka alipaswa kuwa Wawa, Nyoni na Morisson ungechagua kumuondoa nani katika hicho orodha ? Obviously angekuwa Nyoni ambaye alikuwa ana struggle kupata nafasi na akipata nafasi impact yake kikosini ni ndogo na kwenye eneo analocheza kuna wingers wengine sita.

Ilikuwa lazima aondoke tu. Udoh huhitaji mechi kumi kumjudge ni mchezaji wa kawaida tu kuliko hata Shiboub
 
Simba wangeweza kufanya swap deal Ajib vs Tepsie
Si ndio hapo mdau maana akina mhilu mwenda mwinuke sijui na wengine kibao wameshindwa kwenda na falsafa ya timu huyo gadiel ndio kabisa hafanyi mashambulizi akipata mpira lazima arudishe nyuma tu...
 
Zilitoka taarifa kuwa kuna hatihati ya kumuacha Papi Sako na wengine kadhaa, hatimaye tukaona ameachwa Duncan Nyoni. Sioni kama Uongozi na benchi la ufundi Simba wamefanya uamuzi mzuri.

Kwa muda mfupi aliopata nafasi Nyoni nimeona ameonesha kitu ambacho alihitaji muda zaidi wa kuonesha kile kidogo alichokwishaonesha.

Kwa tathmini yangu Nyoni ana kitu kuliko wengi waliobaki pale Simba.
TARIFA ZILITOKA WAPI..sako mekua akiuguza majeraha toka mechi na biashara miezi kadhaa hivi, kuwa makaini akina maulidi kitenge mzeeee .. kiufupi: kulingana na hoja ya yako ya kumtetea Nyoni, Simba kwa sasa inahitaji wachezaji KILLER , real monster..katika dakika 90 za mchezo ,namaanisha simba inahitaji wachezaji wanye uwezo wa kumaliza mchezo muda wotote katika dakika 90 kutakana na kuwa katika mashindano mengi kama shirikisho , ligi kuu na ligi zingine ndogo..simba hii ni UNYAMA UNYAMA sio ile mliozoea
 
Si ndio hapo mdau maana akina mhilu mwenda mwinuke sijui na wengine kibao wameshindwa kwenda na falsafa ya timu huyo gadiel ndio kabisa hafanyi mashambulizi akipata mpira lazima arudishe nyuma tu...
Nafikiri Jimson akipewa muda ataweza kukaa sawa anaconfidence na ni mzuri kushambulia na kuzuia.

Israel Mwenda ameshakaa kwenye mfumo ila bado kuna mambo anatakiwa kuongeza quality ya crossing, passing accuracy na aggressiveness, game concentration na but so far he is coping.

Muhilu nina wasiwasi kama ataenda beyond this season anaonekana kupoteza confidence na uelewano na wenzake.

Ikitokea simba wameachana na Dilunga hope best option ni Tepsie Evance
 
Si ndio hapo mdau maana akina mhilu mwenda mwinuke sijui na wengine kibao wameshindwa kwenda na falsafa ya timu huyo gadiel ndio kabisa hafanyi mashambulizi akipata mpira lazima arudishe nyuma tu...
Gadiel is a respected flop
 
Nafikiri Jimson akipewa muda ataweza kukaa sawa anaconfidence na ni mzuri kushambulia na kuzuia.

Israel Mwenda ameshakaa kwenye mfumo ila bado kuna mambo anatakiwa kuongeza quality ya crossing, passing accuracy na aggressiveness, game concentration na but so far he is coping.

Muhilu nina wasiwasi kama ataenda beyond this season anaonekana kupoteza confidence na uelewano na wenzake.

Ikitokea simba wameachana na Dilunga hope best option ni Tepsie Evance
Safari hii azam hawawezi kukubali😀😀😀
 
Safari hii azam hawawezi kukubali[emoji3][emoji3][emoji3]
Azam wameibua wachezaji wawili wazuri ambao wanafaa sana kusajiliwa.

Sospeter Bajana na Tepsie Evance hawa wakiendelea na huo uwezo wao kwa misimu mitatu mfululizo hawastahili kuendelea kuwa Azam fc
 
Back
Top Bottom