Mlitaka kumuacha Sako, kwa maoni yangu hata kumuacha Duncan Nyoni mmekurupuka

Mlitaka kumuacha Sako, kwa maoni yangu hata kumuacha Duncan Nyoni mmekurupuka

TARIFA ZILITOKA WAPI..sako mekua akiuguza majeraha toka mechi na biashara miezi kadhaa hivi, kuwa makaini akina maulidi kitenge mzeeee .. kiufupi: kulingana na hoja ya yako ya kumtetea Nyoni, Simba kwa sasa inahitaji wachezaji KILLER , real monster..katika dakika 90 za mchezo ,namaanisha simba inahitaji wachezaji wanye uwezo wa kumaliza mchezo muda wotote katika dakika 90 kutakana na kuwa katika mashindano mengi kama shirikisho , ligi kuu na ligi zingine ndogo..simba hii ni UNYAMA UNYAMA sio ile mliozoea
Basi kama haikuwa hivyo ni vyema.

Ingawa binafsi sina utaalamu sana wa soka lakini mara zote nilizomuona Nyoni nilifurahia mchango wake na nikatamani nimuone zaidi.
 
Wapi Simba SC walisema kuwa wanataka kumuacha Sakho?

Au unababaika na Kauli za wachambuzi..!

Ungemsikia Mafia Crescentius Magori, baada ya Usajili wa Sakho usingechukua maneno ya Wachambuzi na ukaleta hapa.
Ila lisemwalo lipo maana hata taarifa za Chama kurejea mpaka sasa tunazipata kutoka kwa hao hao Wachambuzi, hakuna Offiial wa Simba yeyote aliyekwishatoka mbele na kutueleza ni nini kinaendelea.

Sasa je hizo taarifa za Wachambuzi tuzipuuze au tukae mkao wa kula?.
 
Back
Top Bottom