TARIFA ZILITOKA WAPI..sako mekua akiuguza majeraha toka mechi na biashara miezi kadhaa hivi, kuwa makaini akina maulidi kitenge mzeeee .. kiufupi: kulingana na hoja ya yako ya kumtetea Nyoni, Simba kwa sasa inahitaji wachezaji KILLER , real monster..katika dakika 90 za mchezo ,namaanisha simba inahitaji wachezaji wanye uwezo wa kumaliza mchezo muda wotote katika dakika 90 kutakana na kuwa katika mashindano mengi kama shirikisho , ligi kuu na ligi zingine ndogo..simba hii ni UNYAMA UNYAMA sio ile mliozoea