Mlitucheka Simba SC kumuacha Mkude na Mkamsajili ili Kutukoga sasa kaanza kuwafanyieni Vitimbi mtamkoma

Mlitucheka Simba SC kumuacha Mkude na Mkamsajili ili Kutukoga sasa kaanza kuwafanyieni Vitimbi mtamkoma

ANGALIZO

Ukijijua tu HUMPENDI na UNAMCHUKIA mno GENTAMYCINE na HUMKUBALI wala HUVUTIWI na MADA ( THREADS ) zake Kutwa hapa JamiiForums cha kufanya ni KUACHANA nae au MBLOKU ( IGNORE ) na endelea KUWASOMA MEMBERS wako ambao UNAWAPENDA, UNAWAKUBALI na unawaona ni BORA KWAKO na uniachie / uwaache wale MEMBERS Wanaonielewa waendelee KUHABARIKA, KUELIMIKA na KUBURUDIKA nami hapa JamiiForums.

Kitendo cha Kujijua huwa HUNIPENDI, HUNIKUBALI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI Wangu hapa JamiiForums halafu bado tena UNAWASHWAWASHWA nami kama MBWA JIKE anayetaka KUPANDWA kunaonyesha kuwa UNANIKUBALI ( UNANIPENDA ) hadi KUMOYO na huku KUNICHUKIA Kwako ni KUZUGA tu.

Na bahati nzuri au mbaya nikianzisha MADA ( THREAD ) hapa huwa SIMUITI au SIMLAZIMISHI Mru Kusoma hivyo sitaki SHOBO za ki MAGOMENI MAPIPA KWA MACHENI.

Nimemaliza.
POPOMA kwenye moja na mbili
 
Kama hiki kwako ndicho cha maana basi unashida mahali. Angalia clips za mazoezini Avic town kama hautomuona Mkude mazoezini.
Hata Gael Bigirimana alionekana mazoezini Avic siku chache nyuma...kilichofuata uliona mwenyewe.
 
Za uhakika kabisa ni kwamba hayuko Kambini na Simu Kawazimieni. Mtawaficha Wengine Habari zenu za Ndani Avic Town Kigamboni ila siyo Mimi GENTAMYCINE The King.

Kwahiyo mliwaona Simba SC hawana Akili Kumuacha na mkamsajili kwa Mihemko huku mkimtuma atutukane, atukashifu na aibusu Jezi yenu?

Nendeni Maskani zake Tatu pale Tandale kwa Dulla au Kawe kwa Pazi au Kinondoni Biafra katika Baa ya Mama yake ambaye Yeye ndiyo kamfungulia hamtomkosa sawa?

Hamna Akili...!!
Kwani huyo ni Mchezaji wa Ridhaa au wa Shirika la umma?
 
MANYANZA.

"Huu uzi ni upuuzi mtupu. Tumia akili yako kutafakari kabla ya kupost maneno ta kuokoteza kwenye vijiwe vya Kahawa. Pale Karume karibu na TFF. We jamaa nilishakwambia tafuta msaada wa Kisaikolojia maana afya yako ya akili haiko sawa

Manyanza
Kumbe uulishawahi muona?

Aaahaaa
 
Eti na simu kazima!! sasa huyo ana umuhimu gani pale Yanga mpaka uandike insha yote hii
 
Za uhakika kabisa ni kwamba hayuko Kambini na Simu Kawazimieni. Mtawaficha Wengine Habari zenu za Ndani Avic Town Kigamboni ila siyo Mimi GENTAMYCINE The King.

Kwahiyo mliwaona Simba SC hawana Akili Kumuacha na mkamsajili kwa Mihemko huku mkimtuma atutukane, atukashifu na aibusu Jezi yenu?

Nendeni Maskani zake Tatu pale Tandale kwa Dulla au Kawe kwa Pazi au Kinondoni Biafra katika Baa ya Mama yake ambaye Yeye ndiyo kamfungulia hamtomkosa sawa?

Hamna Akili...!!
Umbea,majungu uchonganishi, unafiki, na uongo ni miongoni mwa vitu vinavyoweka watu mjini haswa watu waliokuwa jinsi ya kike. Kama mwanaume unakuwa na hizo sifa basi yafaa kujitafakari haswa. Yanga inakikosi kipana haswa hivyo mtazusha mengi sana msimu huu lakini Mkude yupo zake Avic town anakipasha na wenzie mazoezini. Wewe endeleza majungu maana ndio mtaji kwako.
 

Attachments

  • -Mlf9wPYQ_HaX4Zq.mp4
    9.4 MB
  • Screenshot_2023-09-27-15-30-15-669_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2023-09-27-15-30-15-669_com.twitter.android.jpg
    92 KB · Views: 2
Za uhakika kabisa ni kwamba hayuko Kambini na Simu Kawazimieni. Mtawaficha Wengine Habari zenu za Ndani Avic Town Kigamboni ila siyo Mimi GENTAMYCINE The King.

Kwahiyo mliwaona Simba SC hawana Akili Kumuacha na mkamsajili kwa Mihemko huku mkimtuma atutukane, atukashifu na aibusu Jezi yenu?

Nendeni Maskani zake Tatu pale Tandale kwa Dulla au Kawe kwa Pazi au Kinondoni Biafra katika Baa ya Mama yake ambaye Yeye ndiyo kamfungulia hamtomkosa sawa?

Hamna Akili...!!
Mm nilijuwa max nzingela ndio kazima simu kumbe mfuta bangi mkude

Mkude yule tutamtoa kwa mkopo kwemda singida dirisha dogo
 
Sio kila mtu ataonesha wazi kuwa anakukubali.....mwingine atakuonesha kwa Chuki ilhali Moyoni anakukubali .....kazi nzuri mkuu
Nalijua hilo Mkuu kwani Watajwa wote hao Wanahubiri Kunichukia kila Siku hapa JamiiForums wakiongozwa na Kubwa Jinga la JamiiForums Dr Matola PhD lakini cha Kushangaza ndiyo Watu ( Members ) wanaoongoza kwa Kunifuatilia na Kusoma kila aina ya Thread yangu na hata Posts hapa Jamvini.

Kudadadeki......

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
 
Back
Top Bottom